Mh. Edward N. Lowassa anapata wapi nguvu ya pesa?

Mh. Edward N. Lowassa anapata wapi nguvu ya pesa?

mie sio shabiki wa el ila napenda ukweli mbona watu huwa wanasema tu nyerere alimwambia hizo mali ulizipata wapi hawamalizii yote mengine,labda niwakumbushe swali hilo aliulizwa baada ya kukodi ndege wakati wa uchaguzi 1995 na mtu wa kwanza kuulizwa mmekodi ndege mmepata wapi hela alikuwa jk akasema sio mimi mwl ni el ndio akamwambia el hivi utajiri wako hauendani na umri ulionao na kazi ufanyazo japo kweli baba yako alikuwa tajiri sana wa ng'ombe yawezekana ni urithi lakin haiwezi kukufikisha kwenye utajiri huu kiongozi anaetumia mali kuingia ikulu hatufai, tofauti ya el na mwalimu haikuanzia hapo bali tangia huko nyuma kuna wakati mwalimu alimuomba awe katibu wa ccm akakataa. El ni tajiri sana na utajiri wake haukuanza juzi tangia kwa baba yake amekuwa akiuendeleza tu japo inaweza ikawa kachanganya na za ufisadi kwani ccm hakuna ambaye sio fisadi,el ni bora mara 300 ya jk

baba yake hajawahi kuwa tajiri msidanganye watu jamani. Wadogo zake mbona wengine ni drivers na walimu na mmoja ni trafick police asie hata na cheo? Ana ndugu zake wengi kazi kushinda bar hawana nyuma wala mbele. Mi nakaa hapa monduli nafanya halmashauri. Namfahamu zaidi yako inawezekana. Hadi kwao. Hata mzazi wao hakuwa na ishu. Ila el ana cattles zaidi ya elfu saba na ni mali ya wizi ndiyochanzo chake.
 
Nani kakwambia Lowasa alipata mali zake kihalali?do you know AICC scandals and frauds? unadhani kwanini baba wa Taifa alimkataa,asafishiki hata kwa magadi,wewe kula hela yake tu
 
Nani kakwambia Lowasa alipata mali zake kihalali?do you know AICC scandals and frauds? unadhani kwanini baba wa Taifa alimkataa,asafishiki hata kwa magadi,wewe kula hela yake tu

labda kwa Watanzania sifa ya uongozi ni frauds!
 
Pasco, nafikiri kwako tz bila lowasa haiwezekani! Hivi nilikuuliza Ana nini so special mpaka umtetee hivi? Ni yeye tu jamani? Ana ubora gani? Hatuna watz wengine wazuri? Kwanini wenye viraka? Mimi siamini kabisaaaa Kama kweli una MAPENZI Na nchi, una lako jambo, aaidha umekwapua mamilioni au unasubiri fadhila.
 
Jamii01, fuatilia thread za Lowassa humu utaziona mpaka mali zake zimeorodheshwa!. Lowassa ni tajiri wa ukweli aliyepata mali zake zote kihalali na ndio maana amezisajili zote kwa jina lake na la mkewe Rejina!.

Ila hakuna ubishi CCM imegubikwa na ufisadi hali inayopelekea kila yeyete mwenye chochote kitu kuonekana fisadi.

Lowassa ni miongoni mwa wanaitwa mafisadi wakuu kufuatia kukubali kulibeba lile zigo kubwa la Richmond ili kumnusuru best wake na chama chake na aibu ya mwaka, hivyo yeye kuchafuka kwa kukubali kujitwisha msalaba wa ukombozi na salama ya CCM!.

Anachokifanya huko makanisani na kwenye michango mbalimbali ni kuonyesha uwezo wake kwenye kitu kinachoitwa mass mobilization kwa ajili ya kujiletea maendeleo, kitu ambacho JK ameshindwa kabisa!.

Hilo la kuandikwa magazetini, na kwenye vyombo vya habari, ni kufuatia EL kuwa na mvuto wa ajabu uliotoka kwa Mungu. Kila asemalo linamantik kwa hali ilivyo sasa!. Lowassa ni photo genic!, akipigwa picha anapendezea!, akiongea anavutia kumsikiliza!, na kikubwa zaidi yeye sio mtu wa maneno maneno na vitendo sifuri kama JK, yeye ni mtu wa maneno mafupi na vitendo virefu.

