Mgonjwa kulipia 'Kumuona Daktari' Hospitali si sahihi

Mgonjwa kulipia 'Kumuona Daktari' Hospitali si sahihi

Lengo hasa la consultation fee ni nini? na je what if kila Fani wakijiwekea utaratibu huo wa consultation fees? maana wote wameingia darasani na wamesota.

1. Mfano, wahasibu- Degree ya kwanza + miaka ya CPA.
2. Wanasheria wasomi - Degree ya kwanza + miaka ya Law School.
3. Maafisa manunuzi - Degree ya kwanza + miaka ya kupata CPSP
4. Maafisa Utumishi- Degree ya kwanza + Mitihani yao ya utumishi.

Utakuta hata hao walio kwenye kada nyingine wamesoma miaka almost the same kama hao madaktari.

Nikweli naunga mkono, consultation fee ifutwe.

Afya usifananishe na upuuzi mwingine,

Hizo Huduma zingine zinaweza zisiwepo na maisha yakaendelea lakini Huduma ya Afya isipokuwepo na maisha hakuna.


Fees uwepo Ila iwe Affordable.

Hizo Huduma zote ulizotaja kuna Watu tangu wazaliwe hawajawahi kuzihitaji lakini hakuna mtu ambaye hajawahi Kuumwa ambaye hajapewa Tiba iwe na Daktari wa miti shamba au Daktari wa madawa ya hospital za Kisasa.

Afya inauhusiano wa moja Kwa moja na kila mtu.
Hivyo vingine havina uhusiano WA ulazima na kila Mtu
 
ni upumbavu mkubwa kumuona daktari pesa. mbona yeye daktari akitoka nje huwa anatuona sisi bure hatumchaji
 
huyo daktari gari lake likiwa na matatizo anampelekea fundi wagari na anapewa ushauri bure na fundi. anamueleza tatizo la gari lako moja mbili tatu. buree
 
Ushauri hautolewi bure. Maana analipwa mshahara..
Kama vipi Better wachaji kwa muda na pia gharama iwe affordable.
Mfano usmbiwe kafanye full blood picture...
Umefanya,umepewa report sasa ukipewa hiyo report utaisoma mwenyewe kujua na kuielewa
Si itabidi umrudishie daktari akakusome

Ova
 
Mkuu unataka ukapate ushauri wa kitabibu bure wakati wenzio wanesota darasani.
Mfano unaenda kwa daktari anakufanyia consultation hakafu unaondoka kwenda kununua dawa kwenye maduka ya dawa, hasara itakuwa kwa nani. Kwa wenzetu walioendelea consultation fee inachajiwa kwa muda daktari anaotumia kukuhudumia.
Kwani daktari halipwi mshahara?
 
Mleta mada una tafsiri potofu kuhusu gharama ya kumuona Daktari. Kiuhalisia ile sio gharama ya kumuona Daktari bali ni gharama ya kutibiwa na Daktari. Kuonana na Daktari kwa lengo la kutibiwa ndio msingi wa huduma zote za matibabu kwa mgonjwa, na pesa unayolipa ndio inalipia muda wake, juhudi zake na akili yake itakayo tumika kutambua ugonjwa wako na kupangilia matibabu ya ugonjwa wako na wagonjwa wengine. Gharama hizo hutofautiana baina ya hospitali na hospitali au Daktari na Daktari. Kwa hospitali za umma (serikali) ile pesa inaingia kwenye mapato ya serikali na kwa hospitali za binafsi ile pesa inaingia kwenye hospitali husika, Daktari yeye hulipwa na taasisi husika kwa mapatano binafsi.
Wabongo wanataka shortcut mpaka kwenye masuala ya afya zao
Ni vizuri ukamuona daktari akufanyie vipimo,we ujijue kwa undani ni tatizo linalokusibu,alafu hawa maspecialist wakikuandikia dawa hawabahatishi

Ova
 
Kwangu mm sio lazima,kulipa pesa ya daktar kabla ya Huduma.
Kama hospital inamfumo huwo wakumuona daktar mpaka ulipe kwanza,ntaenda hospital nyingine
 
Hujawahi fanya kazi au kupata shida.

Maeneo yote hayo imetaja wanalipa consultancy fee.

