Mh. Vicky Kamata CV ...[ Mungu tuokoe]

Mh. Vicky Kamata CV ...[ Mungu tuokoe]

Status
Not open for further replies.
Kazaliwa September 1978 akaanza primary mwaka 1983. Mnaojua mahesabu atakuwa kaanza la kwanza na miaka mingapi? Tena enzi za mwalimu za kushika sikio la kushoto kwa mkono wa kulia kupitia juu ya kichwa?
Asipirini shikamoo..nilivyoona huo uchuro hapo kwenye tarehe za kuzaliwa na kuanza masomo ya elimu ya msingi nikaona huyu Kamata hata kukamata vizuri CV yake anashindwa, ataweza kutunga sheria zitumiwe na wazamivu wa elimu huyu..Rushwa ya ngono mbaya sana jamaniiiiiiiiiiiiiiiiiiii!
 
CV ya mtu sio issue. Ila anaweza ku-deliver? Kwani Thomas Edison aliyevumbua bulb baada ya kufanya experiment mara elfu kumi( 10,000 x) alikuwa na masters ya nini? Bill Gates ambaye ni owner wa Microsoft(unatumia Windows PC?) ana degree? Tatizo la watu walio wengi Tanzania wanaangalia CV za watu kana kwamba CV ndio zinazoleta maendeleo ya nchi yetu. CV zenye PhD,masters lukuki zimejaa maofisi ya serikali lakini zainabakia kucheza karata tu,ufanisi hamna.

Tukokane na huu upuuzi wa kufikiri kuwa CV za watu ndio kielelezo sahihi cha kumthamini mtu na thamani ya kile ambacho mtu anaweza kufanya. CV ina umuhimu wake lakini muhimu zaidi ni "deliverables"
unamfahamu vizuri Bill Gates wewe?
 
Naona kuna vitu havijakaa sawa. Hizo publications ziko wapi maana online hakuna kitu! Au nivi-home work vya kawaida yeye anaita publication? Pia ukiangalia kwenye elimu mwaka 2005 hakuonekana kama anasoma popote, lakini ukija kwenye publication ametoa case study hii: V. Kamata: The Impact of Microfinance Scheme in Boasting Women Income - A Case Study of Pride Tanzania, SAUT, Mwanza. Au alikuwa anafanya private research?

Pia nilitegema kama amefanya MSc iwe 2008/2009 maana sidhani kama hicho chuo kinaanza January. Ifanct hakuna Southampton solet - kinaitwa Southmpton Solent. Pengine ni typing error ya office ya bunge.
Kwani mpaka karne hii kuna vihiyo hasa ccm huyu dada aseme ukweli juu ya hiyo master's degree kwani ile instutite ya higher learning ifanye uchunguzi na kutoa majibu huwezi kupata dip bila distinction then ukapata admission uk this is wrong!
 
Hapo kwenye masters 2008-2008 sijaelewa.

Hata mimi sijaelewa hata kidogo. Ninajua Masters UK ni 12 months or so na kama ulianza June 2012 basi utamaliza around June or June/July 2013? Sasa hii ya kwake ni ya miezi au? She must be very smart up stairs? Kidding!!!
 
CV ya mtu sio issue. Ila anaweza ku-deliver? Kwani Thomas Edison aliyevumbua bulb baada ya kufanya experiment mara elfu kumi( 10,000 x) alikuwa na masters ya nini? Bill Gates ambaye ni owner wa Microsoft(unatumia Windows PC?) ana degree? Tatizo la watu walio wengi Tanzania wanaangalia CV za watu kana kwamba CV ndio zinazoleta maendeleo ya nchi yetu. CV zenye PhD,masters lukuki zimejaa maofisi ya serikali lakini zainabakia kucheza karata tu,ufanisi hamna.

Tukokane na huu upuuzi wa kufikiri kuwa CV za watu ndio kielelezo sahihi cha kumthamini mtu na thamani ya kile ambacho mtu anaweza kufanya. CV ina umuhimu wake lakini muhimu zaidi ni "deliverables"

Mkuu shida ipo pale panapokuwa na harufu ya udanganyifu katika wasifu wa mtu, kama angekua mkweli na elimu yake hata kama ni std 7 watu wasingechonga hivi. Lakini pia lazima tufike mahali tukubali kuwa ili kwenda na kasi ya maendeleo na utandawazi na kuweza kung'amua mikataba mbalimbali na kuweza kuisimamia serikali, elimu ni muhimu mno
 
From Certificate To Masters........!!!!


