Mgonjwa kulipia 'Kumuona Daktari' Hospitali si sahihi

Mgonjwa kulipia 'Kumuona Daktari' Hospitali si sahihi

Suala la afya liko kwenye
jukumu lako mwenyewe.....
Ukiona unahisi unatofauti
mwilini,au unajisikia ndivyo
sivyo muone daktari
Aliyebobea kwenye kazi yake
Ova
Kwahiyo unataka kusema
kwamba makosa na vifo vinavyofanywa na madaktari ni kwa sababu si madaktari waliyobobea?
 
Kuna sehemu nilienda Nikaambiwa kumuona daktari laki moja Nikamuuliza huyo Daktari Yuko Uchi?
 
Mtoa mada...hivi unajua dhamani ya daktr kweli ww?? Yan unalalamika kulipia huduma ya kumuona daktri ili apate huduma ya matibabu??? Inasikitisha snaa...so ulitaka akuone bure, umpigie simu muda wwte unaotaka ww kisa unaumwa??? 7Upo serious kwel ww? yan una bet mpka na afya yako mwenyew...so unataka akutibie bure..umemsomesha ww?? Mbona ukienda club nyt jus kukata mauno nyimbo zikipigwa unalazimika kulipa mlangoni hata kama kiingilio ni 50k?? So tutoleee ujinga wako hapa wa fikra..kwamba daktr akuone tu bureee kwa lipi haswa?? Soma ww udaktr halafu uje ulete hizi pumba zako humu[emoji34][emoji34]
 
HELA YA CONSULTATION HACHUKUI DAKTARI ILE NI KWA AJILI YA HOSPITAL KUWEZA KUJIENDESHA NA KUMLIPA MSHAHARA YULE DAKTARI ANAYEKUHUDUMIA .

Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
Poa nimekuelewa kumbe kodi tunazolipa wananchi ni kwa ajili ya mishahara ya wabunge ,mawazi, wakuu wamikoa, wakuu wa wilaya na n.k

Ila mishahara ya madaktari ndio inakusanywa pale mwananchi anapoumwa na kutaka kumuona daktari
 
Mtoa mada...hivi unajua dhamani ya daktr kweli ww?? Yan unalalamika kulipia huduma ya kumuona daktri ili apate huduma ya matibabu??? Inasikitisha snaa...so ulitaka akuone bure, umpigie simu muda wwte unaotaka ww kisa unaumwa??? 7Upo serious kwel ww? yan una bet mpka na afya yako mwenyew...so unataka akutibie bure..umemsomesha ww?? Mbona ukienda club nyt jus kukata mauno nyimbo zikipigwa unalazimika kulipa mlangoni hata kama kiingilio ni 50k?? So tutoleee ujinga wako hapa wa fikra..kwamba daktr akuone tu bureee kwa lipi haswa?? Soma ww udaktr halafu uje ulete hizi pumba zako humu[emoji34][emoji34]
Analipwa na kodi za wananchi
 
Mkuu kumuona mganga wa kienyeji tu unalipia sembuse mtu alie ingia na kusota darasani miaka 6 au zaidi? Itabidi hata tukiwapigia simu tulipie maana tunawasumbua mno.
𝐧𝐚𝐚𝐦𝐢𝐧𝐢 𝐡𝐚𝐩𝐨 𝐮𝐥𝐢𝐩𝐨𝐟𝐢𝐤𝐚 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐮𝐦𝐫𝐢 𝐰𝐚𝐤𝐨 𝐮𝐧𝐚𝐣𝐮𝐰𝐚 𝐤𝐚𝐳𝐢 𝐲𝐚 𝐝𝐨𝐜𝐭𝐨𝐫 𝐧𝐢 𝐧𝐢𝐧𝐢,
𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐬𝐢𝐨 𝐤𝐮𝐨𝐤𝐨𝐚 𝐦𝐚𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐲𝐚 𝐰𝐚𝐠𝐨𝐧𝐣𝐰𝐚 𝐬𝐚𝐬𝐚 𝐚𝐥𝐢𝐬𝐨𝐦𝐚 𝐢𝐥𝐢 𝐢𝐰𝐞𝐣𝐞, unaloliongea basi lifikilie kwanza mara mbili
 
Mtu yeyote anayependekeza kufutwa kwa gharama za kumuona Daktari ana uelewa mdogo wa masuala ya tiba.

