Mh. Rais, kujipa muda kabla ya kuagiza chanjo ni jambo jema lakini kukataa chanjo ni jambo ambalo halitowezekana na halitakuwa la busara!

Mh. Rais, kujipa muda kabla ya kuagiza chanjo ni jambo jema lakini kukataa chanjo ni jambo ambalo halitowezekana na halitakuwa la busara!

Wasalaam wana jamvi.
Wanajamvi wasalaam, bila shaka kila mtu anajua fika kabisa kuwa janga la Corona limeathiri dunia na uchumi wa dunia kwa ujumla kabisa.
Na ni wazi kabisa Tanzania tuna Neema ya kipekee sana kwani ugonjwa huu haujawa na atahari kubwa kama nchi nyingine za wenzetu
Na katika hili kila Mtanzania ana haki na wajibu wa kumshukuru Mungu.

Lakini hivi karibuni kumekuwepo na taarifa ya za kupatikana kwa chanjo ambayo pengine kwa nchi za Ulaya inatarajiwa kutolewa kama sio January basi ni December,.
Ukweli ni kwamba kama chanjo zinazo tajwa zitafanikiwa basi litakuwa jambo jema na tutamshukuru Mungu pia....
Ni lazima tujua kuwa chanjo ni kinga kwa hiyo kama zitafanikiwa kuzuia ugonjwa huo basi litakuwa jambo jema kabisa kwa Dunia nzima.

Lakini katika hili la chanjo naipongeza serikali kuto harakisha kuagiza kwa chnjo hiyo kabla hata haijaanza kutumika uko ulaya na marekani kwani kumekuwa bado na mjadala kuhusu uhakika hizo chanjo kwa hiyo kujipa muda ni jambo jema.

Lakini napingana naserikali kusema kuwa haito agiza chanjo wakati ugonjwa huu haijaweza kuupatia dawa au chanjo yake hapa nchini na litakuwa jambo la ajabu sana kukataa chanjo wakati bado Tanzania ina muingiliano wa kila aina ya watu wa mataifa mbalimbali duniani.
Lazima tukubali kuwa kama kuna chanjo ambayo itathibitika ina ufanisi dhidi ya CORONA ni lazima itaagizwa kwa kutaka au kutotaka kwani tanzania sio kisiwa cha peke yake...............
Kama tuna jipanga kukataa chanjo dhidi ya Corona ni lazima tuhuthibitishie ulimwengu kuwa tunayo chanjo yetu ambayo ina ufanisi kuliko zao na ni ni kwa jinsi gani hatuwezi kupata Corona hata tukikutana na mwenye Corona.

Watanzania wanatakiwa kujua kutokuwa na Corona hauwezi kuwa ndio utetezi wa kutokuagiza chanjo.
Watanzania tuna chanjo nyingi sana ambazo zimekuwa zikitolewa kila leo na hatujawai kuzikataa na nina hakika hata hizo zote tulijipa muda kabla ya kuagiza.

Bado naamini hata chanjo ya Corona ni muhimu kwa tanzania na watanzania na ni vyema serikali ikaendelea kutafakari lakini lazima ijue kuwa kuagiza chanjo ya Corona hakuto zuilika kama itathibitika pasi na shaka ambazo zilizo tengenezwa zimwkuwa na ufanisi mkubwa sana kwa binadamu dhidi ya Corona.

Wasalaaam
Acha mawazo mgando wewe!
 
Hivi kumbe siwezi kutoa ushauri mpaka niwe nataka kusafiri? huu ni ushauri kwa serikali


Wewe kwanini hutaki kusikia???!!, mkuu wa serikali hii huwa hataki kushauriwa. Ili uelewe labda tukupigie kengele ya kanisani sikioni mwako???.

Tena alishasema kama alikuwa anataka kutekekeza mpango fulani na ikatokea watu kutoa ushauri au kuanza minong'ono juu ya huo mpango basi mpango mzima ataubadilisha au kuufuta kabisa, yeye huwa hashauriwi.
 
Wasalaam wana jamvi.
Wanajamvi wasalaam, bila shaka kila mtu anajua fika kabisa kuwa janga la Corona limeathiri dunia na uchumi wa dunia kwa ujumla kabisa.
Na ni wazi kabisa Tanzania tuna Neema ya kipekee sana kwani ugonjwa huu haujawa na atahari kubwa kama nchi nyingine za wenzetu
Na katika hili kila Mtanzania ana haki na wajibu wa kumshukuru Mungu.

Lakini hivi karibuni kumekuwepo na taarifa ya za kupatikana kwa chanjo ambayo pengine kwa nchi za Ulaya inatarajiwa kutolewa kama sio January basi ni December,.
Ukweli ni kwamba kama chanjo zinazo tajwa zitafanikiwa basi litakuwa jambo jema na tutamshukuru Mungu pia....
Ni lazima tujua kuwa chanjo ni kinga kwa hiyo kama zitafanikiwa kuzuia ugonjwa huo basi litakuwa jambo jema kabisa kwa Dunia nzima.

Lakini katika hili la chanjo naipongeza serikali kuto harakisha kuagiza kwa chnjo hiyo kabla hata haijaanza kutumika uko ulaya na marekani kwani kumekuwa bado na mjadala kuhusu uhakika hizo chanjo kwa hiyo kujipa muda ni jambo jema.

Lakini napingana naserikali kusema kuwa haito agiza chanjo wakati ugonjwa huu haijaweza kuupatia dawa au chanjo yake hapa nchini na litakuwa jambo la ajabu sana kukataa chanjo wakati bado Tanzania ina muingiliano wa kila aina ya watu wa mataifa mbalimbali duniani.
Lazima tukubali kuwa kama kuna chanjo ambayo itathibitika ina ufanisi dhidi ya CORONA ni lazima itaagizwa kwa kutaka au kutotaka kwani tanzania sio kisiwa cha peke yake...............
Kama tuna jipanga kukataa chanjo dhidi ya Corona ni lazima tuhuthibitishie ulimwengu kuwa tunayo chanjo yetu ambayo ina ufanisi kuliko zao na ni ni kwa jinsi gani hatuwezi kupata Corona hata tukikutana na mwenye Corona.

Watanzania wanatakiwa kujua kutokuwa na Corona hauwezi kuwa ndio utetezi wa kutokuagiza chanjo.
Watanzania tuna chanjo nyingi sana ambazo zimekuwa zikitolewa kila leo na hatujawai kuzikataa na nina hakika hata hizo zote tulijipa muda kabla ya kuagiza.

Bado naamini hata chanjo ya Corona ni muhimu kwa tanzania na watanzania na ni vyema serikali ikaendelea kutafakari lakini lazima ijue kuwa kuagiza chanjo ya Corona hakuto zuilika kama itathibitika pasi na shaka ambazo zilizo tengenezwa zimwkuwa na ufanisi mkubwa sana kwa binadamu dhidi ya Corona.

Wasalaaam
Nchi zote zinazotuzunguka wakichanja wananchi wao ina maana sisi hatuna haja ya kuchanjwa. Kwa sababu ugonjwa ndiyo itakuwa umefukuzwa inderect.
 
Wasalaam wana jamvi.

Wanajamvi wasalaam, bila shaka kila mtu anajua fika kabisa kuwa janga la Corona limeathiri dunia na uchumi wa dunia kwa ujumla kabisa.

Na ni wazi kabisa Tanzania tuna Neema ya kipekee sana kwani ugonjwa huu haujawa na atahari kubwa kama nchi nyingine za wenzetu
Na katika hili kila Mtanzania ana haki na wajibu wa kumshukuru Mungu.

Lakini hivi karibuni kumekuwepo na taarifa ya za kupatikana kwa chanjo ambayo pengine kwa nchi za Ulaya inatarajiwa kutolewa kama sio January basi ni December.

Ukweli ni kwamba kama chanjo zinazo tajwa zitafanikiwa basi litakuwa jambo jema na tutamshukuru Mungu pia....
Ni lazima tujua kuwa chanjo ni kinga kwa hiyo kama zitafanikiwa kuzuia ugonjwa huo basi litakuwa jambo jema kabisa kwa Dunia nzima.

Lakini katika hili la chanjo naipongeza serikali kuto harakisha kuagiza kwa chnjo hiyo kabla hata haijaanza kutumika uko ulaya na marekani kwani kumekuwa bado na mjadala kuhusu uhakika hizo chanjo kwa hiyo kujipa muda ni jambo jema.

