Mh.Samia kopa mabilioni tugawie kila mtu laki tano-tano

Mh.Samia kopa mabilioni tugawie kila mtu laki tano-tano

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Huu ushauri unaweza kuuona ni wa kujinga,labda mpaka uwe na upeo wa mbali.

Nimeona serikali imekopa mabilioni kwa ajili ya kuruzuku sekta ya mafuta na bei zipungue. Kama serikali imekopa maana yake sisi-sisi ndio tutarudisha hiyo hela. Kama sisi ndio tutairudisha,sasa hapo tumekwepa nini? Maana yake serikali inamaanisha hii issue ni unkwepable.

Kama hili limewezekana basi serikali itutatulie na hili janga la kukosa hela ya kununua mahitaji muhimu. Itukopee

Ipige hesabu kila mtu apewe laki tano-tano mpaka milioni. Tutalipa mbele ya safari kama tutakavyolipa mkopo wa ruzuku ya mafuta.

Ni hayo! Jadili bila jazba
 
Punguzo ndio kama hivi
JamiiForums-1838000264.jpg
 
Huu ushauri unaweza kuuona ni wa kujinga,labda mpaka uwe na upeo wa mbali.

Nimeona serikali imekopa mabilioni kwa ajili ya kuruzuku sekta ya mafuta na bei zipungue. Kama serikali imekopa maana yake sisi-sisi ndio tutarudisha hiyo hela. Kama sisi ndio tutairudisha,sasa hapo tumekwepa nini? Maana yake serikali inamaanisha hii issue ni unkwepable.

Kama hili limewezekana basi serikali itutatulie na hili janga la kukosa hela ya kununua mahitaji muhimu. Itukopee

Ipige hesabu kila mtu apewe laki tano-tano mpaka milioni. Tutalipa mbele ya safari kama tutakavyolipa mkopo wa ruzuku ya mafuta.

Ni hayo! Jadili bila jazba
Ya kila kijiji yalishindikana ije kuwa kwa kila mtanzania!
 
Back
Top Bottom