Kumuona mwanasheria kukushauri ni 50000 unatoa papo kwa papo. Na sijawahi ona mwananchi analalamika na hizi zinalipwa bila shuruti.

Mwanasheria kucertify cheti kimoja ni 20,000 bila hiyo hupati huduma. Sijawahi ona mwananchi analalamika.

Ukienda kwenye firms za wahasibu unalipa consultant fee, ukienda kwenye firms za Manunuzi unalipa. Sema wewe hujui. Na ni hujui kwasababu hizo huduma so kila mtu atataka. Na anayetaka hizo huduma ni mwenye pesa haoni shida. But huduma za afya ni mtakuja kuanzia masikini hadi tajiri lazima mje tu. Ndo maana vitu vidogo mnaona vikubwa but ukienda kwa mwanasheria kule au consultation kwaajili ya projects unalipa tu.

Na ukiona hivi ujue ndo umuhimu wa hiyo huduma. So chutama na omba iboreshwe

Ila afya mnaona ni kitu cha bure. Duniani kote huduma za afya ni very expensive ukisema uendeshe kwa hivi mnataka. Ipo siku utapakwa Mavi ya mgonjwa badala ya spirit.

If you think health is expensive try ignorance.
Ndomana kna comment yangu 1 kwenye uzi huu,nlisema consultation fee iko kwenye kila taaluma
Mambo sheria,mambo tax,mambo ya biashara etc
Nashangaa wanaiona hyo ya udaktari tu
Kifupi suala la udaktari,afya naliheshim sana
Juzi juzi hko kigamboni kna namjua tena anauwezo tu,alikuwa anajisikia vibaya kaenda moja kwa moja duka la dawa kachkua dawa za uti
Kameza,jamaa kakata roho
Sasa badala aende hospital au clinic
Ajue ttz jamaa kajifanya mtaalam wa afya anajua
Kafa kindezi kweli

Ova
 
Nchi yetu kila mtu amekuwa kama mtoto kila mtu anataka vya bure bure
Dunia ya leo hakuna cha bure

Kuna dada mmoja alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa alikuwa anakonda sana, mpk watu wakawa wansema Ana ngoma,alipima hadi ngoma alikuwa hana
Ye alikuwa anaenda tibiwa hospital mwananyamala na zakawaida
Huko kila daktar anamuambia lake
Nkamwambia ngj nikiwa sawa ntakufanyia mpngo nkusimamie
Ila utaenda clinic moja adrikallo,pale kuna maspecialist wa kutoka muhimbili na wako vzr tu
Kweli nkamfanyiaga appointment
Tukaenda,dokta akamsikia,akamuandikia vipimo
Mwisho wa siku alionekana Ana gautter
Alimuandikia dozi na alitumia mpk leo
Yule dada kaka vzr mwili umerudi, chura imerudi
Suala la afya linataka umakini sana

Ova
 
Ama iwe ukienda buchani kununua nyama ukiingia tu buchani unalipia kumuona muuza nyama halafu ndio anakata nyama anapima unalipia nyama kilo moja unaondoka
Either hauna akili ama wewe ni mpumbavu.....majibu ni mawili tu.
"Consultation fee" ni huduma sio bidhaa,ni kazi ya daktari kujua upime kipimo kipi na kwa sababu gani?,utumie ama usitumie dawa ipi na kwa nini?,unadhani ni rahisi hio kazi?
Daktari amekaa shule miaka 6 na udaktari ndio degree pekee ambayo mtu analipa ada nyingi kuliko kozi yeyote ile,ada ya MD pale KCMC ya mwaka mmoja unaweza lipia kozi zingine za miaka mitatu na chenji ikabaki.
Ulizia gharama za kusoma MD hata dunia ya kwanza huko,U.S,Canada,Germany etc.
Daktari hana bidhaa,daktari anatoa huduma ya "materials" aliyoyasoma miaka kazaa shule,ile unayolipia ni elimu ya daktari,ni Sheria ya dunia,ukiwa mjinga lazima ulipie elimu ya kitu usichokijua.
Ukienda bar unalipia pombe,ukipanda basi unalipia nauli ufike.
Ukienda kwa daktari unalipia "fee"ya kulipia elimi usiyoijua kuhusu ugonjwa wako,ukienda maabara,unalipia vipimo,ukienda pharmacy unalipia gharama ya dawa.
 
