Tetesi: Mh.Paul Makonda kuhamishiwa mkoani Geita

Tetesi: Mh.Paul Makonda kuhamishiwa mkoani Geita

Status
Not open for further replies.

digba sowey

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
8,926
Reaction score
17,880
Habari za leo waungwana?

Kuna taarifa toka chini ya kapeti kuwa kijana mchapa kazi na mwenye juhudi katika kuhakikisha taifa letu lina songa mbele Mh. Paul Makonda atahamishiwa mkoani Geita kama mkuu wa mkoa .

Hii ni kutokana na juhudi zake katika kutafuta wawekezaji ,ambapo Mh.Rais ameamua kumhamishia mkoani Geita ili asaidie upatikanaji wa wawekezaji katika sekta ya madini, msukumo huo umekuja kutokana na mh.Paul kuwa na marafiki wengi kutoka mataifa ya ngambo ambao wameonesha nia ya kuwekeza katika sekta ya madini.

My take: namtakia kila kheri mh.Paul ,na anakaribishwa kwa moyo mkunjufu mkoani Geita, lakini pia pongezi kwa mh. Rais kwa kuamua kumleta kijana wetu mchapa kazi ili kuhakikisha kuwa sekta ya madini mkoani Geita inakuwa na kuwaletea tija wakaazi wa Geita na taifa kwa ujumla.
 
Huko Geita si Dari Salaam. Kila la heri zake.View attachment 1381205

Sent using Jamii Forums mobile app
Amependeza sana siku ya Wanawake duniani.
IMG-20200308-WA0050.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za leo waungwana?
Kuna taarifa toka chini ya kapeti kuwa kijana mchapa kazi na mwenye juhudi katika kuhakikisha taifa letu lina songa mbele Mh. Paul Makonda atahamishiwa mkoani Geita kama mkuu wa mkoa .
Duh...!, tetesi hizi sio nzuri!, kitendo cha kuilikisha hii humu jf, umeharibu, sasa hahamishwi tena, kwasababu mhamishaji hapendi kupangiwa, hivyo hata kama ilikuwa ni kweli, akiendelea itaonekana umempangia.

Kwa vile mimi nilimtabiria Makonda makubwa, alipaswa kuhamishiwa Mwanza ili October ampumzushe yule Mbunge chapombe, aingie Bungeni, atapewa wizara nyeti, then 2025 dogo apokee mikoba

Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...
P
 
Sioni tija ya uhamisho huo Kama upo! Hivi huyo boss wake hakumsikia Pompeo na ya juzi ya dar kugeuzwa kituo Cha kupokelea mihadarati? Au anamtuma kwenda kuwapora wachimbaji Kama alivyokuwa akifanya dar?
Magu awe msikivu aache ushindani na marekani kwani hawanaga utani kwenye kuusimamia kauli zao! Kwani akimpumzisha magu atapata hasara gani?
 
Sisi wanageita tuna mhitaji kwa udi na uvumba,tunataja viongozi anayekuwa karibu na RAIA kama mh Paul
Sioni tija ya uhamisho huo Kama upo! Hivi huyo boss wake hakumsikia Pompeo na ya juzi ya dar kugeuzwa kituo Cha kupokelea mihadarati? Au anamtuma kwenda kuwapora wachimbaji Kama alivyokuwa akifanya dar?
Magu awe msikivu aache ushindani na marekani kwani hawanaga utani kwenye kuusimamia kauli zao! Kwani akimpumzisha magu atapata hasara gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wasiojulikana nao watahamia geita au watabaki dar?
 
Duh...!, tetesi hizi sio nzuri!, kitendo cha kuilikisha hii humu jf, umeharibu, sasa hahamishwi tena!.

Kwa vile mimi nilimtabiria Makonda makubwa, alipaswa kuhamishiwa Mwanza ili October ampumzushe yule Mbunge chapombe, aingie Bungeni, atapewa wizara nyeti, then 2025 dogo apokee mikoba

Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...
P
Sio rahisi kupewa nchi
Ubunge tu hawezi kupata labda wa kuchaguliwa
Kutakuwa kuna order imetoka mahala
Rejea IMF sijui World Bank eti ile pesa Mheshimiwa Zitto soon itaachiliwa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom