ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
- Thread starter
- #21
Ama iwe ukienda buchani kununua nyama ukiingia tu buchani unalipia kumuona muuza nyama halafu ndio anakata nyama anapima unalipia nyama kilo moja unaondoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi gani hiyo kama ni Tanzania hii basi umedanganywa sana na hata hujajisumbua kufuatilia.je unafaham mshahara wa daktari kianzio chake kinampita mwalimu wa degree zaidi ya mara4?
Ni dhuluma ya wazi kabisa , hata ukisahau documents kwenye chumba cha daktari kesho yake ukataka kurudi kuchukua huwezi kuruhusiwa kuingia lazima ulipe hela ya kumuona daktari.Basi kila sehemu ingekua hivyo tungefika? Mfano ukitaka kusafiri kwenda Morogoro ukiingia tu kwenye abood bus utoe pesa ya kumuona dereva wa basi then ulipie na nauli yako kwa konda
Inaitwa "consultation fees" na sio kumuona daktari.......
Hizi stori huwa zinapatikana Kijiwe gani?je unafaham mshahara wa daktari kianzio chake kinampita mwalimu wa degree zaidi ya mara4?
Ebu iweke kwa kiswahili tuone.Inaitwa "consultation fees" na sio kumuona daktari.......
Naunga mkono ziondolewe si halali kumuona tu mtu hela.Naona kama serikali imechelewa sana kufuta hii gharama inayozidi kumuongezea machungu mgonjwa pindi anapoamua kwenda kutafuta tiba hospitali
Ni kijambo kidogo lakini huwezi jua pengine kimewahi hata kusababisha vifo
Huenda ilishatokea mtu aliumwa sana na akatamani aende hospitali lakini akajikuta hata pesa ya kumuona daktari hana..pengine ikapelekea akasusa hata baadae maradhi yakamzidi na akafariki kwa kuchelewa kupata matibabu!
Nimewaza sana na kujiuliza kuna uhalali gani wa malipo haya? Si hospitali ya serikali si private...yaani hata daktari hajasema chochote anaku chaji pesa ambayo imeshapangwa wewe na yeyote yule atakayeingia chumba hicho atoe kwanza kabla ya gharama zingine za matibabu.
Tuombe serikali iondoe gharama hizi kutupunguzia mzigo wa maisha angalau tuwe tunalipia vipimo na dawa tu.
Ha ha ha [emoji23][emoji23]Ama iwe ukienda buchani kununua nyama ukiingia tu buchani unalipia kumuona muuza nyama halafu ndio anakata nyama anapima unalipia nyama kilo moja unaondoka
Mgonjwa aliezidiwa kuna 'fast track' au 'emergency' anahudumiwa kwanza malipo yanafuata.Kwahiyo umewaweka kundi la waganga wa kienyeji, lkn ndio wasomi wetu na wanaona umewatendea haki.
Lkn ni ukweli kuwa hii gharama unachangia vifo. Kwanini kumuona iwe hela na hapo mgonjwa amezidiwa? Hii gharama ITOLEWE KABISA
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Umeandika upumbavu. Ni bora ungeshauri wananchi wachukue bima.Mkuu kumuona mganga wa kienyeji tu unalipia sembuse mtu alie ingia na kusota darasani miaka 6 au zaidi ? Itabidi hata tukiwapigia simu tulipie maana tunawasumbua mno .
Hata walimu waanze Gharama Za kuwaona.
Zamani ilikuwa wito kwa sasa watu wanaenda wapate ajira tu basi,ndo watu kama nyieKupigiwa simu mpaka usiku ni usumbufu
Nisehemu ya majukumu yakoKupigiwa simu mpaka usiku ni usumbufu
Mkuu unataka ukapate ushauri wa kitabibu bure wakati wenzio wanesota darasani.Naona kama serikali imechelewa sana kufuta hii gharama inayozidi kumuongezea machungu mgonjwa pindi anapoamua kwenda kutafuta tiba hospitali.
Ni kijambo kidogo lakini huwezi jua pengine kimewahi hata kusababisha vifo.
Huenda ilishatokea mtu aliumwa sana na akatamani aende hospitali lakini akajikuta hata pesa ya kumuona daktari hana, pengine ikapelekea akasusa hata baadae maradhi yakamzidi na akafariki kwa kuchelewa kupata matibabu!
Nimewaza sana na kujiuliza kuna uhalali gani wa malipo haya? Si hospitali ya serikali si private, yaani hata daktari hajasema chochote anaku chaji pesa ambayo imeshapangwa wewe na yeyote yule atakayeingia chumba hicho atoe kwanza kabla ya gharama zingine za matibabu.
Tuombe serikali iondoe gharama hizi kutupunguzia mzigo wa maisha angalau tuwe tunalipia vipimo na dawa tu.