Member of Parliament CV From Certificate To Masters

[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 3, align: left"]GENERAL
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Salutation
[/TD]
[TD]Honourable
[/TD]
[TD="width: 42%"]Member picture
1591.jpg

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]First Name:
[/TD]
[TD]Vick
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Middle Name:
[/TD]
[TD]Paschal
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Last Name:
[/TD]
[TD]Kamata
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 20%"]Member Type:
[/TD]
[TD="width: 38%"]Special Seat
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Constituent:
[/TD]
[TD]No Constituency
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Political Party:
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Location:
[/TD]
[TD]Box 2939, Dar Es Salaam/ box 30, Geita
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Phone:
[/TD]
[TD]+255 783 277733
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ext.:
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Fax:
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office E-mail:
[/TD]
[TD]vkamata@parliament.go.tz
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Member Status:
[/TD]
[TD]Current Member
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Date of Birth
[/TD]
[TD]18 September 1978
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 5, align: left"]EDUCATION
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="width: 35%"]School Name/Location
[/TH]
[TH="width: 27%"]Course/Degree/Award
[/TH]
[TH="width: 15%"]Start Date
[/TH]
[TH="width: 13%"]End Date
[/TH]
[TH="width: 10%"]Level
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Kichangani Primary School, Morogoro
[/TD]
[TD]Primary Education
[/TD]
[TD]1983
[/TD]
[TD]1989
[/TD]
[TD]PRIMARY
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Morogoro Secondary School, Morogoro
[/TD]
[TD]O-Level Education
[/TD]
[TD]1990
[/TD]
[TD]1993
[/TD]
[TD]SECONDARY
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mandaka Teachers' Training College
[/TD]
[TD]Teaching Course
[/TD]
[TD]1994
[/TD]
[TD]1996
[/TD]
[TD]CERTIFICATE
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Nyakohoja Computer Centre, Mwanza
[/TD]
[TD]Diploma
[/TD]
[TD]1997
[/TD]
[TD]1999
[/TD]
[TD]DIPLOMA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]St. Augustine University
[/TD]
[TD]Certificate in Journalism
[/TD]
[TD]2001
[/TD]
[TD]2002
[/TD]
[TD]CERTIFICATE
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Eastern & Southern African Management Institute (ESAMI)
[/TD]
[TD]Public Relation& Customer Care Course
[/TD]
[TD]2007
[/TD]
[TD]2007
[/TD]
[TD]CERTIFICATE
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Southampton Solent University, UK
[/TD]
[TD]MSc.
[/TD]
[TD]2008
[/TD]
[TD]2008
[/TD]
[TD]MASTERS DEGREE
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]EMPLOYMENT HISTORY
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]Company Name
[/TH]
[TH]Position
[/TH]
[TH]From Date
[/TH]
[TH]To Date
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]The Parliament of Tanzania
[/TD]
[TD]Member - Special Seat
[/TD]
[TD]2010
[/TD]
[TD]2015
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Bank of Tanzania (BOT)
[/TD]
[TD]Public Relation Officer I
[/TD]
[TD]2009
[/TD]
[TD]2010
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Bank of Tanzania (BOT)
[/TD]
[TD]Public Relation Officer III
[/TD]
[TD]2006
[/TD]
[TD]2009
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]POLITICAL EXPERIENCE
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="class: text_menu, width: 47%"]Ministry/Political Party/Location
[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 31%"]Position
[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 12%"]From
[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 10%"]To
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Chama Cha Mapinduzi, CCM
[/TD]
[TD]Member - Southampton USolet University (UK) Branch
[/TD]
[TD]2008
[/TD]
[TD]2009
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chama Cha Mapinduzi, CCM
[/TD]
[TD]Secretary - SAUT Branch
[/TD]
[TD]2002
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chama Cha Mapinduzi, CCM
[/TD]
[TD]Member - Mandaka Branch
[/TD]
[TD]1996
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chama Cha Mapinduzi, CCM
[/TD]
[TD]Member
[/TD]
[TD]1995
[/TD]
[TD]Todate
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 2, align: left"]PUBLICATIONS
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="class: text_menu"]Description
[/TH]
[TH="class: text_menu"]Date
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]V. Kamata: Investigation of Differentiation in University's MBA Programme - A Case Study of Southampton Solet University, UK.
[/TD]
[TD]2009
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]V. Kamata: The Impact of Microfinance Scheme in Boasting Women Income - A Case Study of Pride Tanzania, SAUT, Mwanza
[/TD]
[TD]2005
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]V. Kamata: Investigation of Differentiation in University's MBA Programme - A Case Study of Southampton Solet University, UK.
[/TD]
[TD]2009
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]V. Kamata: The Impact of Microfinance Scheme in Boasting Women Income - A Case Study of Pride Tanzania, SAUT, Mwanza
[/TD]
[TD]2005
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]V. Kamata: Investigation of Differentiation in University's MBA Programme - A Case Study of Southampton Solet University, UK.
[/TD]
[TD]2009
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]V. Kamata: The Impact of Microfinance Scheme in Boasting Women Income - A Case Study of Pride Tanzania, SAUT, Mwanza
[/TD]
[TD]2005
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]V. Kamata: Investigation of Differentiation in University's MBA Programme - A Case Study of Southampton Solet University, UK.
[/TD]
[TD]2009
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]V. Kamata: The Impact of Microfinance Scheme in Boasting Women Income - A Case Study of Pride Tanzania, SAUT, Mwanza
[/TD]
[TD]2005
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