Lakini napingana naserikali kusema kuwa haito agiza chanjo wakati ugonjwa huu haijaweza kuupatia dawa au chanjo yake hapa nchini na litakuwa jambo la ajabu sana kukataa chanjo wakati bado Tanzania ina muingiliano wa kila aina ya watu wa mataifa mbalimbali duniani.

Lazima tukubali kuwa kama kuna chanjo ambayo itathibitika ina ufanisi dhidi ya CORONA ni lazima itaagizwa kwa kutaka au kutotaka kwani tanzania sio kisiwa cha peke yake.

Kama tuna jipanga kukataa chanjo dhidi ya Corona ni lazima tuhuthibitishie ulimwengu kuwa tunayo chanjo yetu ambayo ina ufanisi kuliko zao na ni ni kwa jinsi gani hatuwezi kupata Corona hata tukikutana na mwenye Corona.

Watanzania wanatakiwa kujua kutokuwa na Corona hauwezi kuwa ndio utetezi wa kutokuagiza chanjo.
Watanzania tuna chanjo nyingi sana ambazo zimekuwa zikitolewa kila leo na hatujawai kuzikataa na nina hakika hata hizo zote tulijipa muda kabla ya kuagiza.

Bado naamini hata chanjo ya Corona ni muhimu kwa tanzania na watanzania na ni vyema serikali ikaendelea kutafakari lakini lazima ijue kuwa kuagiza chanjo ya Corona hakuto zuilika kama itathibitika pasi na shaka ambazo zilizo tengenezwa zimwkuwa na ufanisi mkubwa sana kwa binadamu dhidi ya Corona.

Wasalaaam
Ndio ujue mna rais kichaa.
 
Mimi lazima nichanjwe hata ikibidi nivuke niende kuchanjwa Kenya. Chanjo ni muhimu sana.
 
Dawa ni kuandaa utaratibu wa chanjo binafsi tu,anayetaka achanjwe asiyetaka aache,Jiwe anaweza akasacrifice watu wake wafe wakati yeye kajifungia anatoa matamko tu,
 
Wasalaam wana jamvi.

Wanajamvi wasalaam, bila shaka kila mtu anajua fika kabisa kuwa janga la Corona limeathiri dunia na uchumi wa dunia kwa ujumla kabisa.

Na ni wazi kabisa Tanzania tuna Neema ya kipekee sana kwani ugonjwa huu haujawa na atahari kubwa kama nchi nyingine za wenzetu
Na katika hili kila Mtanzania ana haki na wajibu wa kumshukuru Mungu.

Lakini hivi karibuni kumekuwepo na taarifa ya za kupatikana kwa chanjo ambayo pengine kwa nchi za Ulaya inatarajiwa kutolewa kama sio January basi ni December.

Ukweli ni kwamba kama chanjo zinazo tajwa zitafanikiwa basi litakuwa jambo jema na tutamshukuru Mungu pia....
Ni lazima tujua kuwa chanjo ni kinga kwa hiyo kama zitafanikiwa kuzuia ugonjwa huo basi litakuwa jambo jema kabisa kwa Dunia nzima.

Lakini katika hili la chanjo naipongeza serikali kuto harakisha kuagiza kwa chnjo hiyo kabla hata haijaanza kutumika uko ulaya na marekani kwani kumekuwa bado na mjadala kuhusu uhakika hizo chanjo kwa hiyo kujipa muda ni jambo jema.

Lakini napingana naserikali kusema kuwa haito agiza chanjo wakati ugonjwa huu haijaweza kuupatia dawa au chanjo yake hapa nchini na litakuwa jambo la ajabu sana kukataa chanjo wakati bado Tanzania ina muingiliano wa kila aina ya watu wa mataifa mbalimbali duniani.

Lazima tukubali kuwa kama kuna chanjo ambayo itathibitika ina ufanisi dhidi ya CORONA ni lazima itaagizwa kwa kutaka au kutotaka kwani tanzania sio kisiwa cha peke yake.

Kama tuna jipanga kukataa chanjo dhidi ya Corona ni lazima tuhuthibitishie ulimwengu kuwa tunayo chanjo yetu ambayo ina ufanisi kuliko zao na ni ni kwa jinsi gani hatuwezi kupata Corona hata tukikutana na mwenye Corona.

Watanzania wanatakiwa kujua kutokuwa na Corona hauwezi kuwa ndio utetezi wa kutokuagiza chanjo.
Watanzania tuna chanjo nyingi sana ambazo zimekuwa zikitolewa kila leo na hatujawai kuzikataa na nina hakika hata hizo zote tulijipa muda kabla ya kuagiza.

