fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,372
- 4,090
maneno ya mwl.nyerere yasije fanya waTZ wakakosa raisi bora ni wazi mh.edward lowasa alitilewa kafara na serikali makusudi na kuahidiwa kusafishwa kiasi kwamba amekua akitumia nguvu za ziada kwake binafsi ili kwenda kuqeka mambo sawa,na hili la kuji udhuru ili kutii dhana ya uwajibikaji limeshaonekana sasa ni jambo bovu kabisa na ndo mana kina muhongo ilikua ngumu kutokana na kutupiwa kila hila mbovu,na ndo mana democrasia ya tz bado ipo chini sanaaa.ila mwisho qa yote kila kitu kitawekwa wazi mwaka huuu na nikimuangalia bwana EL ana mengi kayafumba ni jambo la kungoja muda tu