""The Impact of Microfinance Scheme in Boasting Women Income"". Hivi 'Boasting Women Income' ndio kitu gani? Au alitaka kumaanisha 'Boosting Women Income'?
 
Ni kweli Masters UK nyingi ni 1 year- lakini unatakiwa uwe na first degree na credits zinazohitajika. However, sijawahi kusikia mtu mwenye certificate anakubaliwa kuchukua Masters bila first degree in accredited institutions UK or US. Tena certificate ya customer care kwenda kwenye Masters of Science? Angalau basi angekuwa na back ground ya Science kidogo. Inawezekana aliyeandika hiyo CV amekosea kitu, au hicho chuo sio accredited; or else kuna ulakini kwenye hii CV.

jaman hizi cv zinakosewa kila siku???mnamkumbuka yule wa songea galz????
 
Tena wewe ungekuwa zaidi ya BillGates!

Unafanya nini huku? Umeona VK kazaliwa sept 1978 na january 1983 akaingia la kwanza? Alikuwa na miaka mingapi vile? Haya, changanya na zako afu unambie kwanini ulichelewa hivyo kuanza shule? Ulikuwa kilaza au?
 
Ni kweli Masters UK nyingi ni 1 year- lakini unatakiwa uwe na first degree na credits zinazohitajika. However, sijawahi kusikia mtu mwenye certificate anakubaliwa kuchukua Masters bila first degree in accredited institutions UK or US. Tena certificate ya customer care kwenda kwenye Masters of Science? Angalau basi angekuwa na back ground ya Science kidogo. Inawezekana aliyeandika hiyo CV amekosea kitu, au hicho chuo sio accredited; or else kuna ulakini kwenye hii CV.

Msiulize ulize, mkifikia kujua ukweli mnaweza kuogopa na kujuta. UK kama sikosei degree zinaaza oktoba na kuishia agosti, sasa hii ya mwaka 2008 hadi 2008 ni kali kweli, na Uk hata ukiwa na certificates 200 bado huqualify kusoma masters(stand to be corrected). Hii ndio bongo bwana. tusonge mbele.
 
Lakini watu wa SAUT wanaamini kua Vick alikamatwa kwa kesi ya kuiba mtihani na kufukuzwa kwa hiyo hakumaliz iyo elimu yake vizuri,anabahati jamani yani wote waliomaliza kwa elimu ya kama vick naye alipata kazi BoT kumbe ndo maana BoT inaibiwaibiwa ovyo...na kutoa hata noti feki..
 
Hata mimi sijaelewa hata kidogo. Ninajua Masters UK ni 12 months or so na kama ulianza June 2012 basi utamaliza around June or June/July 2013? Sasa hii ya kwake ni ya miezi au? She must be very smart up stairs? Kidding!!!

kuna zinazoanza january na ni miezi tisa nadhani,ni possible kumaliza mwaka huo huo....
 
From Certificate To Masters........!!!!


