TANZIA Mhadhiri Chuo Kikuu Ardhi, Dkt. Job Chaula afariki dunia wakati akipatiwa matibabu Hospitali ya Taifa Muhimbili

TANZIA Mhadhiri Chuo Kikuu Ardhi, Dkt. Job Chaula afariki dunia wakati akipatiwa matibabu Hospitali ya Taifa Muhimbili

Aisee huyu jamaa anaondoka na wahadhiri na watumishi wote wa chuo Kikuu Ardhi. Jamaa alianza kuonesha dalili za korona akiwa hitech hospital wakakosa mashine za kumuekea coz alikuwa hawezi kupumua na presha ilimpanda gafla. Juzi wakamleta muhimbili jana at leats akaonesha dalili za kutoboa watumishi kama wote wa chuo kikuu Ardhi wakajazana kwenye ambulance ya chou chao kwenda kumuona mpaka jioni wakarudi ma ofisini kupiga kazi kama kawaida.Asubuhi Jamaa akamaliza safari yake habari ndio hizo. VC Ardhi jipange sasa kwa misiba mzee baba wewe acha watumishi wako waendelee kukomaa maofisini kama makubwa hutoyaona. CICT yote wataondoka, SERBI yote wataondoka, Management yote wataondoka nasikia pia mke wake yuko hoi kinyama.
Acha ujinga wewe una uhakika gani wataondoka.Corona sio lethal kiasi hicho.Ingekuwa hivo dunia ingekuwa na vifo hata millioni 10 huko kuna uwezekana hawajaambukizwa au hata kama wameambukizwa wasiahe dunia wakawa kwenye 80% ya ambao hupona smoothly.Wewe unatabiria wenzako kupotea as if ni sifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ujinga wewe una uhakika gani wataondoka.Corona sio lethal kiasi hicho.Ingekuwa hivo dunia ingekuwa na vifo hata millioni 10 huko kuna uwezekana hawajaambukizwa au hata kama wameambukizwa wasiahe dunia wakawa kwenye 80% ya ambao hupona smoothly.Wewe unatabiria wenzako kupotea as if ni sifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Plus haijawa confirmed kama ni covid wewe umejuaje au siku hizi muhimbili wameanza kutibu covid19?? Maana nilisikia Muhimnili inalindwa sasa sijui unatoa wapj hizi Habari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.

AMEN
 
Pumzika kwa Amani Dr.

Ni mtu aliyekuwa anaitumikia vyema nafasi yake ya u-Dean wa Skuli ya SERBI pale Ardhi University na matunda yalikuwa yanaanza kuonekana.
Kweli kabisa, Chaula was a right man in every office he happened to be. May his gentle soul find everlasting peace in Heaven. Kifoo kifoo kifo ....
 
Aisee huyu jamaa anaondoka na wahadhiri na watumishi wote wa chuo Kikuu Ardhi. Jamaa alianza kuonesha dalili za korona akiwa hitech hospital wakakosa mashine za kumuekea coz alikuwa hawezi kupumua na presha ilimpanda gafla. Juzi wakamleta muhimbili jana at leats akaonesha dalili za kutoboa watumishi kama wote wa chuo kikuu Ardhi wakajazana kwenye ambulance ya chou chao kwenda kumuona mpaka jioni wakarudi ma ofisini kupiga kazi kama kawaida.Asubuhi Jamaa akamaliza safari yake habari ndio hizo. VC Ardhi jipange sasa kwa misiba mzee baba wewe acha watumishi wako waendelee kukomaa maofisini kama makubwa hutoyaona. CICT yote wataondoka, SERBI yote wataondoka, Management yote wataondoka nasikia pia mke wake yuko hoi kinyama.
Sijui kimetokea nini nikafungua page hii...hadi nikakutana na aya hii ya kishetani!
 
Uongozi wa Chuo Kikuu Ardhi umetangaza msiba wa Mhadhiri wake katika skuli ya Earth Sciences, Real Estate, Business and Informatics (SERBI), Dkt. Job Asheri Chaula kilichotokea leo katika hospitali kuu ya Taifa Muhimbili.

Dkt. Chaula ni mume wa mwimbaji wa nyimbo za Injili Jenifer Mgendi ambaye walifunga ndoa mwaka 1998 na kubarikiwa kupata watoto watatu (Jotham, Jeftah na Joan)

View attachment 1443543
jenifa yuko wapi sasa hivi,? Ataolewa tena kwani?
 
Back
Top Bottom