Nikiwa kitandani usiku huu huku nikisikiliza radio times fm wakijadili zilizo make headline katika burudani nimemsikia mtangazaji akisema nyimbo mpya ya Linex wa 'wema kwa ubaya' umegharamiwa na mh Zuber Zitto Kabwe kuanzia audio hadi video, Kiasi kilichotumika 10 milioni.

Je huu ni muendelezo wa leka dutigite au?

Je huu ni muendelezo wa leka dutigite au?