Wakuu wengi waliopo wakisikia JK atatembelea mahali, huandaa taarifa safi, mkuu akifika, akishasomewa taarifa, hupiga makofi na kuendelea na ziara!. Enzi za Lowassa akishasomewa taarifa huipokea na kuelekea physically kuyaangalia hayo yaliyozungumziwa!. Hivyo watu wakisikia JK anakuja, hukaa miguu juu, ila wakisikia ni Lowassa!, kijasho huwa kinawatoka maana jamaa hakubali kabisa longo longo yoyote!.

Ni kufuatia utendaji huu ndio maana mimi na wenzangu wachache humu jukwaani, tumeamua kujitolea kumsafisha Lowassa na ule uchafu wa Richmond, tunamtaka alitue hilo zigo amkabidhi mwenyewe, na yeye ndie ateuliwe kuwa mgombea wa CCM tumpigie debe, aingie Ikulu!.
I hope what you have written there is something that can be substatiated. If the guy is so clean, why all these dramas around him and his name? Why worrying now about the president who is to take over in 2015?
I wish I could understand all these blah blah well! What I know for sure, kwa muda mrefu tumetumika kama mitaji na baadhi ya wanasiasa wasio na nia wala huruma ya kuiendeleza Tanzania. Wanataka kuchukua nafasi ili wale vizuri wao, marafiki zao na ndugu zao pia.
EL ajidhihirishe kwamba yeye ni tofauti kwa vitendo. Sio maneno matupu na kuonekana kama yuko zaidi busy na urais kuliko kuiongoza Tanzania kwenye njia bora. Hapa tulipo tumekwama kwenye matope and we need a four wheel drive to take us out! Is this the person able to do that?
 
jamii01, fuatilia thread za lowassa humu utaziona mpaka mali zake zimeorodheshwa!. Lowassa ni tajiri wa ukweli aliyepata mali zake zote kihalali na ndio maana amezisajili zote kwa jina lake na la mkewe rejina!.

Ila hakuna ubishi ccm imegubikwa na ufisadi hali inayopelekea kila yeyete mwenye chochote kitu kuonekana fisadi.

Lowassa ni miongoni mwa wanaitwa mafisadi wakuu kufuatia kukubali kulibeba lile zigo kubwa la richmond ili kumnusuru best wake na chama chake na aibu ya mwaka, hivyo yeye kuchafuka kwa kukubali kujitwisha msalaba wa ukombozi na salama ya ccm!.

Anachokifanya huko makanisani na kwenye michango mbalimbali ni kuonyesha uwezo wake kwenye kitu kinachoitwa mass mobilization kwa ajili ya kujiletea maendeleo, kitu ambacho jk ameshindwa kabisa!.

Hilo la kuandikwa magazetini, na kwenye vyombo vya habari, ni kufuatia el kuwa na mvuto wa ajabu uliotoka kwa mungu. Kila asemalo linamantik kwa hali ilivyo sasa!. Lowassa ni photo genic!, akipigwa picha anapendezea!, akiongea anavutia kumsikiliza!, na kikubwa zaidi yeye sio mtu wa maneno maneno na vitendo sifuri kama jk, yeye ni mtu wa maneno mafupi na vitendo virefu.

Wakuu wengi waliopo wakisikia jk atatembelea mahali, huandaa taarifa safi, mkuu akifika, akishasomewa taarifa, hupiga makofi na kuendelea na ziara!. Enzi za lowassa akishasomewa taarifa huipokea na kuelekea physically kuyaangalia hayo yaliyozungumziwa!. Hivyo watu wakisikia jk anakuja, hukaa miguu juu, ila wakisikia ni lowassa!, kijasho huwa kinawatoka maana jamaa hakubali kabisa longo longo yoyote!.

Ni kufuatia utendaji huu ndio maana mimi na wenzangu wachache humu jukwaani, tumeamua kujitolea kumsafisha lowassa na ule uchafu wa richmond, tunamtaka alitue hilo zigo amkabidhi mwenyewe, na yeye ndie ateuliwe kuwa mgombea wa ccm tumpigie debe, aingie ikulu!.
kweli kila masika hayakosi mbu!
 
Kama kwenu ni maskini basi imekula kwenu fanyakazi acha kulalama tu.
 
Kidatu, there you are!. Urais 2015 ni vita!. Watanzania tuna haki na utajiri wa mali asili zetu tulizojaaliwa na Mwenyezi Mungu ambazo hawa manyang'au waliopo wamezitoa sadaka kwa wanaojiita wawekezaji, huku wakikomba kila kitu na kutuacha beggera!. Tanzania sio masikini kihivyo!. Kwa vile Tanzania yenye utajiri na neema ni haki yetu, na haki hiyo hatutaletewa kwenye kisahani cha chai, ni lazima tuipiganie, haki hailetwi, bali inadaiwa na ikibidi inapiganiwa na ndipo inapatikana!.

