Mh. Rais, kujipa muda kabla ya kuagiza chanjo ni jambo jema lakini kukataa chanjo ni jambo ambalo halitowezekana na halitakuwa la busara!

Mh. Rais, kujipa muda kabla ya kuagiza chanjo ni jambo jema lakini kukataa chanjo ni jambo ambalo halitowezekana na halitakuwa la busara!

Nasikia usipokubali chanjo hatutoruhusiwa kupewa huduma baadhi ya sehemu.
 
Hizo chanjo ni kuziacha kwanza
Kuna nesi huko US kadondoka na kuzimia dakika Saba baada ya kudungwa chanjo
 
Kuna nini kinaendelea huko Lumumba??? Mbona makada nguli mliopo humu akili zinaanza kuwarudia???😂😂😂😂

Au ndo mmegundua kuwa pale juu mmeingia chaka?😂😂
Wasalaam wana jamvi.
Wanajamvi wasalaam, bila shaka kila mtu anajua fika kabisa kuwa janga la Corona limeathiri dunia na uchumi wa dunia kwa ujumla kabisa.
Na ni wazi kabisa Tanzania tuna Neema ya kipekee sana kwani ugonjwa huu haujawa na atahari kubwa kama nchi nyingine za wenzetu
Na katika hili kila Mtanzania ana haki na wajibu wa kumshukuru Mungu.

Lakini hivi karibuni kumekuwepo na taarifa ya za kupatikana kwa chanjo ambayo pengine kwa nchi za Ulaya inatarajiwa kutolewa kama sio January basi ni December,.
Ukweli ni kwamba kama chanjo zinazo tajwa zitafanikiwa basi litakuwa jambo jema na tutamshukuru Mungu pia....
Ni lazima tujua kuwa chanjo ni kinga kwa hiyo kama zitafanikiwa kuzuia ugonjwa huo basi litakuwa jambo jema kabisa kwa Dunia nzima.

Lakini katika hili la chanjo naipongeza serikali kuto harakisha kuagiza kwa chnjo hiyo kabla hata haijaanza kutumika uko ulaya na marekani kwani kumekuwa bado na mjadala kuhusu uhakika hizo chanjo kwa hiyo kujipa muda ni jambo jema.

Lakini napingana naserikali kusema kuwa haito agiza chanjo wakati ugonjwa huu haijaweza kuupatia dawa au chanjo yake hapa nchini na litakuwa jambo la ajabu sana kukataa chanjo wakati bado Tanzania ina muingiliano wa kila aina ya watu wa mataifa mbalimbali duniani.
Lazima tukubali kuwa kama kuna chanjo ambayo itathibitika ina ufanisi dhidi ya CORONA ni lazima itaagizwa kwa kutaka au kutotaka kwani tanzania sio kisiwa cha peke yake...............
Kama tuna jipanga kukataa chanjo dhidi ya Corona ni lazima tuhuthibitishie ulimwengu kuwa tunayo chanjo yetu ambayo ina ufanisi kuliko zao na ni ni kwa jinsi gani hatuwezi kupata Corona hata tukikutana na mwenye Corona.

Watanzania wanatakiwa kujua kutokuwa na Corona hauwezi kuwa ndio utetezi wa kutokuagiza chanjo.
Watanzania tuna chanjo nyingi sana ambazo zimekuwa zikitolewa kila leo na hatujawai kuzikataa na nina hakika hata hizo zote tulijipa muda kabla ya kuagiza.

Bado naamini hata chanjo ya Corona ni muhimu kwa tanzania na watanzania na ni vyema serikali ikaendelea kutafakari lakini lazima ijue kuwa kuagiza chanjo ya Corona hakuto zuilika kama itathibitika pasi na shaka ambazo zilizo tengenezwa zimwkuwa na ufanisi mkubwa sana kwa binadamu dhidi ya Corona.