Basi kila sehemu ingekua hivyo tungefika? Mfano ukitaka kusafiri kwenda Morogoro ukiingia tu kwenye abood bus utoe pesa ya kumuona dereva wa basi then ulipie na nauli yako kwa konda
Aisee, ni atai kweikwei!
Bila Shaka uzee ungetukuta tukiwa na umri wa miaka 20 tu,
 
Unaenda pale unaeleza unavyojisikia anakusikiliza na kuandika ukapime kipimo gani kutokana na dalili zako, hapo napo daktari anaona amefanya kazi kuubwa. Kwenye clinic mfano muhimbili pale Jakaya, kumuona daktari elfu 15 hiyo lazima kwanza na hakuna cha maana.
Kama hakuna cha maana kwa nini utoe hio hela?[emoji1787][emoji1787]
 
Ndomana kna comment yangu 1 kwenye uzi huu,nlisema consultation fee iko kwenye kila taaluma
Mambo sheria,mambo tax,mambo ya biashara etc
Nashangaa wanaiona hyo ya udaktari tu
Kifupi suala la udaktari,afya naliheshim sana
Juzi juzi hko kigamboni kna namjua tena anauwezo tu,alikuwa anajisikia vibaya kaenda moja kwa moja duka la dawa kachkua dawa za uti
Kameza,jamaa kakata roho
Sasa badala aende hospital au clinic
Ajue ttz jamaa kajifanya mtaalam wa afya anajua
Kafa kindezi kweli

Ova
Waache wafe Wakilalamika. Watanzania ni watu wajinga sana. Hata hawajui wanataka nini. MagufuliJP walimtukana sana ila sasa wanakumbuka, JK the same.
 
Asante sana mkuu, kumbe nawe umeliona hilo!

Hizi hospital/clinic ni mtihani mkuu. Kufungua file tsh 5000, kumuona daktari 25000 na kwendelea. Ikiwa utakutwa na tatizo basi watakuambia tumia dawa flani, itakubidi dawa hizo uzinunue kwa gharama yako.

Next? Utaambiwa baada ya kumaliza dawa hizo utapaswa uendelee nazo au urejee hospital/clinic uonane tena na daktari, kisha utalipia kumuona daktari kwa mara nyingine, kwa hiyo utaendelea hivyo hivyo mpaka hali itakapokaa sawa. Mheshimiwa rais wa watu, mwenye imani na huruma aliangalie suala hili na alifanyie kazi.
Unajua kua kama kuna mashirika ya bima yanafanya biashara?[emoji16][emoji16]
Watu wananunua pombe hadi za milioni usiku mmoja tu,ndio iwe kulipia Bima mwaka mzima milioni,kwa ajili ya kumuona daktari kila anapoumwa?
Hapo utagundua tatizo ni umasikini na si kumuona daktari
 
Ndomana kna comment yangu
1 kwenye uzi huu,nlisema consultation fee iko kwenye kila
taaluma
Mambo sheria,mambo
tax,mambo ya biashara etc
Nashangaa wanaiona hyo ya
udaktari tu
Kifupi suala la udaktari,afya
naliheshim sana
Juzi juzi hko kigamboni kna
namjua tena anauwezo
tu,alikuwa anajisikia vibaya
kaenda moja kwa moja duka la
dawa kachkua dawa za uti
Kameza,jamaa kakata roho
Sasa badala aende hospital au
clinic Ajue ttz jamaa kajifanya mtaalam wa afya anajua
Kafa kindezi kweli
Ova
Na hilo ndio tatizo lenu, hao wanaokufa kwenye uangalizi wenu huko hospitali kutokana na aina za tiba zenu au uzembe wenu hayo hamuyazungumzii ila mkisikia mtu katumia dawa ya kienyeji au kanywa dawa bila ushauri wenu na kafariki au kapata madhara basi hayo ndio mnayaona na kuyaongea.
 
Kama hakuna cha maana kwa
nini utoe hio hela?[emoji1787][emoji1787]
Ingekuwa ni hiayari nisingetoa, sema ndio hivyo madaktari wenyewe wamefundishwa kutengeneza pesa kupitia afya za watu.
 
Back
Top Bottom