Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 13,332
- 7,351
Kama bure ni kitu kibaya au dhariri basi hawa viongozi wasingetibiwa bure.Taifa la wapenda bure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama bure ni kitu kibaya au dhariri basi hawa viongozi wasingetibiwa bure.Taifa la wapenda bure
Kufa kupo tu ndio maana wengi wanakufa kwa maradhi ambayo madaktari hamjui tiba zake au hamkubaliani na tiba zake ambazo ni nje ya mlichofundishwa na matokeo mgonjwa anawafia hospitali bila kujaribu njia nyengine mbadala.Waache wafe Wakilalamika.
Watanzania ni watu wajinga sana. Hata hawajui wanataka
nini. MagufuliJP walimtukana
sana ila sasa wanakumbuka, JK
the same.
Ni kweli upo sahihi mwanchi kulipia hiyo ghalama ya kumuona daktali kwa sababuNaona kama Serikali imechelewa sana kufuta hii gharama inayozidi kumuongezea machungu mgonjwa pindi anapoamua kwenda kutafuta tiba hospitali.
Ni kijambo kidogo lakini huwezi jua pengine kimewahi hata kusababisha vifo.
Huenda ilishatokea mtu aliumwa sana na akatamani aende hospitali lakini akajikuta hata pesa ya kumuona daktari hana, pengine ikapelekea akasusa hata baadae maradhi yakamzidi na akafariki kwa kuchelewa kupata matibabu!
Nimewaza sana na kujiuliza kuna uhalali gani wa malipo haya? Si hospitali ya serikali si private, yaani hata daktari hajasema chochote anaku chaji pesa ambayo imeshapangwa wewe na yeyote yule atakayeingia chumba hicho atoe kwanza kabla ya gharama zingine za matibabu.
Tuombe serikali iondoe gharama hizi kutupunguzia mzigo wa maisha angalau tuwe tunalipia vipimo na dawa tu.
HELA YA CONSULTATION HACHUKUI DAKTARI ILE NI KWA AJILI YA HOSPITAL KUWEZA KUJIENDESHA NA KUMLIPA MSHAHARA YULE DAKTARI ANAYEKUHUDUMIA .Ni kweli upo sahihi mwanchi kulipia hiyo ghalama ya kumuona daktali kwa sababu
Huyu mgonjwa tayari analipa makodi kibao
Unajua kua kama kuna mashirika ya bima yanafanya biashara?[emoji16][emoji16]
Watu wananunua pombe hadi za milioni usiku mmoja tu,ndio iwe kulipia Bima mwaka mzima milioni,kwa ajili ya kumuona daktari kila anapoumwa?
Hapo utagundua tatizo ni umasikini na si kumuona daktari
Suala la afya liko kwenye jukumu lako mwenyewe.....Na hilo ndio tatizo lenu, hao wanaokufa kwenye uangalizi wenu huko hospitali kutokana na aina za tiba zenu au uzembe wenu hayo hamuyazungumzii ila mkisikia mtu katumia dawa ya kienyeji au kanywa dawa bila ushauri wenu na kafariki au kapata madhara basi hayo ndio mnayaona na kuyaongea.
Dunia ya sasa ndiyo ilivyoIngekuwa ni hiayari nisingetoa, sema ndio hivyo madaktari wenyewe wamefundishwa kutengeneza pesa kupitia afya za watu.
Unaonaje pia kama watakuwa wanawajibishwa severely wakimsababishia mtu/mgonjwa kufanya irrelevant diagnosis au hata kumpa dawa zisizotakiwa?Labda useme kuwe na kiwango kimoja kwa nchi nzima...
Ukiondoa hiyo fee, mahospitali yatafurika wakati bado uwiano wa daktari mmoja kwa wagonjwa ni mkubwa...
HahahahaHujawahi fanya kazi au kupata shida.
Maeneo yote hayo imetaja wanalipa consultancy fee.
Kumuona mwanasheria kukushauri ni 50000 unatoa papo kwa papo. Na sijawahi ona mwananchi analalamika na hizi zinalipwa bila shuruti.
Mwanasheria kucertify cheti kimoja ni 20,000 bila hiyo hupati huduma. Sijawahi ona mwananchi analalamika.
Ukienda kwenye firms za wahasibu unalipa consultant fee, ukienda kwenye firms za Manunuzi unalipa. Sema wewe hujui. Na ni hujui kwasababu hizo huduma so kila mtu atataka. Na anayetaka hizo huduma ni mwenye pesa haoni shida. But huduma za afya ni mtakuja kuanzia masikini hadi tajiri lazima mje tu. Ndo maana vitu vidogo mnaona vikubwa but ukienda kwa mwanasheria kule au consultation kwaajili ya projects unalipa tu.
Na ukiona hivi ujue ndo umuhimu wa hiyo huduma. So chutama na omba iboreshwe
Ila afya mnaona ni kitu cha bure. Duniani kote huduma za afya ni very expensive ukisema uendeshe kwa hivi mnataka. Ipo siku utapakwa Mavi ya mgonjwa badala ya spirit.
If you think health is expensive try ignorance.
Bwana wewe si anapokea mshahara kutokana na kodi za wananchi.Mfano usmbiwe kafanye full blood picture...