Wasalaaam
 
Wasalaam wana jamvi.
Wanajamvi wasalaam, bila shaka kila mtu anajua fika kabisa kuwa janga la Corona limeathiri dunia na uchumi wa dunia kwa ujumla kabisa.
Na ni wazi kabisa Tanzania tuna Neema ya kipekee sana kwani ugonjwa huu haujawa na atahari kubwa kama nchi nyingine za wenzetu
Na katika hili kila Mtanzania ana haki na wajibu wa kumshukuru Mungu.

Lakini hivi karibuni kumekuwepo na taarifa ya za kupatikana kwa chanjo ambayo pengine kwa nchi za Ulaya inatarajiwa kutolewa kama sio January basi ni December,.
Ukweli ni kwamba kama chanjo zinazo tajwa zitafanikiwa basi litakuwa jambo jema na tutamshukuru Mungu pia....
Ni lazima tujua kuwa chanjo ni kinga kwa hiyo kama zitafanikiwa kuzuia ugonjwa huo basi litakuwa jambo jema kabisa kwa Dunia nzima.

Lakini katika hili la chanjo naipongeza serikali kuto harakisha kuagiza kwa chnjo hiyo kabla hata haijaanza kutumika uko ulaya na marekani kwani kumekuwa bado na mjadala kuhusu uhakika hizo chanjo kwa hiyo kujipa muda ni jambo jema.

Lakini napingana naserikali kusema kuwa haito agiza chanjo wakati ugonjwa huu haijaweza kuupatia dawa au chanjo yake hapa nchini na litakuwa jambo la ajabu sana kukataa chanjo wakati bado Tanzania ina muingiliano wa kila aina ya watu wa mataifa mbalimbali duniani.
Lazima tukubali kuwa kama kuna chanjo ambayo itathibitika ina ufanisi dhidi ya CORONA ni lazima itaagizwa kwa kutaka au kutotaka kwani tanzania sio kisiwa cha peke yake...............
Kama tuna jipanga kukataa chanjo dhidi ya Corona ni lazima tuhuthibitishie ulimwengu kuwa tunayo chanjo yetu ambayo ina ufanisi kuliko zao na ni ni kwa jinsi gani hatuwezi kupata Corona hata tukikutana na mwenye Corona.

Watanzania wanatakiwa kujua kutokuwa na Corona hauwezi kuwa ndio utetezi wa kutokuagiza chanjo.
Watanzania tuna chanjo nyingi sana ambazo zimekuwa zikitolewa kila leo na hatujawai kuzikataa na nina hakika hata hizo zote tulijipa muda kabla ya kuagiza.

Bado naamini hata chanjo ya Corona ni muhimu kwa tanzania na watanzania na ni vyema serikali ikaendelea kutafakari lakini lazima ijue kuwa kuagiza chanjo ya Corona hakuto zuilika kama itathibitika pasi na shaka ambazo zilizo tengenezwa zimwkuwa na ufanisi mkubwa sana kwa binadamu dhidi ya Corona.

Wasalaaam
Mitano 5 ,hapangiwi ,endelea kunywa mtori utakuta nyama chini...hapa kazi tu!!
 
Wasalaam wana jamvi.
Wanajamvi wasalaam, bila shaka kila mtu anajua fika kabisa kuwa janga la Corona limeathiri dunia na uchumi wa dunia kwa ujumla kabisa.
Na ni wazi kabisa Tanzania tuna Neema ya kipekee sana kwani ugonjwa huu haujawa na atahari kubwa kama nchi nyingine za wenzetu
Na katika hili kila Mtanzania ana haki na wajibu wa kumshukuru Mungu.

Lakini hivi karibuni kumekuwepo na taarifa ya za kupatikana kwa chanjo ambayo pengine kwa nchi za Ulaya inatarajiwa kutolewa kama sio January basi ni December,.
Ukweli ni kwamba kama chanjo zinazo tajwa zitafanikiwa basi litakuwa jambo jema na tutamshukuru Mungu pia....
Ni lazima tujua kuwa chanjo ni kinga kwa hiyo kama zitafanikiwa kuzuia ugonjwa huo basi litakuwa jambo jema kabisa kwa Dunia nzima.

