Mh. Makonda wananchi wa King'ori na Kikatiti watanyanyaswa mpaka lini

Mh. Makonda wananchi wa King'ori na Kikatiti watanyanyaswa mpaka lini

saigilomagema

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2015
Posts
4,683
Reaction score
7,222
Mh. Mkuu wa mkoa wa Arusha Paul Makonda mabasi yanayotakiwa kwenda Kikatiti na King'ori maarufu km Covid hunyanyasa sana wananchi wanaoenda njia tajwa. Hqya magari vibao vinaonesha yanatakiwa yaende mpaka King"ori badala yake huishia Maji ya Chai. Latra mkoa wa Arusha ni bomu, wamelalamikiwa mara nyingi ila wameweka pamba masikioni hawajali mateso wanayopatq wananchi. Tunaomba wasaidie hawa wananchi wako.
 
Ukweli mchungu na Kuna muda hata Maji ya Chai hayafiki,yanaishia USA-River.

Wasalimu Macharii wa Chuga,najipanga kurudi.
 
RC lini ulimpigia kura?

Muulize mbunge wako.
 
Back
Top Bottom