Tetesi: Mh. Mwigulu aligoma kutaja majina ya Wauza Madawa, ikabidi apewe Makonda

Tetesi: Mh. Mwigulu aligoma kutaja majina ya Wauza Madawa, ikabidi apewe Makonda

Wakuu nimekuwa nikitafakari kwa kina sana ukimya ule wa Mh.Mwigulu baada ya Mkuu wa Mkoa Makonda kutaja majina ya waliosemekana wauza ngada.

Katika kutafakari nimekuwa nikiomba msaada kwa watu wa ndani kujua sababu hasa ilikuwa ni ipi kwa waziri mwenyewe dhamana kuwa kimya katika kipindi alichokuwa anahitajika zaidi pengine kuliko kipindi chote

Nimepata msaada
Ni tetesi kwamba awali kabisa Mh.Mwigulu alipewa assignment ya kutaja wauza ngada hao hadharani kama alivyofanya Makonda. Lakini kwa ujasiri wake Mwigulu alikataa kuwataja watu hao kwa hoja kwamba hakukuwa na ushahidi madhubuti na akashauri mamlaka husika zifuatilie suala hili ili ikibainika wapelekwe mahakama badala ya kuwataja.

Ushauri wa Nchemba ulipuuzwa kwa kuonekana muoga badala yake akatwisha zigo Makonda ambaye kwa ujasiri na ukakamavu akafanya aliyoyafanya

My Take
Hongera Mwigulu kwa ujasiri huo.Tunakuomba sasa ujasiri huo uende mbali kwa kuamuru aliyevamia Clouds Media akamatwe na kupelekwa sero
Unajua maana ya neno kuvamia?
 
hakuna jasiri hapo naye akijifanyq jasiri anatumbuliwa ndio maana katudanganya kuwa aliyemshikia bastola ameshikwa wakati uongo
 
kamishna mwenye dhamana anafanya kazi yake
lengo lao lilikuwa manji si madawa ya kulevya
Kamishna anafanya Kazi yake kwa weledi na watu wanaitwa kuhojiwa kila siku lakini hakuna aliyelalamika kwa sababu anatekeleza wajibu wake pasipo kuonea watu kama alivyofanya Bashite alikuwa anaonea watu ili apewe mali kama magari, Nyumba nk.
 
Kamishna anafanya Kazi yake kwa weledi na watu wanaitwa kuhojiwa kila siku lakini hakuna aliyelalamika kwa sababu anatekeleza wajibu wake pasipo kuonea watu kama alivyofanya Bashite alikuwa anaonea watu ili apewe mali kama magari, Nyumba nk.
hapo umenena
 
Wakuu nimekuwa nikitafakari kwa kina sana ukimya ule wa Mh.Mwigulu baada ya Mkuu wa Mkoa Makonda kutaja majina ya waliosemekana wauza ngada.

Katika kutafakari nimekuwa nikiomba msaada kwa watu wa ndani kujua sababu hasa ilikuwa ni ipi kwa waziri mwenyewe dhamana kuwa kimya katika kipindi alichokuwa anahitajika zaidi pengine kuliko kipindi chote

Nimepata msaada
Ni tetesi kwamba awali kabisa Mh.Mwigulu alipewa assignment ya kutaja wauza ngada hao hadharani kama alivyofanya Makonda. Lakini kwa ujasiri wake Mwigulu alikataa kuwataja watu hao kwa hoja kwamba hakukuwa na ushahidi madhubuti na akashauri mamlaka husika zifuatilie suala hili ili ikibainika wapelekwe mahakama badala ya kuwataja.

Ushauri wa Nchemba ulipuuzwa kwa kuonekana muoga badala yake akatwisha zigo Makonda ambaye kwa ujasiri na ukakamavu akafanya aliyoyafanya

My Take
Hongera Mwigulu kwa ujasiri huo.Tunakuomba sasa ujasiri huo uende mbali kwa kuamuru aliyevamia Clouds Media akamatwe na kupelekwa sero
Yaani ajitaje mwenyewe! It's funny.
 
Wakuu nimekuwa nikitafakari kwa kina sana ukimya ule wa Mh.Mwigulu baada ya Mkuu wa Mkoa Makonda kutaja majina ya waliosemekana wauza ngada.

Katika kutafakari nimekuwa nikiomba msaada kwa watu wa ndani kujua sababu hasa ilikuwa ni ipi kwa waziri mwenyewe dhamana kuwa kimya katika kipindi alichokuwa anahitajika zaidi pengine kuliko kipindi chote

Nimepata msaada
Ni tetesi kwamba awali kabisa Mh.Mwigulu alipewa assignment ya kutaja wauza ngada hao hadharani kama alivyofanya Makonda. Lakini kwa ujasiri wake Mwigulu alikataa kuwataja watu hao kwa hoja kwamba hakukuwa na ushahidi madhubuti na akashauri mamlaka husika zifuatilie suala hili ili ikibainika wapelekwe mahakama badala ya kuwataja.

Ushauri wa Nchemba ulipuuzwa kwa kuonekana muoga badala yake akatwisha zigo Makonda ambaye kwa ujasiri na ukakamavu akafanya aliyoyafanya

My Take
Hongera Mwigulu kwa ujasiri huo.Tunakuomba sasa ujasiri huo uende mbali kwa kuamuru aliyevamia Clouds Media akamatwe na kupelekwa sero
Unampa hongera mtu muoga!!Ngada kwa sasa imepotea,wauzaji wote wamejichimbia sauzi wanapima upepo
 
Kuna taratibu za kuwashughulikia wahusika hao sio kukalia kusema ngonjera,ukitaka kumkamata mwizi mkimbize kimyakimya utafanikiwa sana
 
uzuri na nayeye inasemekana jina alotumia sio lake.
 