Umefanya,umepewa report sasa ukipewa hiyo report utaisoma mwenyewe kujua na kuielewa
Si itabidi umrudishie daktari akakusome
Ova
Kwenye ada umepuyanga. Na wanaosoma Aerospace au aircraft engineering wasemeje.Either hauna akili ama wewe ni mpumbavu.....majibu ni mawili tu.
"Consultation fee" ni huduma sio bidhaa,ni kazi ya daktari kujua upime kipimo kipi na kwa sababu gani?,utumie ama usitumie dawa ipi na kwa nini?,unadhani ni rahisi hio kazi?
Daktari amekaa shule miaka 6 na udaktari ndio degree pekee ambayo mtu analipa ada nyingi kuliko kozi yeyote ile,ada ya MD pale KCMC ya mwaka mmoja unaweza lipia kozi zingine za miaka mitatu na chenji ikabaki.
Ulizia gharama za kusoma MD hata dunia ya kwanza huko,U.S,Canada,Germany etc.
Daktari hana bidhaa,daktari anatoa huduma ya "materials" aliyoyasoma miaka kazaa shule,ile unayolipia ni elimu ya daktari,ni Sheria ya dunia,ukiwa mjinga lazima ulipie elimu ya kitu usichokijua.
Ukienda bar unalipia pombe,ukipanda basi unalipia nauli ufike.
Ukienda kwa daktari unalipia "fee"ya kulipia elimi usiyoijua kuhusu ugonjwa wako,ukienda maabara,unalipia vipimo,ukienda pharmacy unalipia gharama ya dawa.
Kwa sheria ipi Tanzania, unatakiwa kutoa huduma bure. Ukinipa basi naacha ubishi hapaHahahaha
Sio education.
Ila sielewi bado. Hujanishawishi.
Health care ni basic needs.
Inatakiwa itolewe for free au kwa very minimal cost ambayo kila mtu anaweza afford. Over
Hii ishu Isikusumbue Sana mkuu hakuna mabadiliko yoyote yatakayotokea. Hili ni suala la cost sharing.. Limeanzia miaka y 80s huko. Sio zuri Kwa wenye kipato kidog zaidi kama mm n wew Lakin tayar lishakuwa zuri Kwa sabb ni kesi y kupata mapato Kwa Serikali.Naona kama Serikali imechelewa sana kufuta hii gharama inayozidi kumuongezea machungu mgonjwa pindi anapoamua kwenda kutafuta tiba hospitali.
Ni kijambo kidogo lakini huwezi jua pengine kimewahi hata kusababisha vifo.
Huenda ilishatokea mtu aliumwa sana na akatamani aende hospitali lakini akajikuta hata pesa ya kumuona daktari hana, pengine ikapelekea akasusa hata baadae maradhi yakamzidi na akafariki kwa kuchelewa kupata matibabu!
Nimewaza sana na kujiuliza kuna uhalali gani wa malipo haya? Si hospitali ya serikali si private, yaani hata daktari hajasema chochote anaku chaji pesa ambayo imeshapangwa wewe na yeyote yule atakayeingia chumba hicho atoe kwanza kabla ya gharama zingine za matibabu.
Tuombe serikali iondoe gharama hizi kutupunguzia mzigo wa maisha angalau tuwe tunalipia vipimo na dawa tu.
Mkuu, daktari anapokuwa ofisini (wodini) pale ile ndio ofisi yake, kama ilivyo kwa accountant na kada nyingine! ambao wanalipwa mashahara kupitia kodi,Hujawahi fanya kazi au kupata shida.
Maeneo yote hayo imetaja wanalipa consultancy fee.
Kumuona mwanasheria kukushauri ni 50000 unatoa papo kwa papo. Na sijawahi ona mwananchi analalamika na hizi zinalipwa bila shuruti.
Mwanasheria kucertify cheti kimoja ni 20,000 bila hiyo hupati huduma. Sijawahi ona mwananchi analalamika.
Ukienda kwenye firms za wahasibu unalipa consultant fee, ukienda kwenye firms za Manunuzi unalipa. Sema wewe hujui. Na ni hujui kwasababu hizo huduma so kila mtu atataka. Na anayetaka hizo huduma ni mwenye pesa haoni shida. But huduma za afya ni mtakuja kuanzia masikini hadi tajiri lazima mje tu. Ndo maana vitu vidogo mnaona vikubwa but ukienda kwa mwanasheria kule au consultation kwaajili ya projects unalipa tu.
Na ukiona hivi ujue ndo umuhimu wa hiyo huduma. So chutama na omba iboreshwe
Ila afya mnaona ni kitu cha bure. Duniani kote huduma za afya ni very expensive ukisema uendeshe kwa hivi mnataka. Ipo siku utapakwa Mavi ya mgonjwa badala ya spirit.
If you think health is expensive try ignorance.
Aliyekwambia wanatibiwa bure nani?Kama bure ni kitu kibaya au dhariri basi hawa viongozi wasingetibiwa bure.
Ndio maana nasema madaktari wamefunzwa kutengeneza pesa kupitia afya za watu.Dunia ya sasa ndiyo ilivyo
Bila pesa hupati kitu
Ova