Mgonjwa aidai TMJ, Hindu Mandal fidia ya shilingi milioni 500

Mgonjwa aidai TMJ, Hindu Mandal fidia ya shilingi milioni 500

Kaka tuache kushitaki madaktari sio sawa wale ni Miungu wa maisha yetu hapa duniani
Anhaa miungu yako ? Maana mimi Mungu wangu mmoja tu hana sifa yeyote ya kiumbe chochote halali, hali, hajazaa wala hakuzaliwa , hamtegemei yeyote katika alivyoviumba bali sisi viumbe ndiyo tunamtegemea yeye, alikuwepo na atakuwepo daima.
 
Ni sawa, lakini kwa umasikini, ufukara, utahira wa linchi kapuku kama Tanzania sio sawa kuwashitaki.

Kaka kuna madaktari wengi sana nawafahamu wamesoma kwa shida mno wametoka familia za tabu sanaa hadi leo wako hapo ni neema tu siamini sana kama ni uzembe tusiwashitaki
Unaleta huruma kwenye roho ya mtu? Alisoma kwa shida so what? Amemaliza masomo salama why asiwe makini na kazi zake?
 
Hawa M-MD wa Bongo,baadhi yao wako shallow sana,wanaheshimika kwasababu ya hofu na ujinga wetu sisi ambao hatuna uelewa wa mambo ya medical.Kuna incompetent medical personnels wengi,hadi unajiuliza,huko walikosoma hakunaga kudisco hadi huyu wakamuacha?
Hawa madaktari wa kike wenye makalio makubwa,ndiyo kabisa... hasa ukute ana hulka ya umalaya ndiyo kabisa... baadhi yao wanagawa uroda,wanapewa marks tu.
 
Ni sawa, lakini kwa umasikini, ufukara, utahira wa linchi kapuku kama Tanzania sio sawa kuwashitaki.

Kaka kuna madaktari wengi sana nawafahamu wamesoma kwa shida mno wametoka familia za tabu sanaa hadi leo wako hapo ni neema tu siamini sana kama ni uzembe tusiwashitaki
Kushitakiwa ni lazima maana kampa mtu ukilema kwa uzembe wake sasa alisomea nini ? Kama hata kumpima mtu tu ni shida? Alipe pesa na hospitali iliyomwajiri ilipishwe full stop maana hana sifa ya udaktari kama anampa mtu ukilema wa bure tu.

Kila kiungo cha binadamu kina kazi maalum sasa kwenda kuondoa kitu kizima aisee .
 
Hii inawakuta wengi tu,, mdogo wangu poly clinic moja walimwambia mishipa ya moyo imetanuka..

Mtoto alilia hii siku,, mtu mmoja akanambia tafuteni vipimo vya hosp kama 3.

Nikaenda nae NSK Arusha, wakampima majibu ni hamna shida yoyote kwenye moyo… likizo akaenda Dar akapima tena Rabininsia, hamna kitu.

Sasa sijui wanakwama wapi
Dokta kapelekwa na mjomba kufanya kazi. Chuoni alikuwa mtu wa fomesheni na Bata tu. Uhakika wa ajira alikuwa nao 😊
 
Mimi nilikuwa najua nimefanyiwa upasuaji wa goita na sikuwahi kuambiwa na hospitali ya Hindu Mandal kama wamenitoa tezi, nimekuja kujua baada ya kuelezwa na hospitali ya Apollo ya nchini India kuwa kinachonisumbua ni upungufu wa homoni na siyo kansa.[emoji15][emoji3064]
Hapa mkuu mi sijaelewa hitimisho la huyu bwana. Sababu nimesoma maelezo yake yote hajaandika kua anaumwa goita sasa mwisho kahitimisha alikua anaumwa goita na upusuaji alijua anafanyiwa goita.

Wajuzi mnisaidie pengine mm ndio cjaelewa
 
Ndio kilichobaki, tukianza kushitakiana kidoogo umakini utakuwepo, hatukatai kukosea ndio uwanadamu lakini ni too much.

Wale kenge wa dar group sijui, walifanya uzembe kiasi dada yangu akatolewa kizazi kabisa, ndugu zangu nawaambIa tuwashughulikie, wanasema mradi katoka salama, tuache tu., mtu kakosa mtoto na kizazi wametoa😠
Poleni sana. Wana JF. Kuna kitu kinachoitwa kupata ushauri mbadala kutoka kwa daktari mwingine. Msikipuuze hata kama aliyefanya dignosis ya kwanza ni dr bingwa. Kuna watu wengi sana, hata nchi zilizoendelea wamekuta ugonjwa walioambiwa na dr wa kwanza siyo wa kweli baada ya kwenda hospital nyingine na kumwona dr mwingine. Tukirudi upande wa Bongo, baadhi ya madaktari walivyo na tamaa na vilaza, wanaweza kukufanyia upasuaji ili tu wapate fedha.
 