Wengi wa wanaotamani ukombozi wa kweli, wanautamani wakiamini siku moja ukombozi huo utashushwa toka mbinguni na sisi kutunukiwa kama ile mikate ya mana enzi za Nabii Mussa!. Mimi nasema, haki hiyo lazima itafutwe, idaiwe, ipiganiwe na hata ikibidi damu za watu zimwagike ili ipatikane!.

Kwa wale tunaokubaliana kuwa urais 2015 ni vita, na ili ushinde vita lazima umjue adai yako, kwenye vita hivi vya ukombozi wa pili, adui yetu number moja ni CCM!. Sasa wale wote wanaodhania serikali ya CCM itaotoa utawala kwa wapinzani kama zawadi!, they are wrong!, CCM would wish to consolidate power ili itawale milele!. Kwa vile CCM does exist, mimi ni muumini wa falsafa ya Baba wa Taifa kuwa ukombozi wa kweli wa nchi hii utatokana na upinzani wa kweli ambao utatoka CCM!.

Mimi na wenzangu wachache humu jukwaani, we can see a light on Lowassa, huyu ndie mtu pekee anaweza kuleta ukombozi wa kweli!. Hivyo tunampigania kwa nguvu zetu zote!.

Kitendo cha Lowassa kukubali kubeba zambi za wengine ili CCM iokoke ni uthibitisho wa ushajaa mkubwa alionao ambao mimi naufananisha na Bwana Wetu Yesu Kristu kukubali kubeba dhambi za ulimwengu ili sisi tuokoke!.

Wale mnaosema kwa Lowassa kubeba zambi za wezi, hivyo na yeye ni mwizi!, jee Yesu alivyokubali kubeba zambi za ulimwengu, jee na yeye ni mzambi!. Wajameni tusihukumu tusije tukahukumiwa!.

Naendelea kusisitiza, wale wote mnaoniaminia mimi Pasco wa jf, nawaombeni sana lets bank on Lowassa as the one and only anaweza kuleta mabadiliko ya kweli na tukapata 'ukombozi wa pili'!

Wale wote mnaonibeza na kuamini nimelipwa, nimenunuliwa, najikomba etc, endeleeni kuamini hivyo, kwa kuwasaidia tuu,
kwa wasionijua, tangu enzi za utotoni, pale Msasani kwa Mwalimu ilikuwa ni playing ground yetu!, sekondari nimesoma na mtoto wa kwa Mwalimu, nimesoma darasa moja na mtoto wa Ben, wakati huo mtoto wa Mwinyi akiwa A-Level, Chuo Kikuu nimekutana na mtoto wa JK, hivyo ile access ya one to one na Nyerere (RIP), Mwinyi, Mkapa na JK has/is always there, hivyo kama ni lobbyst ya kujipatia kijipost chochote, basi ningeshalobby zamani na labda saa hizi ningekuwa kivulini!.

Lowassa ni sikio la kufa, sasa nijikombe kwa Lowassa ili nipate nini?. Naombeni mniaminie, kuna type ya watu ambao wao ni masikini na wanaridhika na umasikini wao, hawa wanaitwa "masikini jeuri" na mimi niko kwenye kundi hilo!. Sijalipwa senti tano na yoyote kumpigania Lowassa!.

Namalizia kwa msisitizo, Lowassa ni chaguo la Mungu, lile ambalo kwa binaadamu haliwezekani, kwa Mungu linawezekana!. Subirini mshuhudie "Jiwe Walilolikataa Waashi, Litafanywa Kuwa Jiwe Kuu la Pembeni!".

Pasco

Ni haki yako ya msingi kuwa na maoni yako,lakini sidhani ni sahihi kuwaaminisha wale unaowapa maoni yako upuuzi ambao hata yule aliyelazwa pale Muhimbili kwa matatizo ya akili hawezi kuupokea. Nianze kwa kusema kwamba Edward Lowasa ni jizi lililokubuhu la mali za taifa letu na kamwe usijidangaye na kutaka kuwadanganya WaTZ kwamba huyu Fisadi anatumia sana akili katika kutafuta na kuendeleza biashara zake kwa njia halali.Kamishna wa TRA aliwahi kuzuia uchunguzi wa Kodi za Majengo (Property Tax) anayomiliki huyo Mwizi EL baada ya watumishi wa TRA kufukuzwa na EL wakati huo akiwa PM kumuamuru Kamishna huyo kutothubutu tena kufuatilia mambo hayo.Amepangisha majumba yake lakini hataki kulipa Kodi za Serikali halafu unataka kutuaminisha kwamba huyo ndiye Kiongozi tunayemtaka kwa maendeleo ya Taifa hili,wewe komea hukohuko Monduli na huyo EL wako.

