Mh!! Marehemu Sheikh Yahaya Hussein enzi zake

Mkuu kuna jini linaitwa Elizabeth, Jonson, Peter, Magdalena?
 
Mkuu kuna jini linaitwa Elizabeth, Jonson, Peter, Magdalena?
Mkuu usishangae nishawahi kupiga story na jini ana Jina la kizungu ingawa sikumbuki,,,,ilikuwa hivi kuna mwana alipandisha madude yake bwana si akaja huyo baharia anagonga kiingereza hatari,niliprove hivyo kwasababu mwana lugha ya malikia ilikuwa haipandi so moja Kwa moja jini ndo akawa anaongea,hlf alikuwa mhuni Sana ananiambia habar za casino na Kula Bata,,,ni vigumu kuamini kama haujakutana na hizo habar
 
Fanya Google search ya Queen Elizabeth and cannibalism. Utaona kwamba inaitwa conspiracy theory lakini siyo conspiracy theory. Queen alishtakiwa The Hague,na Queen aliomba msamaha. Walishtakiwa wote pamoja na Pope Benedict. Pope Benedict alifukuzwa kazi kama ulivyoona.
 
Mataifa yote makubwa na yaliyoendelea hayana utawala wa kiimla/kifalme anzia USA,China,India n.k

How can you justify your statement.

#MaendeleoHayanaChama
Kwahiyo kwako wewe Uingereza sio taifa kubwa lililoendelea? Unaelewa maana ya common wealth?
 
Ndio imani zenu zilivyo. Nasisi si tushirikiane na huo utawala tuendelee?
 
Kwahiyo unajifanya huwajui Wafuga Majini? Au ndio kuwatetea?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo ndo mkubwa wa majini na ndo walioanzisha kanisa la Aglican hata mwingine atakayeingia lazima alinde kanisa hilo kwa kula kiapo, ni moja kati ya miradi yao mikubwa ya kuingiza pesa.
Hebu thibitisha hili Mbongo mwenzangu
 
Mkuu kuna jini linaitwa Elizabeth, Jonson, Peter, Magdalena?
Hata wasiitwe au waitwe hivyo, kuna hadithi ya yesu, kuwa aliwafukuza majini, wakawaingia nguruwe, na wakristu ndiyo walaji wakubwa wa nguruwe.
Hivi unaelewa nini unapoambiwa na mchungaji wewe fulani ana mapepo,

Kwanini huyo pepo asiingie kwa mchungaji, ikiwa kusali mnasali wote.
 
[bPandisha hilo dera bibie....!

]Wakristo maana yake ni Wafuasi wa Kristo...hawawezi kuwa na Majini. Hao wenye Majini sio Wakristo...au unataka kuwatupia?
Kwahiyo wale wanao enda chachi ni wafuasi wa Nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…