Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
MH JAJI Mkuu
Shikamoo Baba Yangu habari za uzima naamini Mungu ametuamsha salama kusaidia wananchi wako
Baba yetu mzee wetu leoo nimeona nikujuze tu kwa yanayaoendelea mahakama za mwanzo
MH JAJI MKUU
Mahakimu WA mahakama za mwanzo wanatesa sana wananchi wanaumiza sana WANANCHI WASIO na uwezo
YAAN HATA watu wanakwenda jela sio wote Wana MAKOSA
iMH JAJI MKUU YAAN kuna watu wafanyabiashara wenye pesa wakiamua kukuweka ndani MH unafungwa kifungo anachotaka yeye mhusika aliemleta mwenye kosa
HATA ujitetee vipi mahakimu wamekuwa hawana MSAADA kabisa hawaelewi
Naliaga sana na nilishaandika malalamiko hasa ya MIRATHI yanavyotesa wananchi kwenye hizi mahakama za mwanzo
Ukweliii ZIMEKUWA sio mahakama za MSAADA YAAN kuna wakati unasimamia kusaidia watu unawaza KWANINI umekwenda kule
Lakini wanapokutana UKo straight HATA kama wamepanga KUMALIXA kesi mwakani wanamaliza wiki ijayo
Mh JAJI MKUU
KUHAIRISHWA KESI
HII IMEKUWA N SEHEMU MOJA WAPO YA RUSHWA NA KUTESANA
MH JAJI MKUU NAWAOMBA KWA MSAADA WA MWENYEXI MUNGU
AWAPE NGUVU NENDENI KAPITIENI KESI ZA KANDA YA KASKAZINI ARUSHA MOSHI ROMBO MWIKA
WANANCHID WANATESEKA WANANCHI WANALIA MAHAKAMANI..zipo KESI ZA MIRATHI AMEBAKI MWANAMKE NA WATOTO WAKEE
WAMAMA WANATESEKA MPAKA ANAFIKIA NAE ANAKUFA PAMOJA NA KUPELEKA DOCS ZOTE ZINAZOTAKIWA
ZIPO KESI ZA MIRATHI MIAKA 7...8
XINA DOCS XOTE HALALI UNAWAZA NA KUSHANGAA SHIDA NN HAZIISHI
NA NJIA MOJA WAPO WANAYOTUMIA N KUHAIRISHA KESI
NENDENI KAKAGUENI MAHAKAMA ZA MWANZO NA SIO TU KASKAZINI NA MAHAKAMA ZOTE XANWANXO NCHINI SHIDA NN KESI HAZIISHI
NENDEN KAKAGUENI SHIDA YA KUHAIRISHA KESI N NINI
BIBLIA INASEMA UKIIJUA KWELI NAYO KWELI ITAKUWEKA HURUUU
ZIPO KESI MUNGU AMESAIDIA KUSAIDIA WATU KADHAA MAHAKMA ZA MWANZO NA WAKO HURU
NA WALE WALIOTAKIWA KUPATA HAKI ZAO MIRATHI WAPO WALIOPATA HAKI ZAOO
NA WENGINE UNAWAULIZA MBONA MAMA MNALIA ANAKWAMBIA NINA MWAKA WA TANO HAPA MWANANGU NIMELETA KILA KITU KILA NIKIJA NAAMBIWA NIMPE CXX SH FLAN WAMALIZE KESI
NIKITOA SIKU YA KESII NAHAIRISHWA NAWAZA KWANI SHIDA YANGU NIINI NA INFO XA MUME WANGU ZOTE ZIPO AU WANATAKA NIFE WARITHI
MH WAKISEMA HAYA MANENO HII N LAANA KUBWA
TUIPINGE KWA GHARAMA ZOTE MH JAJI MKUU
WAAMSHE WAKAGUZI WAENDE MAHAKAMA WAWAHOJI WALE WANAOWAKUTA NANI ANA MALALAMIKOO
NA MSIWAMBIE MNAENDA KUKAGUA MKIWAJUZA HUWA WANHAIRISHA ZILE KESI WANAZOJUA ZITAWACHOMA WAKIULIZWA WANANCHI TENA WANAWAPIGIA KWA SIMU KABISA
.TUNATAKA KWENDA MBINGUNI
TUTENDE HAKI
WAKAGUZI TUAMKE HAYA MAUMIVUU MUNGU HAYACHI YAKAPITA HIVIHIV
TUKIFA TUACHE HISTORIA NJEMA WAPENDWA
SIO HISTORIA YA KUFURAHIA AISEE JAMAA AMEKUFA NACHINJA MBUXI KWA MATESO ALIYOPITIA MTU
TUISHI MAISHA YA KUTIMIXA RAMANI YA MAISHA YETUUUU
MUNGU ANAPOTUPA NAFASI YA KUSAIDIA JAMII ILE N SADAKA MAALUM KTKT MAISHA YAKO PALE UNAPOFANYA MEMA NDIPO NA MUNGU ANAENDELEA KUSAIDIA NA KUBARIKI KIZAZI CHAKO
WAPO MA PILOTS NJE WANA WATOTO MA PILOTS KADHAA
WAPO MAJAJI NJE WANA WATOTO KAMA WANNENWOTE N MAJAJI
HIZI NDIZO BARAKA MUNGU AMETUPA
MUNGU ATUBARIKI
Shikamoo Baba Yangu habari za uzima naamini Mungu ametuamsha salama kusaidia wananchi wako
Baba yetu mzee wetu leoo nimeona nikujuze tu kwa yanayaoendelea mahakama za mwanzo
MH JAJI MKUU
Mahakimu WA mahakama za mwanzo wanatesa sana wananchi wanaumiza sana WANANCHI WASIO na uwezo
YAAN HATA watu wanakwenda jela sio wote Wana MAKOSA
iMH JAJI MKUU YAAN kuna watu wafanyabiashara wenye pesa wakiamua kukuweka ndani MH unafungwa kifungo anachotaka yeye mhusika aliemleta mwenye kosa
HATA ujitetee vipi mahakimu wamekuwa hawana MSAADA kabisa hawaelewi
Naliaga sana na nilishaandika malalamiko hasa ya MIRATHI yanavyotesa wananchi kwenye hizi mahakama za mwanzo
Ukweliii ZIMEKUWA sio mahakama za MSAADA YAAN kuna wakati unasimamia kusaidia watu unawaza KWANINI umekwenda kule
Lakini wanapokutana UKo straight HATA kama wamepanga KUMALIXA kesi mwakani wanamaliza wiki ijayo
Mh JAJI MKUU
KUHAIRISHWA KESI
HII IMEKUWA N SEHEMU MOJA WAPO YA RUSHWA NA KUTESANA
MH JAJI MKUU NAWAOMBA KWA MSAADA WA MWENYEXI MUNGU
AWAPE NGUVU NENDENI KAPITIENI KESI ZA KANDA YA KASKAZINI ARUSHA MOSHI ROMBO MWIKA
WANANCHID WANATESEKA WANANCHI WANALIA MAHAKAMANI..zipo KESI ZA MIRATHI AMEBAKI MWANAMKE NA WATOTO WAKEE
WAMAMA WANATESEKA MPAKA ANAFIKIA NAE ANAKUFA PAMOJA NA KUPELEKA DOCS ZOTE ZINAZOTAKIWA
ZIPO KESI ZA MIRATHI MIAKA 7...8
XINA DOCS XOTE HALALI UNAWAZA NA KUSHANGAA SHIDA NN HAZIISHI
NA NJIA MOJA WAPO WANAYOTUMIA N KUHAIRISHA KESI
NENDENI KAKAGUENI MAHAKAMA ZA MWANZO NA SIO TU KASKAZINI NA MAHAKAMA ZOTE XANWANXO NCHINI SHIDA NN KESI HAZIISHI
NENDEN KAKAGUENI SHIDA YA KUHAIRISHA KESI N NINI
BIBLIA INASEMA UKIIJUA KWELI NAYO KWELI ITAKUWEKA HURUUU
ZIPO KESI MUNGU AMESAIDIA KUSAIDIA WATU KADHAA MAHAKMA ZA MWANZO NA WAKO HURU
NA WALE WALIOTAKIWA KUPATA HAKI ZAO MIRATHI WAPO WALIOPATA HAKI ZAOO
NA WENGINE UNAWAULIZA MBONA MAMA MNALIA ANAKWAMBIA NINA MWAKA WA TANO HAPA MWANANGU NIMELETA KILA KITU KILA NIKIJA NAAMBIWA NIMPE CXX SH FLAN WAMALIZE KESI
NIKITOA SIKU YA KESII NAHAIRISHWA NAWAZA KWANI SHIDA YANGU NIINI NA INFO XA MUME WANGU ZOTE ZIPO AU WANATAKA NIFE WARITHI
MH WAKISEMA HAYA MANENO HII N LAANA KUBWA
TUIPINGE KWA GHARAMA ZOTE MH JAJI MKUU
WAAMSHE WAKAGUZI WAENDE MAHAKAMA WAWAHOJI WALE WANAOWAKUTA NANI ANA MALALAMIKOO
NA MSIWAMBIE MNAENDA KUKAGUA MKIWAJUZA HUWA WANHAIRISHA ZILE KESI WANAZOJUA ZITAWACHOMA WAKIULIZWA WANANCHI TENA WANAWAPIGIA KWA SIMU KABISA
.TUNATAKA KWENDA MBINGUNI
TUTENDE HAKI
WAKAGUZI TUAMKE HAYA MAUMIVUU MUNGU HAYACHI YAKAPITA HIVIHIV
TUKIFA TUACHE HISTORIA NJEMA WAPENDWA
SIO HISTORIA YA KUFURAHIA AISEE JAMAA AMEKUFA NACHINJA MBUXI KWA MATESO ALIYOPITIA MTU
TUISHI MAISHA YA KUTIMIXA RAMANI YA MAISHA YETUUUU
MUNGU ANAPOTUPA NAFASI YA KUSAIDIA JAMII ILE N SADAKA MAALUM KTKT MAISHA YAKO PALE UNAPOFANYA MEMA NDIPO NA MUNGU ANAENDELEA KUSAIDIA NA KUBARIKI KIZAZI CHAKO
WAPO MA PILOTS NJE WANA WATOTO MA PILOTS KADHAA
WAPO MAJAJI NJE WANA WATOTO KAMA WANNENWOTE N MAJAJI
HIZI NDIZO BARAKA MUNGU AMETUPA
MUNGU ATUBARIKI