Lakini katika hili la chanjo naipongeza serikali kuto harakisha kuagiza kwa chnjo hiyo kabla hata haijaanza kutumika uko ulaya na marekani kwani kumekuwa bado na mjadala kuhusu uhakika hizo chanjo kwa hiyo kujipa muda ni jambo jema.

Lakini napingana naserikali kusema kuwa haito agiza chanjo wakati ugonjwa huu haijaweza kuupatia dawa au chanjo yake hapa nchini na litakuwa jambo la ajabu sana kukataa chanjo wakati bado Tanzania ina muingiliano wa kila aina ya watu wa mataifa mbalimbali duniani.
Lazima tukubali kuwa kama kuna chanjo ambayo itathibitika ina ufanisi dhidi ya CORONA ni lazima itaagizwa kwa kutaka au kutotaka kwani tanzania sio kisiwa cha peke yake...............
Kama tuna jipanga kukataa chanjo dhidi ya Corona ni lazima tuhuthibitishie ulimwengu kuwa tunayo chanjo yetu ambayo ina ufanisi kuliko zao na ni ni kwa jinsi gani hatuwezi kupata Corona hata tukikutana na mwenye Corona.

Watanzania wanatakiwa kujua kutokuwa na Corona hauwezi kuwa ndio utetezi wa kutokuagiza chanjo.
Watanzania tuna chanjo nyingi sana ambazo zimekuwa zikitolewa kila leo na hatujawai kuzikataa na nina hakika hata hizo zote tulijipa muda kabla ya kuagiza.

Bado naamini hata chanjo ya Corona ni muhimu kwa tanzania na watanzania na ni vyema serikali ikaendelea kutafakari lakini lazima ijue kuwa kuagiza chanjo ya Corona hakuto zuilika kama itathibitika pasi na shaka ambazo zilizo tengenezwa zimwkuwa na ufanisi mkubwa sana kwa binadamu dhidi ya Corona.

Wasalaaam
Usifikiri hiyo chanjo ni bure. Ukienda kichwakichwa utaweza dhuru uchumi wa nchi kwa kitu ni conspiracy ya wazungu kuzinyonya nchi za wajinga. Ugonjwa kweli upo lakini risk na tiba ukweli halisi sio mambo ya kusimamisha uchumi wa nchi. Kila mtu akili kumkichwa..wajanja wenye kudhibiti dunia wako kazini.
 
Wewe ndugu huwajui wazungu wewe sisi tunaona mbali sana ....hiii ni vita ya kiuchumi
 
Kamanda najua una hasira za uchaguzi hebu shusha presha mimi natoa ushauri kwa serikali yangu........nyinyi chama chenu huwa hamkosei na wala huwa hamkosolewi hahahaha
Kwa chadema, kumkosoa Mbowe au Lisu ni usaliti.

Sisi ccm tuko huru kumkosoa yeyote awe rais au Polepole au Bashiru, wote wanakosolewa.

Uhuru huu huwezi kuukuta pale ufipa. Si unaona sasa hivi Halima anavyotukanwa kisa hajampendeza mungu wao Mbowe
 
Wasalaam wana jamvi.
Wanajamvi wasalaam, bila shaka kila mtu anajua fika kabisa kuwa janga la Corona limeathiri dunia na uchumi wa dunia kwa ujumla kabisa.
Na ni wazi kabisa Tanzania tuna Neema ya kipekee sana kwani ugonjwa huu haujawa na atahari kubwa kama nchi nyingine za wenzetu
Na katika hili kila Mtanzania ana haki na wajibu wa kumshukuru Mungu.

Lakini hivi karibuni kumekuwepo na taarifa ya za kupatikana kwa chanjo ambayo pengine kwa nchi za Ulaya inatarajiwa kutolewa kama sio January basi ni December,.
Ukweli ni kwamba kama chanjo zinazo tajwa zitafanikiwa basi litakuwa jambo jema na tutamshukuru Mungu pia....
Ni lazima tujua kuwa chanjo ni kinga kwa hiyo kama zitafanikiwa kuzuia ugonjwa huo basi litakuwa jambo jema kabisa kwa Dunia nzima.

Lakini katika hili la chanjo naipongeza serikali kuto harakisha kuagiza kwa chnjo hiyo kabla hata haijaanza kutumika uko ulaya na marekani kwani kumekuwa bado na mjadala kuhusu uhakika hizo chanjo kwa hiyo kujipa muda ni jambo jema.

Lakini napingana naserikali kusema kuwa haito agiza chanjo wakati ugonjwa huu haijaweza kuupatia dawa au chanjo yake hapa nchini na litakuwa jambo la ajabu sana kukataa chanjo wakati bado Tanzania ina muingiliano wa kila aina ya watu wa mataifa mbalimbali duniani.
Lazima tukubali kuwa kama kuna chanjo ambayo itathibitika ina ufanisi dhidi ya CORONA ni lazima itaagizwa kwa kutaka au kutotaka kwani tanzania sio kisiwa cha peke yake...............
Kama tuna jipanga kukataa chanjo dhidi ya Corona ni lazima tuhuthibitishie ulimwengu kuwa tunayo chanjo yetu ambayo ina ufanisi kuliko zao na ni ni kwa jinsi gani hatuwezi kupata Corona hata tukikutana na mwenye Corona.

Watanzania wanatakiwa kujua kutokuwa na Corona hauwezi kuwa ndio utetezi wa kutokuagiza chanjo.
Watanzania tuna chanjo nyingi sana ambazo zimekuwa zikitolewa kila leo na hatujawai kuzikataa na nina hakika hata hizo zote tulijipa muda kabla ya kuagiza.

Bado naamini hata chanjo ya Corona ni muhimu kwa tanzania na watanzania na ni vyema serikali ikaendelea kutafakari lakini lazima ijue kuwa kuagiza chanjo ya Corona hakuto zuilika kama itathibitika pasi na shaka ambazo zilizo tengenezwa zimwkuwa na ufanisi mkubwa sana kwa binadamu dhidi ya Corona.

Wasalaaam
Hata saa mbovu kuna wakati inapatia majira. Tutaelewana tu.
 
Kweli Ufipani kuna Vilaza walio pindukia
Lumumba kuna mazwazwa waliotukuka
JamiiForums1647896232.jpg
 
Kwa chadema, kumkosoa Mbowe au Lisu ni usaliti.

Sisi ccm tuko huru kumkosoa yeyote awe rais au Polepole au Bashiru, wote wanakosolewa.

Uhuru huu huwezi kuukuta pale ufipa. Si unaona sasa hivi Halima anavyotukanwa kisa hajampendeza mungu wao Mbowe
Hakuna mwenye ubavu huo mkiwa mbele yake mnajinyeanyea hadi mnashindwa kusoma viapo.
 
Covd issues imejaa hila nyingi, ukiona serikali inasema haitaagiza chanjo, jua kuna ujumbe anafikishiwa beberu fulani mwenye hila.
Wewe ni shahidi kua serikali yetu haijawahi kosea step since sakata hili la covid lianze.

Jpm is a genious! Tumwamin.

Haya ni maoni binafsi, sorry for any inconvenience that may arise.
 
chanjo itakataliwa na awamu ya tano, kitakachotokea kuanzia 2022 ni kwamba watanzania watakuwa hawaruhusiwi kuingia nchi nyingi itabidi tukatafute passports za kenya na watalii itakuwa ngumu kuja huku, thats it
 
Back
Top Bottom