Wakuu nimekuwa nikitafakari kwa kina sana ukimya ule wa Mh.Mwigulu baada ya Mkuu wa Mkoa Makonda kutaja majina ya waliosemekana wauza ngada.

Katika kutafakari nimekuwa nikiomba msaada kwa watu wa ndani kujua sababu hasa ilikuwa ni ipi kwa waziri mwenyewe dhamana kuwa kimya katika kipindi alichokuwa anahitajika zaidi pengine kuliko kipindi chote

Nimepata msaada
Ni tetesi kwamba awali kabisa Mh.Mwigulu alipewa assignment ya kutaja wauza ngada hao hadharani kama alivyofanya Makonda. Lakini kwa ujasiri wake Mwigulu alikataa kuwataja watu hao kwa hoja kwamba hakukuwa na ushahidi madhubuti na akashauri mamlaka husika zifuatilie suala hili ili ikibainika wapelekwe mahakama badala ya kuwataja.

Ushauri wa Nchemba ulipuuzwa kwa kuonekana muoga badala yake akatwisha zigo Makonda ambaye kwa ujasiri na ukakamavu akafanya aliyoyafanya

My Take
Hongera Mwigulu kwa ujasiri huo.Tunakuomba sasa ujasiri huo uende mbali kwa kuamuru aliyevamia Clouds Media akamatwe na kupelekwa sero
HIZI SI TETESI BALI NI UMBEA, ONA HAYA !
 
story haina ukweli...ile mambo ya madawa ilianza kwa kitu cha kijinga sana...

Na ishu yenyewe ilikuwa centred kwa wema sepetu..Diamond na Petit Man

Na wote (Diamond na Wema) walikuwa wanaitaka Contract ya GSM.....na Bashite alikuwa akiwakampemia kina diamond kuipata hio contract na hakutaka wema aipate coz alimnyima uch

Petit akawa anaenda kumharibia Bashite na mondi kwa bosi wa GSM...Ikabidi dogo akamatwe akapewe kipigo nyumbani kwa Bashite

Ili kuuwa soo..Bashite akamsweka petit central polic na kumpa tuhuma ya unga

Sasa kama mjuavyo ukianza uzushi kama huo lazima utaisha vibaya....next day ikabidi aanze kuwaorodhesha wasanii wengine lengo likiwa ni kumpata wema sepenga

akampata wema na wasanii wengine ambao kati yao waliwekwa mule kwa lengo la kujustify kudakwa kwa wema

Kama mnakumbuka ndio Le Brother K wa futuh akaikurupukia hio ishu akidai hata my waifu wake pia adakwe

sasa ndio bashite apate kichwa na kuanza kutaja watu hovyohovyo

Sasa ndio muelewe msiwe manatunga tunga tu vistori vyenu hapa
 
Oya kwa aliepungukiwa au hana kabisa unga anione side mzigo upo wa kutosha mtonye na mwenzako
 
Ni upuuzi kwa kusema Mwigulu ni jasiri kwa kuoopa kutaja watu wa unga
kutajabmajina hayo hadharani kumesaidia mini? utaratibu uliowekwa na sheria c unasema nn kifanyike kwa mruhumiwa wa madawa ya kulevya. ushauri alioutoa Mwigulu kama ni kwwli ulikuwa kisheria zaidi. Mzee wa Msoga kama kweli alitoa list hiyo basi waliopewa walikuwa na akili za kushikiwa. kwa nn yy ashindwe kuyafanyia kazi kwa miaka yt aliyokaa magogoni. hii story imepikwa ili kumpaisha Bashite. hooo. hoop zero humo
 
Mbona umejikanyaga mkuu.Hivi nani jasiri hapo, Makonda au Mwigulu.Come back to your senses.
 
anaujasiri gani??? au ni unafiki tu, Kimsingi hakuna ujasiri wowote kwenye hili, naona ni unafiki tu ndo umemjaa yule jamaa.nampongeza sana makonda amejitahidi sana kunusuru kizazi hiki. mtu mnafiki hata angepewa wizara gani hakuna kinachoonekana akifanya. alikuwa kiliomo sijaona na hata leo ntaendelea kuona hamna kinacho fanyika hiyo wizara. tatizo kuna baadhi ya viongozi ni wabia wa wauza nganda,ndo maana kuna unafiki, ukiaangalia kwa umakini MH. MAKONDA ANADHAMIRA YA KWELI PAMOJA NA MH. RAIS, VIONGOZI WENGINE HAWANA MDA AKIWEMO WAZIRI HUYO.
 
Hi iliwalenga watu fulan kwani ilianza na watu wa chini kabisa yaani watumiaji wasio na madhara kabisa kisha wakaja wengine walikuwa walengwa wa mpango mzima ulioratibu inshu nzima kama kuwachafua watu fulani mmeona.

Baada ya watu kiguna wakaona itakuwa hii haieleweki ndio wakamua kutpia watu walizungumziwa kipinfi cha nyuma baada ya kuona lengo zima la kuwachafua hawa akina maji wema na gwajima wakamua sasa wawataje ndio wakawataja msogason na wengine wengi sasa kipindi hicho ndio kililenga mapusha wenyewe walihukumiwa kimyakimya na wengine wakalipa faini wameachiwa huru

Yoote haya yalilenga wa wachache tu .samahan msije kunisemelea kwa bashite anayetumiwa kwa sababu ya elimu yake duni kwa manufaa ya wenye maarifa ya kunemeka kwa walio na neema.
 
Back
Top Bottom