rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Kuna kipindi mlimpigia debe Mkwasa Ila kilichotokea Algeria Kila mtu anajua.
Vikozi vyenu vya wiki mbili, mtu hajawahi kuchukua hata ubingwa mnataka kufanya majaribio.
Msione Morocco, Senegal Wana makocha wazawa, wale cv zao zimeshina na sio nyienaotaka kufanya Tanzania kichwa cha mwendawazimu.
Vikozi vyenu vya wiki mbili, mtu hajawahi kuchukua hata ubingwa mnataka kufanya majaribio.
Msione Morocco, Senegal Wana makocha wazawa, wale cv zao zimeshina na sio nyienaotaka kufanya Tanzania kichwa cha mwendawazimu.