TANZIA Mhadhiri Chuo Kikuu Ardhi, Dkt. Job Chaula afariki dunia wakati akipatiwa matibabu Hospitali ya Taifa Muhimbili

TANZIA Mhadhiri Chuo Kikuu Ardhi, Dkt. Job Chaula afariki dunia wakati akipatiwa matibabu Hospitali ya Taifa Muhimbili

Aisee huyu jamaa anaondoka na wahadhiri na watumishi wote wa chuo Kikuu Ardhi.Jamaa alianza kuonesha dalili za korona akiwa hitech hospital wakakosa mashine za kumuekea coz alikuwa hawezi kupumua na presha ilimpanda gafla. juzi wakamleta muhimbili jana at leats akaonesha dalili za kutoboa watumishi kama wote wa chuo kikuu Ardhi wakajazana kwenye ambulance ya chou chao kwenda kumuona mpaka jioni wakarudi ma ofisini kupiga kazi kama kawaida.Asubuhi Jamaa akamaliza safari yake habari ndio hizooooo.VC Ardhi jipange sasa kwa misiba mzee baba wewe acha watumishi wako waendelee kukomaa maofisini kama makubwa hutoyaona.CICT yote wataondoka, SERBI yote wataondoka, Management yote wataondoka nasikia pia mke wake yuko hoi kinyama.
Sio kila anayeugua corona anakufa acha kutisha watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee huyu jamaa anaondoka na wahadhiri na watumishi wote wa chuo Kikuu Ardhi.Jamaa alianza kuonesha dalili za korona akiwa hitech hospital wakakosa mashine za kumuekea coz alikuwa hawezi kupumua na presha ilimpanda gafla. juzi wakamleta muhimbili jana at leats akaonesha dalili za kutoboa watumishi kama wote wa chuo kikuu Ardhi wakajazana kwenye ambulance ya chou chao kwenda kumuona mpaka jioni wakarudi ma ofisini kupiga kazi kama kawaida.Asubuhi Jamaa akamaliza safari yake habari ndio hizooooo.VC Ardhi jipange sasa kwa misiba mzee baba wewe acha watumishi wako waendelee kukomaa maofisini kama makubwa hutoyaona.CICT yote wataondoka, SERBI yote wataondoka, Management yote wataondoka nasikia pia mke wake yuko hoi kinyama.
Acha uongo usiongee kitu usichokijua dr chaula ni mkwe wangu mkewe jenifa mgendi wala hayuko hoi kama unavosema na hajafa kwa covid 19 maana hakuwa tested ila alionekana ana shida kwenye mapafu ndo wakampeleka upanga na jana ndo alihamishiwa Muhimbili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mumewe mwimbaji wa injili Jenifer Mgendi amempoteza mmewe mpendwa ndg Job Chaula.
Mmewe alipatwa na mauti baada ya sukari kupanda ghafla.
Pamoja na serikali kutoa bei elekezi sukari bado haitaki kushuka.
 
Waafrika ni wazinzi "Trump" 😁😁😁 tumrudie Mungu wandugu. Hili janga haliangalii tajiri wala mackini, mweusi wala mweupe, mnene wala mwembamba. Madhambi yamezidi tumrudie Mungu
 
Aisee huyu jamaa anaondoka na wahadhiri na watumishi wote wa chuo Kikuu Ardhi.Jamaa alianza kuonesha dalili za korona akiwa hitech hospital wakakosa mashine za kumuekea coz alikuwa hawezi kupumua na presha ilimpanda gafla. juzi wakamleta muhimbili jana at leats akaonesha dalili za kutoboa watumishi kama wote wa chuo kikuu Ardhi wakajazana kwenye ambulance ya chou chao kwenda kumuona mpaka jioni wakarudi ma ofisini kupiga kazi kama kawaida.Asubuhi Jamaa akamaliza safari yake habari ndio hizooooo.VC Ardhi jipange sasa kwa misiba mzee baba wewe acha watumishi wako waendelee kukomaa maofisini kama makubwa hutoyaona.CICT yote wataondoka, SERBI yote wataondoka, Management yote wataondoka nasikia pia mke wake yuko hoi kinyama.

Ujumbe huu usambazwe vyuo vyote vikuu Tz.
 
Back
Top Bottom