TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,866
- 5,747
Swali zuri sana maana umbea umezidi sana humu, badala ya jukwaa la GT limekuwa jukwaa la SHILAWADUAlipewa na nani hayo majina?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali zuri sana maana umbea umezidi sana humu, badala ya jukwaa la GT limekuwa jukwaa la SHILAWADUAlipewa na nani hayo majina?
Akina nani waliowazungumzia kipindi cha nyumaHi iliwalenga watu fulan kwani ilianza na watu wa chini kabisa yaani watumiaji wasio na madhara kabisa kisha wakaja wengine walikuwa walengwa wa mpango mzima ulioratibu inshu nzima kama kuwachafua watu fulani mmeona.
Baada ya watu kiguna wakaona itakuwa hii haieleweki ndio wakamua kutpia watu walizungumziwa kipinfi cha nyuma baada ya kuona lengo zima la kuwachafua hawa akina maji wema na gwajima wakamua sasa wawataje ndio wakawataja msogason na wengine wengi sasa kipindi hicho ndio kililenga mapusha wenyewe walihukumiwa kimyakimya na wengine wakalipa faini wameachiwa huru
Yoote haya yalilenga wa wachache tu .samahan msije kunisemelea kwa bashite anayetumiwa kwa sababu ya elimu yake duni kwa manufaa ya wenye maarifa ya kunemeka kwa walio na neema.