Bwana wetu YESU KRISTO alikuja hapa ulimwenguni kuwapatanisha Wanadamu na Muumba wao MUNGU baada ya Kumuasi,watu walikuwa wakiabudu miungu mingine pamoja na sanamu, wanadamu kwa ujumla wao walikuwa ni watenda dhambi.Untakiwa kujua kwamba MUNGU wetu ni MUNGU mwenye wivu, kamwe hataki kulinganishwa na chochote.

Sasa unapoleta hadithi zako za kipuuzi eti EL alipokubalika kubeba zigo la Richmond alikuwa akifanya sawa na YESU aliyekubali kubeba dhambi za Wanadamu ili wapate kuokoka na kupatanishwa na MUNGU wao, hakika huo ni upuuzi na Ujinga hasa kwa mjivuni kama wewe unayedai Elimu yako ni ya Chuo Kikuu.Yaani unataka kutuambia kwamba zigo la wezi wa Richmond alilobeba EL ilikuwa ni dhamana yake kwa WaTZ wote ambao kwa tasfsiri yako hiyo kwamba wote ni wezi ? Au alibeba ili kuwasaidia wezi wenzake ambao mipango yao ni kupeana madaraka kama pipi siku za usoni,scratch my back I'll scratch yours.Hoooovyoooo.

Hii ni Nchi yenye raia zaidi ya 30 milioni wenye uwezo kamili wa kutuongoza, kwanini EL yeye ana nini so special ambacho WaTZ wanakihitaji ? WaTZ wamesahau nini katika hicho kichwa cha EL hadi wahitaji tena kutumia kichwa chake kutuongoza, kichwa kilichojaa akili ya wizi mtupu.Lowasa ameshiriki wizi mwingi hapa nchini, alimsumbua sana Mwanasheria wa Tanesco MRS.WANDIBA hadi usiku wa manane kwa kumpigia simu ili aweze kutayarisha Documents za mikataba ya hovyo na Ulaji lakini huyo Mama akasimama kidete na Kumkatalia.Alimwogopa kumfukuzisha kazi kwa kuwa kwanza huyo Mama anatoaka kwenye Familia ya Mwalimu Nyerere lakini vilevile Mume wa huyo Mama MR.WANDIBA ndiye Mkuu wa Chuo cha Wanausalama kule Mbweni, nafasi ambayo ni kubwa na amekuwa kwenye System wakati EL bado anavaa Lubega Monduli.

EL anahitaji kushauriwa na wengine (si wewe Pascho) kutafuta shughuli nyingine ya kufanya aachane na sisi wabongo kuhusu uongozi wa nchi yetu, ushenzi aliyokwisha kuifanyia Nchi yetu pendwa TANZANIA ni mkubwa
 
kundi genge nyuma yake linajiita "friends of lowassa" ndio linalowezesha hayo mamilioni ya lowassa makanisani,cha kujiuliza kama kweli Lowassa ana nia ya kugombea urais then (mungu apishie mbali)akaupata,hawa jamaa atawalipa vipi?atafanya biashara gani pale ikulu itakayomuwezesha kuwalipa hawa marafiki zake????
To answer your question, he will do the same business JK is doing to pay "wanamtandao" minus Sitta
 
baba yake hajawahi kuwa tajiri msidanganye watu jamani. Wadogo zake mbona wengine ni drivers na walimu na mmoja ni trafick police asie hata na cheo? Ana ndugu zake wengi kazi kushinda bar hawana nyuma wala mbele. Mi nakaa hapa monduli nafanya halmashauri. Namfahamu zaidi yako inawezekana. Hadi kwao. Hata mzazi wao hakuwa na ishu. Ila el ana cattles zaidi ya elfu saba na ni mali ya wizi ndiyochanzo chake.

Wewe ndugu zako wakiwa matajiri ndo kusema nawe umepona njaa,idiot!
 
Nani kakwambia Lowasa alipata mali zake kihalali?do you know AICC scandals and frauds? unadhani kwanini baba wa Taifa alimkataa,asafishiki hata kwa magadi,wewe kula hela yake tu

Wewe unazielewa au unasikiliza tu umbea wa mtaani,i guess huna kazi ya kufanya vinginevyo usingevutiwa na umbea!
 
