WA-UKENYENGE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 2,918
- 1,234
Mkuu Waberoya, you have a point and I agree with you to large extend. Kusema ukweli waandishi wengi hawajui watakula vipi bila kuwa na bahasha kutoka kwa politicians, kuna mambo mengi yanahitaji kuzungumziwa au kuandikwa ili kumsaidia mwananchi wa wakawaida, lakini hayaandikwi.I dont believe so, EL is strong , yes, lakini sidhani kama proffesional journalist hawezi kum-face na kumuuliza
unakumbuka alivyoita waandishi wa habari nyumbani kwake?? kuna waandishi walimuuliza kuhusu issue ya Richmond!!imagine kwa miaka zaidi ya mitatu waandishi waliandika mengi sana kuhusu ufisadi wa huyu mtu! lakini siku walipokutana naye walimuuliza kuwa 'kama wanayoyaandika ni kweli'
hauhitaji kujua mind set za magazeti yetu, waandishi wetu ...ni umbea na kuuza magazeti basi! na sisi tunanunua tukifurahia fulani kuitwa fisadi! sometime we even call these journalists ni heroes...eti haogopi!
kama EL fisadi nakala hii haimsaidii mtanzania wa kawaida, why they are not pressing government to press charge against these criminals? au kuwa mzalendo wa kweli nchi hii ni 'kubweka tu' na katu si kupigana wezi wapelekwe jela
asilolijua huyu mwandishi ni kuwa watu wa aina ya Lowassa wakialikwa huwa wanasambaza kadi kwa rafiki zake,wanachanga na baadae kwenda mahali husika ambako anawasilisha michango. si siri kuwa yeye ni tajiri na ambao wanao katika familia yake hata kabla ya kuwa kiongozi! wengine tusiojua mambo tunafahamu hivi kwa kufanya upelelezi mdogo tu.
muda umefika wa kubadili teknic zetu za kupambana na mafisadi...
magazeti yanauza tu hawako real
Pengine fani hii basi imekuwa ni kimbilio la wanaopenda kupiga dili za mjini wanavyoita wenyewe. Its too sad we know what the right thing to do, yet we can't do anything to rectify the situation. EL anamakosa yake, lakini hayuko/hakuwa peke yake na ndiyo maana ana nguvu ya kusonga mbele wakati huu bila pingamizi kuuubwa ndani ya chama chake. Utakubaliana namimi kuwa, EL kawashika pabaya CCM wakati huu kuliko kipindi cha nyuma. Na pengine kundi pekee lilikuwa linaleta upinzani mkubwa kwa EL ni hili la akina Dr Mwakyembe & Mzee Six. Anyway, tuendelee kusubiri upepo ndani ya chama tawala hadi uchaguzi utakapofanyika hapo baadae mwaka huu.