Daktari ndiye mtafasiri wa dalili za ugonjwa toka kwa mgonjwa na kuziweka ktk hali ya Tatizo moja au matatizo machache ambayo mgonjwa atatakiwa kuanza aidha kufanyiwa uchunguzi au kupata matibabu.

Yeye ndiye atakayeamua Mgonjwa afanyiwe vipimo au matibabu bila hata kwenda kwenye vipimo (siyo kila ugonjwa utahitaji kupimwa) hivyo Daktari anaweza kukupunguzia gharama za vipimo endapo mgonjwa angeamua mwenyewe kutafuta huduma bila kuwa na uelewa wa tatizo.

Baadhi ya wagonjwa wana matatizo ya ugonjwa usiohitaji vipimo na dawa zaidi ya tiba ya maongezi au just assurance and psychological counseling. Hii huduma inatolewa na Daktari mwenyewe au mtu mwingine.

Gharama za kumuona Daktari zinajumuisha gharama za kutunza kumbukumbu za mgonjwa, kwahiyo faili, Kalamu au Komputa anayoitumia Daktari ni gharama za kituo cha kutolea huduma ambazo zinahitaji kuwa sustained kupitia mapato ya kituo husika.

Tatizo lolote linalomkabiri mgonjwa baada ya matibabu hushughulikiwa na Daktari, siyo wataalamu waliokupima vipimo wala Mtaalamu aliyekupatia dawa kwenye duka la dawa, ukihitaji ripoti ya ugonjwa wako ni huyohuyo

Kwa maana hiyo Daktari anatoa huduma sawasawa na zile unazopata kwenye maabara au duka la dawa - ni suala la msingi huduma hiyo kugharamiwa.

Tuthamini muda wao na taaluma zao
 
ni upumbavu mkubwa kumuona daktari pesa. mbona yeye daktari akitoka nje huwa anatuona sisi bure hatumchaji
Hapo Kama unataka hvo ama nchi mkuu uanzishe ya kwako we unazan mtu kutibu watu ni mchezo mbona kwa waganga wakienyej waga haumuoni bure
 
Lengo hasa la consultation fee ni nini? na je what if kila Fani wakijiwekea utaratibu huo wa consultation fees? maana wote wameingia darasani na wamesota.

1. Mfano, wahasibu- Degree ya kwanza + miaka ya CPA.
2. Wanasheria wasomi - Degree ya kwanza + miaka ya Law School.
3. Maafisa manunuzi - Degree ya kwanza + miaka ya kupata CPSP
4. Maafisa Utumishi- Degree ya kwanza + Mitihani yao ya utumishi.

Utakuta hata hao walio kwenye kada nyingine wamesoma miaka almost the same kama hao madaktari.

Nikweli naunga mkono, consultation fee ifutwe.
Umeandika usichokijua.
Fikra za kijamaa (huduma za kijamii ni bure!) huenda ndio zimekufanya kufikiri hivyo.

Consultation fee ipo katika professional zote dunia nzima wakati wa kutoa huduma. Haijarishi ni Daktari, Mpishi, Lawyer, Accountant, Pastor, Fundi nk kote huko utakutana na Consultation fee. Issue ni namna tu watakavyomlipisha mtu ndio inaweza kutofautiana, wapo wanaokulipisha directly na wengine indirectly, ama individual vs group. Mtu anapolipa Consultation fee maana yake analipia muda, akili na maarifa ya mtaalamu anayemhudumia.

Unapolipa pesa ili kumuona Daktari, kimantiki ni kwamba imeilipa hospitali husika itenge muda, nguvu kazi, akili na maarifa ya kuanzisha/kuendeleza mchakato wa kuhudumia afya yako, na kihospitali hilo jukumu kimsingi huwa ni la Daktari. Na hospitali huweka flat rate ya consultation fee kwa wagonjwa wote ili kufidia, maana wapo wagonjwa wenye kuhitaji muda mwingi, akili kubwa, maarifa mapana na nguvu kazi na pia wapo wenye kuhitaji mambo hayo kwa uchache.