Najiuliza na kukosa majibu Mh.Lowasa si mfanyabiashara,zaidi ya kuwa mbunge,nimejionea siku za hivi karibuni katika vyombo vya habari akichangia mambo mengi hasa katika miradi ya maendeleo  nakatika taasisi binafsi na zamakanisa.Huyu mweshimiwa pesa anazitoa wapi?je alikwisha tangaza mali zake hadharani?na kipato chake kiko vipi?Alipokuwa waziri katika awamu ya tatu kwa nini akufanya hivyo?na alipokuwa waziri mkuu kwa nini alishidwa kufanya hivyo?Na kwa nini safari zake na hotuba zake zinapewa umuhimu mkubwa katika vyombo vyetu vya habari?
Dah! Umechelewa wangu, lowasa unahoji Leo that wapi anatoa noti? Kwani nn kilimuondoa kwny uwaziri Mkuu? Unadhani magamba yaliyobaki ccmafisadi Ni yepi?!! Jipange
 
Nani kakwambia Lowasa alipata mali zake kihalali?do you know AICC scandals and frauds? unadhani kwanini baba wa Taifa alimkataa,asafishiki hata kwa magadi,wewe kula hela yake tu

Hahaha! Kama kweli alikuwa mwizi kwa nn hakupelekwa mahakamani? Au baba wa taifa nae alikuwa analinda mafisadi?
 
Mimi na wenzangu wachache humu jukwaani, we can see a light on Lowassa, huyu ndie mtu pekee anaweza kuleta ukombozi wa kweli!. Hivyo tunampigania kwa nguvu zetu zote!.[/COLOR] Kitendo cha Lowassa kukubali kubeba zambi za wengine ili CCM iokoke ni uthibitisho wa ushajaa mkubwa alionao ambao mimi naufananisha na Bwana Wetu Yesu Kristu kukubali kubeba dhambi za ulimwengu ili sisi tuokoke!.

Wale mnaosema kwa Lowassa kubeba zambi za wezi, hivyo na yeye ni mwizi!, jee Yesu alivyokubali kubeba zambi za ulimwengu, jee na yeye ni mzambi!. Wajameni tusihukumu tusije tukahukumiwa!.

Naendelea kusisitiza, wale wote mnaoniaminia mimi Pasco wa jf, nawaombeni sana lets bank on Lowassa as the one and only anaweza kuleta mabadiliko ya kweli na tukapata 'ukombozi wa pili'! Lowassa ni sikio la kufa, sasa nijikombe kwa Lowassa ili nipate nini?. Naombeni mniaminie, kuna type ya watu ambao wao ni masikini na wanaridhika na umasikini wao, hawa wanaitwa "masikini jeuri" na mimi niko kwenye kundi hilo!

Sijalipwa senti tano na yoyote kumpigania Lowassa!. Namalizia kwa msisitizo, Lowassa ni chaguo la Mungu, lile ambalo kwa binaadamu haliwezekani, kwa Mungu linawezekana!. Subirini mshuhudie "Jiwe Walilolikataa Waashi, Litafanywa Kuwa Jiwe Kuu la Pembeni!".

Pasco Ni haki yako ya msingi kuwa na maoni yako,lakini sidhani ni sahihi kuwaaminisha wale unaowapa maoni yako upuuzi ambao hata yule aliyelazwa pale Muhimbili kwa matatizo ya akili hawezi kuupokea. Nianze kwa kusema kwamba Edward Lowasa ni jizi lililokubuhu la mali za taifa letu na kamwe usijidangaye na kutaka kuwadanganya WaTZ kwamba huyu Fisadi anatumia sana akili katika kutafuta na kuendeleza biashara zake kwa njia halali.

Bwana wetu YESU KRISTO alikuja hapa ulimwenguni kuwapatanisha Wanadamu na Muumba wao MUNGU baada ya Kumuasi,watu walikuwa wakiabudu miungu mingine pamoja na sanamu, wanadamu kwa ujumla wao walikuwa ni watenda dhambi.Untakiwa kujua kwamba MUNGU wetu ni MUNGU mwenye wivu, kamwe hataki kulinganishwa na chochote.
Mheshimiwa Pasco Si dhani kuwa unamfahamu EL jinsi alivyo, kwa njinsi ya michango yako hapa JF ilivyo mimi sidhani kama unamfahamu vizuri hili fisadi lililo kubuhu kama anavyosema kanyaga hapo juu na watanzania wengi wanavyoamini, kwa vyovyote vile ungemkadia sana, kwani siuonei shaka uzalendo wako.

Lakini kama unamfahamu basi unalako jambo ambalo linakutenganisha kabisa na principles zako na mitazamo ya pamoja ya wazalendo na wapenda haki wote. Pasco haifurahishi sana kutumia vitabu vitakatifu na hasa Yesu wa biblia kuhalalisha hoja yako na hasa pale inapokosa ukweli. Ndyo maana wengi humu wameanza kuonea mashaka mchango wako.

