TANZIA Mhadhiri Chuo Kikuu Ardhi, Dkt. Job Chaula afariki dunia wakati akipatiwa matibabu Hospitali ya Taifa Muhimbili

TANZIA Mhadhiri Chuo Kikuu Ardhi, Dkt. Job Chaula afariki dunia wakati akipatiwa matibabu Hospitali ya Taifa Muhimbili

Uongozi wa Chuo Kikuu Ardhi umetangaza msiba wa Mhadhiri wake katika skuli ya Earth Sciences, Real Estate, Business and Informatics (SERBI), Dkt. Job Asheri Chaula kilichotokea leo katika hospitali kuu ya Taifa Muhimbili.

Dkt. Chaula ni mume wa mwimbaji wa nyimbo za Injili Jenifer Mgendi ambaye walifunga ndoa mwaka 1998 na kubarikiwa kupata watoto watatu (Jotham, Jeftah na Joan)

View attachment 1443543
Akili za kuambiwa tuchanganye na zetu, saysnsi ya nyungu ( kujifukiza ) imefeli
 
Utaratibu siku hizi umebadilika,badala ya watu kutoa pole kwanza tunaanza kujadili amekufa na nini...?
 
Uongozi wa Chuo Kikuu Ardhi umetangaza msiba wa Mhadhiri wake katika skuli ya Earth Sciences, Real Estate, Business and Informatics (SERBI), Dkt. Job Asheri Chaula kilichotokea leo katika hospitali kuu ya Taifa Muhimbili.

Dkt. Chaula ni mume wa mwimbaji wa nyimbo za Injili Jenifer Mgendi ambaye walifunga ndoa mwaka 1998 na kubarikiwa kupata watoto watatu (Jotham, Jeftah na Joan)

View attachment 1443543
Tunaisha hivi hivi haki ya mungu
 
Uongozi wa Chuo Kikuu Ardhi umetangaza msiba wa Mhadhiri wake katika skuli ya Earth Sciences, Real Estate, Business and Informatics (SERBI), Dkt. Job Asheri Chaula kilichotokea leo katika hospitali kuu ya Taifa Muhimbili.

Dkt. Chaula ni mume wa mwimbaji wa nyimbo za Injili Jenifer Mgendi ambaye walifunga ndoa mwaka 1998 na kubarikiwa kupata watoto watatu (Jotham, Jeftah na Joan)

View attachment 1443543
Pole sana ndugu wote na watanzania, Dada Jenifer nomba usimame kwa Mung kama ni mume utapata mwengine, ndio utapata hamu ya tendo lakini subiri mume usifanye zinaa
 
R.I.P
Mtakaokuwepo hai kama ni mimi, ww, na yyte yyle mkumbuke adui wa nchi ni nani mifanye makosa oktoba
 
Aisee huyu jamaa anaondoka na wahadhiri na watumishi wote wa chuo Kikuu Ardhi. Jamaa alianza kuonesha dalili za korona akiwa hitech hospital wakakosa mashine za kumuekea coz alikuwa hawezi kupumua na presha ilimpanda gafla. Juzi wakamleta muhimbili jana at leats akaonesha dalili za kutoboa watumishi kama wote wa chuo kikuu Ardhi wakajazana kwenye ambulance ya chou chao kwenda kumuona mpaka jioni wakarudi ma ofisini kupiga kazi kama kawaida.Asubuhi Jamaa akamaliza safari yake habari ndio hizo. VC Ardhi jipange sasa kwa misiba mzee baba wewe acha watumishi wako waendelee kukomaa maofisini kama makubwa hutoyaona. CICT yote wataondoka, SERBI yote wataondoka, Management yote wataondoka nasikia pia mke wake yuko hoi kinyama.
COVID-19 doesn't mean death, chances za kupona ni nyingi zaidi.
 
Pole sana ndugu wote na watanzania, Dada Jenifer nomba usimame kwa Mung kama ni mume utapata mwengine, ndio utapata hamu ya tendo lakini subiri mume usifanye zinaa
On serious note , kutakuwa na uhaba mkubwa wa wanaume baada ya hili janga , sina takwimu sahihi ila rate ya wanaume kufa ni kubwa sana kulinganisha na wenzetu
muombee tu dada avumilie ujane wenye ukiwa sana, kama atabaki salama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha uongo usiongee kitu usichokijua dr chaula ni mkwe wangu mkewe jenifa mgendi wala hayuko hoi kama unavosema na hajafa kwa covid 19 maana hakuwa tested ila alionekana ana shida kwenye mapafu ndo wakampeleka upanga na jana ndo alihamishiwa Muhimbili

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli jamaa ni muongo ila na wewe naye ni walewale. Sasa hivi nchi hai suspect wala kuwapima tena suspects wa Corona. Hivyo ukifikishwa hospital unapewa tatizo la upumuaji by default.
 
Back
Top Bottom