PISTO SHOPPING CENTER
New Member
- Jul 20, 2016
- 4
- 3
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa taarifaMumewe mwimbaji wa injili Jenifer Mgendi amempoteza mmewe mpendwa ndg Job Chaula.
Mmewe alipatwa na mauti baada ya sukari kupanda ghafla.
Akili za kuambiwa tuchanganye na zetu, saysnsi ya nyungu ( kujifukiza ) imefeliUongozi wa Chuo Kikuu Ardhi umetangaza msiba wa Mhadhiri wake katika skuli ya Earth Sciences, Real Estate, Business and Informatics (SERBI), Dkt. Job Asheri Chaula kilichotokea leo katika hospitali kuu ya Taifa Muhimbili.
Dkt. Chaula ni mume wa mwimbaji wa nyimbo za Injili Jenifer Mgendi ambaye walifunga ndoa mwaka 1998 na kubarikiwa kupata watoto watatu (Jotham, Jeftah na Joan)
View attachment 1443543
Yaani hii comment yako mkuu inafikirisha sana!Mtakao kuwa hai wakati wa uchaguzi msisahau kumchagua Dr JPM
Mtakao kuwa hai wakati wa uchaguzi msisahau kumchagua Dr JPM
Tunaisha hivi hivi haki ya munguUongozi wa Chuo Kikuu Ardhi umetangaza msiba wa Mhadhiri wake katika skuli ya Earth Sciences, Real Estate, Business and Informatics (SERBI), Dkt. Job Asheri Chaula kilichotokea leo katika hospitali kuu ya Taifa Muhimbili.
Dkt. Chaula ni mume wa mwimbaji wa nyimbo za Injili Jenifer Mgendi ambaye walifunga ndoa mwaka 1998 na kubarikiwa kupata watoto watatu (Jotham, Jeftah na Joan)
View attachment 1443543
Mwendo wa kutengeneza "bond"Mabaharia ORBITAL ishakuwa empty!!
RIP
Pole sana ndugu wote na watanzania, Dada Jenifer nomba usimame kwa Mung kama ni mume utapata mwengine, ndio utapata hamu ya tendo lakini subiri mume usifanye zinaaUongozi wa Chuo Kikuu Ardhi umetangaza msiba wa Mhadhiri wake katika skuli ya Earth Sciences, Real Estate, Business and Informatics (SERBI), Dkt. Job Asheri Chaula kilichotokea leo katika hospitali kuu ya Taifa Muhimbili.
Dkt. Chaula ni mume wa mwimbaji wa nyimbo za Injili Jenifer Mgendi ambaye walifunga ndoa mwaka 1998 na kubarikiwa kupata watoto watatu (Jotham, Jeftah na Joan)
View attachment 1443543
COVID-19 doesn't mean death, chances za kupona ni nyingi zaidi.Aisee huyu jamaa anaondoka na wahadhiri na watumishi wote wa chuo Kikuu Ardhi. Jamaa alianza kuonesha dalili za korona akiwa hitech hospital wakakosa mashine za kumuekea coz alikuwa hawezi kupumua na presha ilimpanda gafla. Juzi wakamleta muhimbili jana at leats akaonesha dalili za kutoboa watumishi kama wote wa chuo kikuu Ardhi wakajazana kwenye ambulance ya chou chao kwenda kumuona mpaka jioni wakarudi ma ofisini kupiga kazi kama kawaida.Asubuhi Jamaa akamaliza safari yake habari ndio hizo. VC Ardhi jipange sasa kwa misiba mzee baba wewe acha watumishi wako waendelee kukomaa maofisini kama makubwa hutoyaona. CICT yote wataondoka, SERBI yote wataondoka, Management yote wataondoka nasikia pia mke wake yuko hoi kinyama.
On serious note , kutakuwa na uhaba mkubwa wa wanaume baada ya hili janga , sina takwimu sahihi ila rate ya wanaume kufa ni kubwa sana kulinganisha na wenzetuPole sana ndugu wote na watanzania, Dada Jenifer nomba usimame kwa Mung kama ni mume utapata mwengine, ndio utapata hamu ya tendo lakini subiri mume usifanye zinaa
Ni kweli jamaa ni muongo ila na wewe naye ni walewale. Sasa hivi nchi hai suspect wala kuwapima tena suspects wa Corona. Hivyo ukifikishwa hospital unapewa tatizo la upumuaji by default.Acha uongo usiongee kitu usichokijua dr chaula ni mkwe wangu mkewe jenifa mgendi wala hayuko hoi kama unavosema na hajafa kwa covid 19 maana hakuwa tested ila alionekana ana shida kwenye mapafu ndo wakampeleka upanga na jana ndo alihamishiwa Muhimbili
Sent using Jamii Forums mobile app