Hawa M-MD wa Bongo,baadhi yao wako shallow sana,wanaheshimika kwasababu ya hofu na ujinga wetu sisi ambao hatuna uelewa wa mambo ya medical.Kuna incompetent mediacl personnels wengi,hadi unajiuliza,huko walikosoma hakunaga kudisco hadi huyu wakamuacha?
Hawa madaktari wa kike wenye makalio makubwa,ndiyo kabisa... hasa ukute ana hulka ya umalaya ndiyo kabisa... baadhi yao wanagawa uroda,wanapewa marks tu.
Mkuu umeongea kweli nakumbuka gego langu la kushoto la chini mwisho , lilipata carriers sasa wakala kidogo ikafika hatua likawa sensitive na maji baridi nikaenda kwa hao so called specialists wa meno jamaa akakazia niling'oe na wakati nilienda kwa nia ya kuziba pekee jamaa akakaza na mimi nikamkazia kwamba sing'oi jino abadani .

Alipoona nimekaza akaamua tu kufanya ninachotaka na mpaka leo namshukuru mungu nipo sawa kabisa na ile sensitivity wala haipo .

Sasa mtu kama huyo unamweka kundi gani?
 
Na hivi vihopsitali vilivyo mtaani wanajiita ma specialist ni vyakuogopa...Kuna hospital moja nzuri tu iko mbezi beach walimpima mtu na mashine ya ECG wakasema anatatizo la moyo anatakiwa aanze clinic muhimbili ..kufika muhimbili kwa daktari bingwa akapimwa Hana tatizo lolote la moyo...kurudia Tena sehemu nyingine hana...
Kupima ECG uchochoroni huko ni bure. Kwanza mashine zao ni mbovu na wataalam wa kupima na kusoma ni vilaza. Hili limewakuta wengi.
 
Hawa M-MD wa Bongo,baadhi yao wako shallow sana,wanaheshimika kwasababu ya hofu na ujinga wetu sisi ambao hatuna uelewa wa mambo ya medical.Kuna incompetent mediacl personnels wengi,hadi unajiuliza,huko walikosoma hakunaga kudisco hadi huyu wakamuacha?
Hawa madaktari wa kike wenye makalio makubwa,ndiyo kabisa... hasa ukute ana hulka ya umalaya ndiyo kabisa... baadhi yao wanagawa uroda,wanapewa marks tu.
Halafu sasa wanajifanya ni wajanja na wataalam kupita maelezo. Ulaya ukienda hospital manafanya discussion na dr na anakuuliza mapendekezo yako lakini Bongo dr wana viburi na wanajiona ni wataalam mno.
 
Asingekuwa na uwezo (pesa) na upeo wa kutaka kufuatilia zaidi akakomaa na mionzi angesha-RIP.

Hii nchi ukiugua ugonjwa unaoanza na jina la mtu mf Guillain-Barrè syndrome utakufa pasi kujua unaumwa ugonjwa gani.

Madaktari wamekariri magonjwa wanayokutana nayo kila siku yaani hawaendi mbali zaidi ya UTI,Malaria, Typhoid,TB.
 
Kwanza hatuna medical scientist
Pili, daktari wetu hawasomi.
Hii field inataka sana kusoma.
Mi mwenyewe kuna dokta niliwahi kumuona tena wa Muhimbili, akawa ana google khs tatizo langu ndio ananipa maelezo
Nilimuambia excuse me, nikatoka mazima.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji38][emoji38][emoji16][emoji16][emoji16]jamaniii
 
Hawa M-MD wa Bongo,baadhi yao wako shallow sana,wanaheshimika kwasababu ya hofu na ujinga wetu sisi ambao hatuna uelewa wa mambo ya medical.Kuna incompetent mediacl personnels wengi,hadi unajiuliza,huko walikosoma hakunaga kudisco hadi huyu wakamuacha?
Hawa madaktari wa kike wenye makalio makubwa,ndiyo kabisa... hasa ukute ana hulka ya umalaya ndiyo kabisa... baadhi yao wanagawa uroda,wanapewa marks tu.

Huyo daktari pengine ameshawasaidia wengi kabla ya hili kutokea, na pengine wengi tayari wanamheshimu..

Kuna vitu tunasahau, daktari huyu aliletewa majibu na pathologist na pengine alipohusianisha na dalili za mgonjwa akaona ndio tatizo alilonalo.

Kesho keshokutwa hatuombei, ukiumwa utatibiwa na daktari hapa hapa tanzania. Ukipona husemi hata shukurani ila usipopona basi daktari kilaza.

Take note: usihukumu kabla hujajua ukweli wa jambo

Kuna mamlaka zinazotoa leseni na bodi za kisimamia madaktari, wao ndio watatoa tamko sahihi juu ya hili. Mitandao inakuza sana mambo.
 
Back
Top Bottom