Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwisho atamwambia Makonda awaombe ccm wamwachie jimboHellow!!
Ndugu Lema ni muumini wa DEMOKRASIA, sasa HOFU inatoka wapi ikiwa wanachadema wanataka mabadiliko ya Kweli?
Si vyema kuruhusu bundi aingilie madirishani!
Karibuni 🙏
Amemaanisha nn, tujuze!hiyo ni lugha tu alotumiaa , angemaanisha unavyowaza, basi angemtaka Mbowe ajiondoe.
Anajua Mbowe ana faul nyingi sanaa na back up ya pesa chafu za AbdulHellow!!
Ndugu Lema ni muumini wa DEMOKRASIA, sasa HOFU inatoka wapi ikiwa wanachadema wanataka mabadiliko ya Kweli?
Si vyema kuruhusu bundi aingilie madirishani!
Karibuni 🙏
Amesema anaona itakuwa heshima kwa Mbowe kuachia ngazi kuliko kushindwa kwenye sanduku la kura.Hellow!!
Ndugu Lema ni muumini wa DEMOKRASIA, sasa HOFU inatoka wapi ikiwa wanachadema wanataka mabadiliko ya Kweli?
Si vyema kuruhusu bundi aingilie madirishani!
Karibuni 🙏
Kushindwa na kumkubali kushindwa Kisha akarudi kuwa mshauri pia ni Heshima kubwa.Amesema anaona itakuwa heshima kwa Mbowe kuachia ngazi kuliko kushindwa kwenye sanduku la kura.