Mh. Edward N. Lowassa anapata wapi nguvu ya pesa?

Mh. Edward N. Lowassa anapata wapi nguvu ya pesa?

Redio 5 ile ya Arusha ni yake na nasikia hii hoteli mpya ya SNOW CREST pale ngulelo ni yao na kikwete.
 
Hivi kwa nini baba wa taifa aikuwa hamtaki huyo Lowassa?Hivi Hahusiki na Richmond?Hayo makampuni (estates?) mwanzo wake ni nini?Huyo ana hatari. Alipopata kwa PM ni watu wangapi wa kabila aliwaweka kwenye madaraka mbalimbali hata leo ccm wanashindwa kumwambia aondoke kwa sababu wajumbe wake katika kamati mbalimbali za chama amehusika kuwaweka. Leo unasema ni tu safi. Mimi sikubaliani na MUNGU wa Mbinguni aepushie mali ndoto zake.Anakwenda Nigeria kwa huyo anayeitwa nabii Joshua, uelewe kuwa yule naye ni sawa na watabiri wengine. Anawaambia kuwa kuna hatari itatokea tuombe! Halafu likitokea wanashngilia kuwa nabii alisema kama mliomba kwa nini litokee hilo.Amekwena mara ngapi huko Nigeria na lengo lake ni nini na tayari watu wake kama Pasco wanatuambia kuwa atakuwa rais Mungu apishie mbali kitu hichoni , tena ni mtu safi!CCM wote wameoza.
 
Lowassa anavyopandikiza watu wake ndani ya chaguzi za ccm inaoneka ana siri kubwa zaidi hata ya huo uraisi. Inaoneka hayuko mwenyewe kwenye hilo genge la kununua kura huenda kuna watu walio hata njee ya nchi wanaompaa pesa za kuhonga.haingii akilini akawa na hela ya kuwahonga wajumbe wa wilaya zaidi 80.tukumbuke maneno ya mwalimu huyo hafai kuwa raisi,muda mfupi tu kapewa uongozi kawa tajiri wa kutisha je akiwa raisi itakuwaje?watanzania tusikubali tutakuja juta kuliko tunavyoweza fikiria.
 
Bora ukimwi kuna ARVs! ni wa kuogopwa kama kansa,BP,ukoma.Huyu ni mtu hatari hata nyerere aliliona hii issue mwaka 1995.
 
zaidi ya kumuogopa, ni wa kumkwepa na kumkataa
 
Leteni hoja acheni majungu na hadidhi za abunuwasi. Ni nani aliye msafi?
 
Lowassa anavyopandikiza watu wake ndani ya chaguzi za ccm inaoneka ana siri kubwa zaidi hata ya huo uraisi. Inaoneka hayuko mwenyewe kwenye hilo genge la kununua kura huenda kuna watu walio hata njee ya nchi wanaompaa pesa za kuhonga.haingii akilini akawa na hela ya kuwahonga wajumbe wa wilaya zaidi 80.tukumbuke maneno ya mwalimu huyo hafai kuwa raisi,muda mfupi tu kapewa uongozi kawa tajiri wa kutisha je akiwa raisi itakuwaje?watanzania tusikubali tutakuja juta kuliko tunavyoweza fikiria.

Nakuhakikishia kuwa Lowa-Hasa kamwe hawezi kuwa rais wa nchi kwa kuwa ni mchafu kupindukia na hakuna sabuni iliyochini ya jua na mahali pengine popote inayoweza kumsafisha. Alikwenda kule Nigeria kusafisha nyota yake akaambiwa nenda kwa watanzania ukawaambie wazi makosa yako yote uliyowtendea ili usafishike, akagoma na sasa amekata tamaa kumtumia mungu kupata madaraka. Hivi sasa anatumia njia za kishetani ili aweze kupata madaraka katika nchi hii, na anaweza kuua hata maelf na maelf ya watu ili aupate huo uraisi
 
Ni punguani tu ndo wanomshabikia kila siku lowasa lowasa lowasa. He is just a thief and coward and does not qualify to be president only if we want to sell off our country and create more

Hoja gani huyu mtu ameshindwa uwaziri mkuu mnataka awe rais kwa lipi na kwa faida ya nani? Ni malimbukeni tu ndo wanaomshabikia.
 