Yote kwa yote unapaswa ufahamu tu, ile consultation fee ni pesa ya hospitali husika, ndio hiyo hiyo hutumika kulipa wafanyakazi mishahara, Posho, kulipa kodi, umeme, maji, ulinzi na kununua vifaa.
 
Umeandika usichokijua.
Fikra za kijamaa (huduma za kijamii ni bure!) huenda ndio zimekufanya kufikiri hivyo.

Consultation fee ipo katika professional zote dunia nzima wakati wa kutoa huduma. Haijarishi ni Daktari, Mpishi, Lawyer, Accountant, Pastor, Fundi nk kote huko utakutana na Consultation fee. Issue ni namna tu watakavyomlipisha mtu ndio inaweza kutofautiana, wapo wanaokulipisha directly na wengine indirectly, ama individual vs group. Mtu anapolipa Consultation fee maana yake analipia muda, akili na maarifa ya mtaalamu anayemhudumia.

Unapolipa pesa ili kumuona Daktari, kimantiki ni kwamba imeilipa hospitali husika itenge muda, nguvu kazi, akili na maarifa ya kuanzisha/kuendeleza mchakato wa kuhudumia afya yako, na kihospitali hilo jukumu kimsingi huwa ni la Daktari. Na hospitali huweka flat rate ya consultation fee kwa wagonjwa wote ili kufidia, maana wapo wagonjwa wenye kuhitaji muda mwingi, akili kubwa, maarifa mapana na nguvu kazi na pia wapo wenye kuhitaji mambo hayo kwa uchache.

Yote kwa yote unapaswa ufahamu tu, ile consultation fee ni pesa ya hospitali husika, ndio hiyo hiyo hutumika kulipa wafanyakazi mishahara, Posho, kulipa kodi, umeme, maji, ulinzi na kununua vifaa.
Bila shaka una hospitali🤣
 
Kulipa hela kumuona bwana dakitari ni wizi,
Iondoshwe mara moja,
Vinginevyo hatuendi kuwaona
 
Umeandika usichokijua.
Fikra za kijamaa (huduma za kijamii ni bure!) huenda ndio zimekufanya kufikiri hivyo.

Consultation fee ipo katika professional zote dunia nzima wakati wa kutoa huduma. Haijarishi ni Daktari, Mpishi, Lawyer, Accountant, Pastor, Fundi nk kote huko utakutana na Consultation fee. Issue ni namna tu watakavyomlipisha mtu ndio inaweza kutofautiana, wapo wanaokulipisha directly na wengine indirectly, ama individual vs group. Mtu anapolipa Consultation fee maana yake analipia muda, akili na maarifa ya mtaalamu anayemhudumia.

Unapolipa pesa ili kumuona Daktari, kimantiki ni kwamba imeilipa hospitali husika itenge muda, nguvu kazi, akili na maarifa ya kuanzisha/kuendeleza mchakato wa kuhudumia afya yako, na kihospitali hilo jukumu kimsingi huwa ni la Daktari. Na hospitali huweka flat rate ya consultation fee kwa wagonjwa wote ili kufidia, maana wapo wagonjwa wenye kuhitaji muda mwingi, akili kubwa, maarifa mapana na nguvu kazi na pia wapo wenye kuhitaji mambo hayo kwa uchache.

Yote kwa yote unapaswa ufahamu tu, ile consultation fee ni pesa ya hospitali husika, ndio hiyo hiyo hutumika kulipa wafanyakazi mishahara, Posho, kulipa kodi, umeme, maji, ulinzi na kununua vifaa.
Wewe ndio umeandika unachokijua!
 
Mkuu kumuona mganga wa kienyeji tu unalipia sembuse mtu alie ingia na kusota darasani miaka 6 au zaidi? Itabidi hata tukiwapigia simu tulipie maana tunawasumbua mno.
Udakitari ni wito
 
Back
Top Bottom