Unajidanganya kama una hisi anahujumiwa,yeye anavyanzo vingi sana vya kumsaidia,kwa hiyo ukiona jambo kama hilo ujue limejadiliwa kwa kina na kalipitisha, dawa ya haya mambo ni katiba tushikamane kudai katiba.Habari Mheshimiwa Rais,
Nikiri wazi Mimi sikua mshabiki wako, sababu pia sikua mshabiki wala mfuasi wa Chama ulichopo. Na hata ulipoanza kua Rais sikua na matumaini yoyote kwako, sababu kubwa hasa ni kua wewe ulikuwepo kwenye madaraka enzi zile za jamaa yule...
Inawezekana wewe ni mmoja kati ya wanufaika wa haya mambo,inawezekena kabisa wewe ni mbunge kwa hiyo unajaribu kuhalalisha uhalo mlio upitisha kwa kudemka bila kuwajali watu wa chini kabisa.Mnayahitaji maendeleo makubwa ,je yatoke mbinguni?!!!!
Hivi kufunga mikanda ili AJIRA ZIENDELEE KUTENGENEZA ni kosa ?
Wanaotaka Legacy yake ienziwe hawajui kama alishakufaHivi huyo shujaa si alishakufa? Sasa hao wafuasi wake wanatokea wapi tena? Na wamhujumu mama ili wapate nni na shujaa wao hayupo tena. Yaani mlimuogopa mtu mpaka na kivuli chake bado kinawasumbua.
Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
Yeye anafahamu ndio kua tunapata maumivu ndio, lakin kitu kimoja yeye sio expert wa kila kitu. Vitu vingine hutegemea ushauri wa wengine, ambapo wakimpotosha nae hupotoka.Unajidanganya kama una hisi anahujumiwa,yeye anavyanzo vingi sana vya kumsaidia,kwa hiyo ukiona jambo kama hilo ujue limejadiliwa kwa kina na kalipitisha, dawa ya haya mambo ni katiba tushikamane kudai katiba.
Kufunga mkanda unakokuita ni a temporary solution, hili la kuongeza kodi na kuweka kodi mpya haliko temporarily, unless tuambiwe hii kodi itaondolewa lini.Mnayahitaji maendeleo makubwa ,je yatoke mbinguni?!!!!
Hivi kufunga mikanda ili AJIRA ZIENDELEE KUTENGENEZA ni kosa ?...
Kwahiyo mikanda ya kufunga waliyoiona ni hii ya kwenye mafuta na tozo za miamala? Ubunifu zero afu mnakuja na hoja mlenda mlendaMnayahitaji maendeleo makubwa ,je yatoke mbinguni?!!!!
Hivi kufunga mikanda ili AJIRA ZIENDELEE KUTENGENEZA ni kosa ...
Hivi huwa mnalipwa kutetea huu upuuzi ?
Tatizo mlizidisha sifa eti anaupiga mwingiNakuomba tena Mama yangu ufikirie tena hivi vimeo unavyochomekewa, na uwe makini navyo. Mafuta ndio "trigger" ya mfumuko wa bei wa bidhaa mbalimbali za muhimu. Na kwenye miamala ya tigopesa/mpesa ndio wengi wa kipato cha kati na chini hufanya miamala yetu, sababu hatuna hela za kuweza kukaa benki.[emoji736][emoji817][emoji1545]
Kwenye tozo za mafuta na miamala ya simu kashauriwa vibaya na impact yake ataiona soon. Kuna wako mijini wanapigika siku nzima ili jioni watume 6000 nyumbani kijijini watoe 5000 wapate kula na kupata mahitaji mengine ya lazima .. Leo haiwezekani tena
Wanamuhujumu.
Hio wizara inafaa mchaga aisee
Wanamuhujumu.
Hio wizara inafaa mchaga aisee
Mtaani kuna wasomi kibao kwann awakumbatie hao waliozoea kufokewa ndipo wafanye Kazi.Yani kumpata mwaminifu, mchapa kazi, mwenye imani na huruma kwa wananchi ni nadra sana, wapo ila wachache mno. Huyu mama yuko very smart, mawaziri wake ndio baadhi wanamharibia.