Kwanza ni kiri kabisa EL ni fisadi babkubwa ambalo linauwezekano mkubwa kuingia ikulu yetu kwa mikakati yake aliyotekeleza kwa muda mrefu na kwa ustadi mkubwa sana ambayo hivi sasa ipo hatua za mwisho mwisho, fisadi litakaloungwa mkono na mafisadi mingine mingi hasa yale yanayoogopa nguvu za kisheria na ya haki na hasa wale waliokuwa na walio kwenye uongozi wa juu wa taifa hili. Umesma "Lowassa ni sikio la kufa, sasa nijikombe kwa Lowassa ili nipate nini?" Je ni kweli?

Kiuhalisia ni kweli kabisa ni sikio la kufa hasa kwasababu kwanza baba wa Taifa alisema na watanzania wengi wanamjua hivyo. Lakini si kweli kuwa EL nisikio la kufa kwa vile nguvu kubwa ya mafisadi na ufisadi ukiwa nyuma yake na hili wewe na sote tunalijua. Wewe na wengine mnataka tuamini kuwa EL ni tajiri kutoka zamani na kuwa alitwishwa tu zigo la Richmond, naomba fanya utafiti wa ndani wa EL. EL amefanya ufisadi mkubwa kwa namna nyingi zingine zikiwa chafu na haramu sana kupata utajiri wake.

Na kila wizara alikopitia amefanya ufisadi ambao kausimikia mitandao ambayo mpaka leo hii unaendlezwa mingi ikiwa haifahamiki wala kutambulika kumhusisha bila utafiti wa kina. Siyo tu kibiashara EL amejijenga bali pia kiutawala serikalini na kichama. Yumo kwnye mihimili yote ya kikatiba na mingineyo.

Kwa wale wanaojua utawala wa mafia EL ni Capo de tuti capi Ni malizie kwa kusema kuwa unaweza kuwa sahihi kuwa El Lowassa ni sikio la kufa na tunaomba Munngu iwe hivyo na ikitokea basi ukombozi wa watanzania umefika. Hivyo Pasco usimamie ukweli na haki, EL hawafai watanzania ni FISADI
 
Kifupi pesa ndo imemfuata EL kabla hata haya mambo ya ufisadi hayajaanza mzee alikuwa safi
 
Jamii01, fuatilia thread za Lowassa humu utaziona mpaka mali zake zimeorodheshwa!. Lowassa ni tajiri wa ukweli aliyepata mali zake zote kihalali na ndio maana amezisajili zote kwa jina lake na la mkewe Rejina!.

Ila hakuna ubishi CCM imegubikwa na ufisadi hali inayopelekea kila yeyete mwenye chochote kitu kuonekana fisadi.

Lowassa ni miongoni mwa wanaitwa mafisadi wakuu kufuatia kukubali kulibeba lile zigo kubwa la Richmond ili kumnusuru best wake na chama chake na aibu ya mwaka, hivyo yeye kuchafuka kwa kukubali kujitwisha msalaba wa ukombozi na salama ya CCM!.

Anachokifanya huko makanisani na kwenye michango mbalimbali ni kuonyesha uwezo wake kwenye kitu kinachoitwa mass mobilization kwa ajili ya kujiletea maendeleo, kitu ambacho JK ameshindwa kabisa!.

Hilo la kuandikwa magazetini, na kwenye vyombo vya habari, ni kufuatia EL kuwa na mvuto wa ajabu uliotoka kwa Mungu. Kila asemalo linamantik kwa hali ilivyo sasa!. Lowassa ni photo genic!, akipigwa picha anapendezea!, akiongea anavutia kumsikiliza!, na kikubwa zaidi yeye sio mtu wa maneno maneno na vitendo sifuri kama JK, yeye ni mtu wa maneno mafupi na vitendo virefu.

Wakuu wengi waliopo wakisikia JK atatembelea mahali, huandaa taarifa safi, mkuu akifika, akishasomewa taarifa, hupiga makofi na kuendelea na ziara!. Enzi za Lowassa akishasomewa taarifa huipokea na kuelekea physically kuyaangalia hayo yaliyozungumziwa!. Hivyo watu wakisikia JK anakuja, hukaa miguu juu, ila wakisikia ni Lowassa!, kijasho huwa kinawatoka maana jamaa hakubali kabisa longo longo yoyote!.

