Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,166
- 13,514
Yaan wewe.....!!R.I.P mwalimu.Pole sana kwa Jennifer Mgendi. Ila kwa michepuko sasa [emoji26].
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan wewe.....!!R.I.P mwalimu.Pole sana kwa Jennifer Mgendi. Ila kwa michepuko sasa [emoji26].
So whatHuyo Mama ni Mkongwe wa nyimbo za injili Tanzania.
Acha ujinga wewe una uhakika gani wataondoka.Corona sio lethal kiasi hicho.Ingekuwa hivo dunia ingekuwa na vifo hata millioni 10 huko kuna uwezekana hawajaambukizwa au hata kama wameambukizwa wasiahe dunia wakawa kwenye 80% ya ambao hupona smoothly.Wewe unatabiria wenzako kupotea as if ni sifa.Aisee huyu jamaa anaondoka na wahadhiri na watumishi wote wa chuo Kikuu Ardhi. Jamaa alianza kuonesha dalili za korona akiwa hitech hospital wakakosa mashine za kumuekea coz alikuwa hawezi kupumua na presha ilimpanda gafla. Juzi wakamleta muhimbili jana at leats akaonesha dalili za kutoboa watumishi kama wote wa chuo kikuu Ardhi wakajazana kwenye ambulance ya chou chao kwenda kumuona mpaka jioni wakarudi ma ofisini kupiga kazi kama kawaida.Asubuhi Jamaa akamaliza safari yake habari ndio hizo. VC Ardhi jipange sasa kwa misiba mzee baba wewe acha watumishi wako waendelee kukomaa maofisini kama makubwa hutoyaona. CICT yote wataondoka, SERBI yote wataondoka, Management yote wataondoka nasikia pia mke wake yuko hoi kinyama.
Plus haijawa confirmed kama ni covid wewe umejuaje au siku hizi muhimbili wameanza kutibu covid19?? Maana nilisikia Muhimnili inalindwa sasa sijui unatoa wapj hizi HabariAcha ujinga wewe una uhakika gani wataondoka.Corona sio lethal kiasi hicho.Ingekuwa hivo dunia ingekuwa na vifo hata millioni 10 huko kuna uwezekana hawajaambukizwa au hata kama wameambukizwa wasiahe dunia wakawa kwenye 80% ya ambao hupona smoothly.Wewe unatabiria wenzako kupotea as if ni sifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Social distancingYaani hii Covid ukiwa na underlying issues kutoboa ni ngumu. Hapa cha muhimu ni kufanya social distance ili huyu kirusi asikupate.
Kweli kabisa, Chaula was a right man in every office he happened to be. May his gentle soul find everlasting peace in Heaven. Kifoo kifoo kifo ....Pumzika kwa Amani Dr.
Ni mtu aliyekuwa anaitumikia vyema nafasi yake ya u-Dean wa Skuli ya SERBI pale Ardhi University na matunda yalikuwa yanaanza kuonekana.
Sijui kimetokea nini nikafungua page hii...hadi nikakutana na aya hii ya kishetani!Aisee huyu jamaa anaondoka na wahadhiri na watumishi wote wa chuo Kikuu Ardhi. Jamaa alianza kuonesha dalili za korona akiwa hitech hospital wakakosa mashine za kumuekea coz alikuwa hawezi kupumua na presha ilimpanda gafla. Juzi wakamleta muhimbili jana at leats akaonesha dalili za kutoboa watumishi kama wote wa chuo kikuu Ardhi wakajazana kwenye ambulance ya chou chao kwenda kumuona mpaka jioni wakarudi ma ofisini kupiga kazi kama kawaida.Asubuhi Jamaa akamaliza safari yake habari ndio hizo. VC Ardhi jipange sasa kwa misiba mzee baba wewe acha watumishi wako waendelee kukomaa maofisini kama makubwa hutoyaona. CICT yote wataondoka, SERBI yote wataondoka, Management yote wataondoka nasikia pia mke wake yuko hoi kinyama.
jenifa yuko wapi sasa hivi,? Ataolewa tena kwani?Uongozi wa Chuo Kikuu Ardhi umetangaza msiba wa Mhadhiri wake katika skuli ya Earth Sciences, Real Estate, Business and Informatics (SERBI), Dkt. Job Asheri Chaula kilichotokea leo katika hospitali kuu ya Taifa Muhimbili.
Dkt. Chaula ni mume wa mwimbaji wa nyimbo za Injili Jenifer Mgendi ambaye walifunga ndoa mwaka 1998 na kubarikiwa kupata watoto watatu (Jotham, Jeftah na Joan)
View attachment 1443543
uandaliwe mpango wa ajira mpya kwa vijanaWanakatika tu...mapaka ofisi zikose watu ndio tutaelewana