Member of Parliament CV From Certificate To Masters

[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 3, align: left"]GENERAL[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Salutation[/TD]
[TD]Honourable[/TD]
[TD="width: 42%"]Member picture
1591.jpg
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]First Name: [/TD]
[TD]Vick[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Middle Name:[/TD]
[TD]Paschal[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Last Name:[/TD]
[TD]Kamata[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 20%"]Member Type:[/TD]
[TD="width: 38%"]Special Seat[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Constituent:[/TD]
[TD]No Constituency[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Political Party:[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Location:[/TD]
[TD]Box 2939, Dar Es Salaam/ box 30, Geita[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Phone: [/TD]
[TD]+255 783 277733[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ext.: [/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Fax: [/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office E-mail: [/TD]
[TD]vkamata@parliament.go.tz[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Member Status: [/TD]
[TD]Current Member[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Date of Birth [/TD]
[TD]18 September 1978[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 5, align: left"]EDUCATION[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="width: 35%"]School Name/Location [/TH]
[TH="width: 27%"]Course/Degree/Award [/TH]
[TH="width: 15%"]Start Date[/TH]
[TH="width: 13%"]End Date[/TH]
[TH="width: 10%"]Level[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Kichangani Primary School, Morogoro[/TD]
[TD]Primary Education[/TD]
[TD]1983[/TD]
[TD]1989[/TD]
[TD]PRIMARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Morogoro Secondary School, Morogoro[/TD]
[TD]O-Level Education[/TD]
[TD]1990[/TD]
[TD]1993[/TD]
[TD]SECONDARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mandaka Teachers' Training College[/TD]
[TD]Teaching Course[/TD]
[TD]1994[/TD]
[TD]1996[/TD]
[TD]CERTIFICATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Nyakohoja Computer Centre, Mwanza[/TD]
[TD]Diploma[/TD]
[TD]1997[/TD]
[TD]1999[/TD]
[TD]DIPLOMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]St. Augustine University[/TD]
[TD]Certificate in Journalism[/TD]
[TD]2001[/TD]
[TD]2002[/TD]
[TD]CERTIFICATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Eastern & Southern African Management Institute (ESAMI)[/TD]
[TD]Public Relation& Customer Care Course[/TD]
[TD]2007[/TD]
[TD]2007[/TD]
[TD]CERTIFICATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Southampton Solent University, UK[/TD]
[TD]MSc.[/TD]
[TD]2008[/TD]
[TD]2008[/TD]
[TD]MASTERS DEGREE[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]EMPLOYMENT HISTORY [/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]Company Name [/TH]
[TH]Position [/TH]
[TH]From Date[/TH]
[TH]To Date[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]The Parliament of Tanzania[/TD]
[TD]Member - Special Seat[/TD]
[TD]2010[/TD]
[TD]2015[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Bank of Tanzania (BOT)[/TD]
[TD]Public Relation Officer I[/TD]
[TD]2009[/TD]
[TD]2010[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Bank of Tanzania (BOT)[/TD]
[TD]Public Relation Officer III[/TD]
[TD]2006[/TD]
[TD]2009[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]POLITICAL EXPERIENCE [/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="class: text_menu, width: 47%"]Ministry/Political Party/Location[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 31%"]Position[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 12%"]From[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 10%"]To[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Chama Cha Mapinduzi, CCM[/TD]
[TD]Member - Southampton USolet University (UK) Branch[/TD]
[TD]2008[/TD]
[TD]2009[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chama Cha Mapinduzi, CCM[/TD]
[TD]Secretary - SAUT Branch[/TD]
[TD]2002[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chama Cha Mapinduzi, CCM[/TD]
[TD]Member - Mandaka Branch[/TD]
[TD]1996[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chama Cha Mapinduzi, CCM[/TD]
[TD]Member[/TD]
[TD]1995[/TD]
[TD]Todate[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 2, align: left"]PUBLICATIONS[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="class: text_menu"]Description[/TH]
[TH="class: text_menu"]Date[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]V. Kamata: Investigation of Differentiation in University's MBA Programme - A Case Study of Southampton Solet University, UK.
[/TD]
[TD]2009[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]V. Kamata: The Impact of Microfinance Scheme in Boasting Women Income - A Case Study of Pride Tanzania, SAUT, Mwanza
[/TD]
[TD]2005[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]V. Kamata: Investigation of Differentiation in University's MBA Programme - A Case Study of Southampton Solet University, UK.[/TD]
[TD]2009[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]V. Kamata: The Impact of Microfinance Scheme in Boasting Women Income - A Case Study of Pride Tanzania, SAUT, Mwanza[/TD]
[TD]2005[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]V. Kamata: Investigation of Differentiation in University's MBA Programme - A Case Study of Southampton Solet University, UK.[/TD]
[TD]2009[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]V. Kamata: The Impact of Microfinance Scheme in Boasting Women Income - A Case Study of Pride Tanzania, SAUT, Mwanza[/TD]
[TD]2005[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]V. Kamata: Investigation of Differentiation in University's MBA Programme - A Case Study of Southampton Solet University, UK.[/TD]
[TD]2009[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]V. Kamata: The Impact of Microfinance Scheme in Boasting Women Income - A Case Study of Pride Tanzania, SAUT, Mwanza[/TD]
[TD]2005[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Baosting women's income????, Differentiation in Univresity MBA program???? Huu ni upuuzi usiovumilika.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom