M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,027
(Perhaps you) and me know very well kuwa ushirikina haufanyi kazi...Huyo shehe mwenyewe analijua hilo am sure.
This is another deliberately timed move (ikitanguliwa na ile ya maisha binafsi ya Dr Slaa kupitia media houses za govt) ya JK & co kui-divert electorate (na hata Slaa & co wenyewe) kutoka kwenye issues.
Dr Slaa awe careful not be drawn into such cheap stuff - nimekuwa saddened kidogo kwamba ame-react against comments za kichawi za sheke Yahaya.
Namshauri kazi hii awaachie akina Marando & co, wakati yeye akiendelea kuchanja mbuga kuhubiri issues.
This is another deliberately timed move (ikitanguliwa na ile ya maisha binafsi ya Dr Slaa kupitia media houses za govt) ya JK & co kui-divert electorate (na hata Slaa & co wenyewe) kutoka kwenye issues.
Dr Slaa awe careful not be drawn into such cheap stuff - nimekuwa saddened kidogo kwamba ame-react against comments za kichawi za sheke Yahaya.
Namshauri kazi hii awaachie akina Marando & co, wakati yeye akiendelea kuchanja mbuga kuhubiri issues.