Jamaa uwa ananifurahisha kwa ile kauli mbiu yake "Elimu kabla,kilimo kwanza" sasa sijui ndio atautumia kwenye kampeni zake?
 
ametosha alivyochuma na alivyotumikia tanzania.akae pembeni asijisumbue na ndoto za urais
 
si ndio huyu ambaye hakukutana na jk barabarani yale yale tena
 
unajua ni kweli ni swala la kujiuliza hv pesa za kugawa nchi nzima ambazo bashe anazunguka nazo anagawa katoa wp? Ni mwizi huyu mzee mavi wa kupindukia
 
Lowassa anavyopandikiza watu wake ndani ya chaguzi za ccm inaoneka ana siri kubwa zaidi hata ya huo uraisi. Inaoneka hayuko mwenyewe kwenye hilo genge la kununua kura huenda kuna watu walio hata njee ya nchi wanaompaa pesa za kuhonga.haingii akilini akawa na hela ya kuwahonga wajumbe wa wilaya zaidi 80.tukumbuke maneno ya mwalimu huyo hafai kuwa raisi,muda mfupi tu kapewa uongozi kawa tajiri wa kutisha je akiwa raisi itakuwaje?watanzania tusikubali tutakuja juta kuliko tunavyoweza fikiria.

Hongera kwa kuona huo UOZO... Sasa Kama Lowassa ni hivyo vipi Je, CCM yote ?
 
HIZI yule SI-Diria kaenda wapi.Dog wa wajerumani alimind kwa harufu ya kile kitu.Huku bongo tukaanza imbishwa nyimbo za propaganda kuwa kuwa jamaa wamekosa adabu msachi waziri wetu.Sasa kwani mbwa ni watu wapewe rushwa?Kweli bongo tumetoka mbali katk hii adventure yetu ya upumbavu.NI siku dhaifu naye atashikwa na Tanzanite mifukoni ,kama naye si unga.akidakwa china ataachiwa ili auze nchi.
 
Pia anamiliki kampuni ya bima (Bumako),hii kampuni ilikuwa haijakidhi viwango ila kutoka na nyuma ya pazia ilipewe leseni.
Atujibu suala la Richmond kabla ya yote.
 
Mie sio shabiki wa El ila napenda ukweli mbona watu huwa wanasema tu Nyerere alimwambia hizo mali ulizipata wapi hawamalizii yote mengine,labda niwakumbushe swali hilo aliulizwa baada ya kukodi ndege wakati wa uchaguzi 1995 na mtu wa kwanza kuulizwa mmekodi ndege mmepata wapi hela alikuwa Jk akasema sio mimi mwl ni El ndio akamwambia El hivi utajiri wako hauendani na umri ulionao na kazi ufanyazo japo kweli baba yako alikuwa tajiri sana wa ng'ombe yawezekana ni urithi lakin haiwezi kukufikisha kwenye utajiri huu kiongozi anaetumia mali kuingia ikulu hatufai, tofauti ya El na mwalimu haikuanzia hapo bali tangia huko nyuma kuna wakati mwalimu alimuomba awe katibu wa Ccm akakataa. El ni tajiri sana na utajiri wake haukuanza juzi tangia kwa baba yake amekuwa akiuendeleza tu japo inaweza ikawa kachanganya na za ufisadi kwani Ccm hakuna ambaye sio fisadi,El ni bora mara 300 ya JK

Narudia tena kusema tusitake kutetea mtu aliyekwisha acha ubinadamu tukadhani atarudia ubinadamu. Huyu alisha onja maisha kinyume na maumbile, tusitegemee eti arudi kwenye maumbile. No way!

Utajili wa baba yake ulikuwa upi? Hao ng'ombe wa asili! Alikuwa na wangapi? walikuwa elfu 1,2 au zaidi? Je, angeuza wote angepata shilingi za kugawa na kuhonga na kujenga magorofa upanga?

Tusiwe kama yeye. Labda unishawishi kwamba nawe uko kama Pasco, mumekwisha onja maisha kinyume na maumbile, hamtaacha kamwe!
 
Back
Top Bottom