Ni kufuatia utendaji huu ndio maana mimi na wenzangu wachache humu jukwaani, tumeamua kujitolea kumsafisha Lowassa na ule uchafu wa Richmond, tunamtaka alitue hilo zigo amkabidhi mwenyewe, na yeye ndie ateuliwe kuwa mgombea wa CCM tumpigie debe, aingie Ikulu!.
............. Ajira yake ya kwanza ni kupitia chama kisha utumishi serikalini ........ !! Naona mkuu mmejipanga sawa sawa ! ......... haya bana ila msisahau kuna mmoja tuu anaejua "ghaibu" !!!
 
Kidatu, there you are!. Urais 2015 ni vita!. Watanzania tuna haki na utajiri wa mali asili zetu tulizojaaliwa na Mwenyezi Mungu ambazo hawa manyang'au waliopo wamezitoa sadaka kwa wanaojiita wawekezaji, huku wakikomba kila kitu na kutuacha beggera!. Tanzania sio masikini kihivyo!. Kwa vile Tanzania yenye utajiri na neema ni haki yetu, na haki hiyo hatutaletewa kwenye kisahani cha chai, ni lazima tuipiganie, haki hailetwi, bali inadaiwa na ikibidi inapiganiwa na ndipo inapatikana!.

Wengi wa wanaotamani ukombozi wa kweli, wanautamani wakiamini siku moja ukombozi huo utashushwa toka mbinguni na sisi kutunukiwa kama ile mikate ya mana enzi za Nabii Mussa!. Mimi nasema, haki hiyo lazima itafutwe, idaiwe, ipiganiwe na hata ikibidi damu za watu zimwagike ili ipatikane!.

Kwa wale tunaokubaliana kuwa urais 2015 ni vita, na ili ushinde vita lazima umjue adai yako, kwenye vita hivi vya ukombozi wa pili, adui yetu number moja ni CCM!. Sasa wale wote wanaodhania serikali ya CCM itaotoa utawala kwa wapinzani kama zawadi!, they are wrong!, CCM would wish to consolidate power ili itawale milele!. Kwa vile CCM does exist, mimi ni muumini wa falsafa ya Baba wa Taifa kuwa ukombozi wa kweli wa nchi hii utatokana na upinzani wa kweli ambao utatoka CCM!.

Mimi na wenzangu wachache humu jukwaani, we can see a light on Lowassa, huyu ndie mtu pekee anaweza kuleta ukombozi wa kweli!. Hivyo tunampigania kwa nguvu zetu zote!.

Kitendo cha Lowassa kukubali kubeba zambi za wengine ili CCM iokoke ni uthibitisho wa ushajaa mkubwa alionao ambao mimi naufananisha na Bwana Wetu Yesu Kristu kukubali kubeba dhambi za ulimwengu ili sisi tuokoke!.

Wale mnaosema kwa Lowassa kubeba zambi za wezi, hivyo na yeye ni mwizi!, jee Yesu alivyokubali kubeba zambi za ulimwengu, jee na yeye ni mzambi!. Wajameni tusihukumu tusije tukahukumiwa!.

Naendelea kusisitiza, wale wote mnaoniaminia mimi Pasco wa jf, nawaombeni sana lets bank on Lowassa as the one and only anaweza kuleta mabadiliko ya kweli na tukapata 'ukombozi wa pili'!

Wale wote mnaonibeza na kuamini nimelipwa, nimenunuliwa, najikomba etc, endeleeni kuamini hivyo, kwa kuwasaidia tuu,
kwa wasionijua, tangu enzi za utotoni, pale Msasani kwa Mwalimu ilikuwa ni playing ground yetu!, sekondari nimesoma na mtoto wa kwa Mwalimu, nimesoma darasa moja na mtoto wa Ben, wakati huo mtoto wa Mwinyi akiwa A-Level, Chuo Kikuu nimekutana na mtoto wa JK, hivyo ile access ya one to one na Nyerere (RIP), Mwinyi, Mkapa na JK has/is always there, hivyo kama ni lobbyst ya kujipatia kijipost chochote, basi ningeshalobby zamani na labda saa hizi ningekuwa kivulini!.

Lowassa ni sikio la kufa, sasa nijikombe kwa Lowassa ili nipate nini?. Naombeni mniaminie, kuna type ya watu ambao wao ni masikini na wanaridhika na umasikini wao, hawa wanaitwa "masikini jeuri" na mimi niko kwenye kundi hilo!. Sijalipwa senti tano na yoyote kumpigania Lowassa!.

Namalizia kwa msisitizo, Lowassa ni chaguo la Mungu, lile ambalo kwa binaadamu haliwezekani, kwa Mungu linawezekana!. Subirini mshuhudie "Jiwe Walilolikataa Waashi, Litafanywa Kuwa Jiwe Kuu la Pembeni!".