Bado naamini hata chanjo ya Corona ni muhimu kwa tanzania na watanzania na ni vyema serikali ikaendelea kutafakari lakini lazima ijue kuwa kuagiza chanjo ya Corona hakuto zuilika kama itathibitika pasi na shaka ambazo zilizo tengenezwa zimwkuwa na ufanisi mkubwa sana kwa binadamu dhidi ya Corona.

Wasalaaam
Zinaweza zikaagizwa kisirisiri, mbona pesa kutoka EU tumekuja kujua baada ya wazungu kuongelea kwenye bunge lao, pamoja tulijitamba kuwa hakuna Corona ila pesa tukabeba?😂😂
 
Huwa unakubali kila upuuzi, leo unajitoa muhanga baada ya kufiwa na mtu kwa covid, ndio unajifanya kushauri. Nani anakusikiliza ww kapuku. Ww kazi yako ni kusifia tu, achia wenye akili wakosoe.
Teh teh teh teh...hutaki ajiunge na kambi ya wakosoaji.
 
Unafahamu kuwa chanjo no biashara ambayo iliandaliwa na hawa watu? Kama hatukuugua korona kwa kiasi walichotabiri chanjo ya nini?
 
Wewe ni nani mpaka umpangie Rais Magufuli cha kufanya?

Rais ni mtumishi wa wananchi; hivyo wale wananchi wenye akili wana jukumu la kumshauri Rais kwa mambo yote yanayohusu mustakabali wa nchi na wananchi wake, likiwapo suala hili la chanjo ya corona. Jiwe anaamini kuwa kujifukiza [ NYUNGU] inatibu corona , sawa basi wanasayansi wetu wafanye utafiti zaidi na kuja na muarobaini wetu wa kutibu corona badala ya kuamini kuwa maombi ndio tiba!!!
 
Zile Juice ambazo Kabudi alifata Madagascar ziliishia wapi kwanza kabla ya kujadili hizi chanjo?
zile juice wakati anatest alikodoa macho utafikiri anapiga nyongo
😅😅😅
 
Chanjo yenu ipi? Maombi ya siku 3??

Unafikiri anajiamulia? Kataeni chanjo siku mimacho atakapozuiliwa kwenda mikutano ya kutembeza bakuli ndio utajua boss ni nani
 
Lazima tukubali kuwa kama kuna chanjo ambayo itathibitika ina ufanisi dhidi ya CORONA ni lazima itaagizwa kwa kutaka au kutotaka kwani tanzania sio kisiwa cha peke yake
Naishauri, badala ya serikali kukubali ushauri wako wenye vitisho ndani yake; ni muda muafaka sasa Tanzania kujibidisha kwa kuimarisha vitengo vyetu vya madawa ya asili kwa kutumia mbinu za kisasa. SUA wameonyesha mfano kuwa wataalamu wetu wanauwezo wa kuvumbua chanjo mbalimbali wanachohitaji ni ushirikiano kutoka kwa wadau.

Kwa wasio na taarifa , SUA kupitia wataalamu wake wa tiba za wanyama wamegundua chanjo yenye dawa za kukabili magonjwa matatu ya kuku. Chanjo hiyo haihitajiki kuwekwa kwenye friji bali inawekwa kwenye joto la kawaida kiasi hata sehemu zisizo na huduma friji hasa mashambani inaweza kuihifadhiwa na kutumika muda wowote.

Kwa hiyo siungi mkono serikali kushabikia kuagiza chanjo za kigeni wakati hatujajiridhisha kuwa wataalamu wetu wameshindwa kupata chanjo hiyo.
 
Kama tulituma ndege kwenda kuleta dawa za mitishamba Madagascar,iweje tukatae chanjo yenye scientific aproval?
 
Hakuna atakaekataa chanjo, hayo ni maneno.

Hakuna mwenye ubavu wa kukataa chanjo.

Unakataa chanjo ya corona halafu unapokea vidonge vya ARV, cancer na magonjwa mengine, hizo akili ama mavi?
Alafu serekali za Afrika zinasubiria chanjo za misaada kupitia wakina bill gates, naamin hawajaweka bajeti ya kununua chanjo ya Corona yaani tunasubiria fungulia mbwa
 
Back
Top Bottom