Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Mtoa mada hongera hivi umewahi fanya kazi hospitalini unajua shida zakupokea kila mgonjwa na ugonjwa wake??
Basi nyamaza usione kazi za wenzako sio kazi ni yako tu ndio kazi.
Jingine jaribu kuheshimu kazi za watu nakama huna hela yeyote omba msaada usaidiwe sio ikatwe kifuta jashi cha wengine.
Umewahi tumbua usaha wa mgonjwa na kuja kula chakula kwa wakati mmoja .
Maisha sio rahisi udhaniavyoo.
Tena kuna kama kaloleni kumuona daktari ni bure na vipimo vinalipiwa na dawa zinalipiwa .
Mf. Wewe unafanya kazi hupewi marupurupu unatumiwa tu.
Sema basi utafurahi usione kazi za watu ni zakipuuzi.
Omba doctor samahani unaendeleaje mimi doctor na shida sina hela ya kumuona daktari naomba msaada wako .
Utatibiwa . Ila kuwa kata wenzako mishahara yao sio powa
Basi nyamaza usione kazi za wenzako sio kazi ni yako tu ndio kazi.
Jingine jaribu kuheshimu kazi za watu nakama huna hela yeyote omba msaada usaidiwe sio ikatwe kifuta jashi cha wengine.
Umewahi tumbua usaha wa mgonjwa na kuja kula chakula kwa wakati mmoja .
Maisha sio rahisi udhaniavyoo.
Tena kuna kama kaloleni kumuona daktari ni bure na vipimo vinalipiwa na dawa zinalipiwa .
Mf. Wewe unafanya kazi hupewi marupurupu unatumiwa tu.
Sema basi utafurahi usione kazi za watu ni zakipuuzi.
Omba doctor samahani unaendeleaje mimi doctor na shida sina hela ya kumuona daktari naomba msaada wako .
Utatibiwa . Ila kuwa kata wenzako mishahara yao sio powa