Pasco

Ni haki yako ya msingi kuwa na maoni yako,lakini sidhani ni sahihi kuwaaminisha wale unaowapa maoni yako upuuzi ambao hata yule aliyelazwa pale Muhimbili kwa matatizo ya akili hawezi kuupokea. Nianze kwa kusema kwamba Edward Lowasa ni jizi lililokubuhu la mali za taifa letu na kamwe usijidangaye na kutaka kuwadanganya WaTZ kwamba huyu Fisadi anatumia sana akili katika kutafuta na kuendeleza biashara zake kwa njia halali.Kamishna wa TRA aliwahi kuzuia uchunguzi wa Kodi za Majengo (Property Tax) anayomiliki huyo Mwizi EL baada ya watumishi wa TRA kufukuzwa na EL wakati huo akiwa PM kumuamuru Kamishna huyo kutothubutu tena kufuatilia mambo hayo.Amepangisha majumba yake lakini hataki kulipa Kodi za Serikali halafu unataka kutuaminisha kwamba huyo ndiye Kiongozi tunayemtaka kwa maendeleo ya Taifa hili,wewe komea hukohuko Monduli na huyo EL wako.

Bwana wetu YESU KRISTO alikuja hapa ulimwenguni kuwapatanisha Wanadamu na Muumba wao MUNGU baada ya Kumuasi,watu walikuwa wakiabudu miungu mingine pamoja na sanamu, wanadamu kwa ujumla wao walikuwa ni watenda dhambi.Untakiwa kujua kwamba MUNGU wetu ni MUNGU mwenye wivu, kamwe hataki kulinganishwa na chochote.

Sasa unapoleta hadithi zako za kipuuzi eti EL alipokubalika kubeba zigo la Richmond alikuwa akifanya sawa na YESU aliyekubali kubeba dhambi za Wanadamu ili wapate kuokoka na kupatanishwa na MUNGU wao, hakika huo ni upuuzi na Ujinga hasa kwa mjivuni kama wewe unayedai Elimu yako ni ya Chuo Kikuu.Yaani unataka kutuambia kwamba zigo la wezi wa Richmond alilobeba EL ilikuwa ni dhamana yake kwa WaTZ wote ambao kwa tasfsiri yako hiyo kwamba wote ni wezi ? Au alibeba ili kuwasaidia wezi wenzake ambao mipango yao ni kupeana madaraka kama pipi siku za usoni,scratch my back I'll scratch yours.Hoooovyoooo.

Hii ni Nchi yenye raia zaidi ya 30 milioni wenye uwezo kamili wa kutuongoza, kwanini EL yeye ana nini so special ambacho WaTZ wanakihitaji ? WaTZ wamesahau nini katika hicho kichwa cha EL hadi wahitaji tena kutumia kichwa chake kutuongoza, kichwa kilichojaa akili ya wizi mtupu.Lowasa ameshiriki wizi mwingi hapa nchini, alimsumbua sana Mwanasheria wa Tanesco MRS.WANDIBA hadi usiku wa manane kwa kumpigia simu ili aweze kutayarisha Documents za mikataba ya hovyo na Ulaji lakini huyo Mama akasimama kidete na Kumkatalia.Alimwogopa kumfukuzisha kazi kwa kuwa kwanza huyo Mama anatoaka kwenye Familia ya Mwalimu Nyerere lakini vilevile Mume wa huyo Mama MR.WANDIBA ndiye Mkuu wa Chuo cha Wanausalama kule Mbweni, nafasi ambayo ni kubwa na amekuwa kwenye System wakati EL bado anavaa Lubega Monduli.

EL anahitaji kushauriwa na wengine (si wewe Pascho) kutafuta shughuli nyingine ya kufanya aachane na sisi wabongo kuhusu uongozi wa nchi yetu, ushenzi aliyokwisha kuifanyia Nchi yetu pendwa TANZANIA ni mkubwa
............. Yamekuwa ya kumlinganisha na YESU ! Wagalatia kwa visa .......... daah !!
 
Mtake msitake huyo ndo rais wenu 2015-2025!!! Mpo hapooo at least CCM itaendelea kutawala milele upinzani ungekomalia ishu ya serikali ya ndoa ya mkeka iwepo kwenye katiba badala ya hizi blahblah wanazopiga nao wapate kuwamo madarakani laasivyo wataendelea kuandamana weee hadi mwisho wa dunia ufike CCM itaendelea kutawala!!!!
 
Back
Top Bottom