Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hmm! Marehemu asemwi lakinR.I.P mwalimu.Pole sana kwa Jennifer Mgendi. Ila kwa michepuko sasa [emoji26].
Ndio alikuwa mumewe?R.I.P mwalimu.Pole sana kwa Jennifer Mgendi. Ila kwa michepuko sasa [emoji26].
kama ulinipiga risasi 38 kama Lisu ukifa nitakusema na kunywa bia 1000000Hmm! Marehemu asemwi lakin
Sio kila anayeugua corona anakufa acha kutisha watuAisee huyu jamaa anaondoka na wahadhiri na watumishi wote wa chuo Kikuu Ardhi.Jamaa alianza kuonesha dalili za korona akiwa hitech hospital wakakosa mashine za kumuekea coz alikuwa hawezi kupumua na presha ilimpanda gafla. juzi wakamleta muhimbili jana at leats akaonesha dalili za kutoboa watumishi kama wote wa chuo kikuu Ardhi wakajazana kwenye ambulance ya chou chao kwenda kumuona mpaka jioni wakarudi ma ofisini kupiga kazi kama kawaida.Asubuhi Jamaa akamaliza safari yake habari ndio hizooooo.VC Ardhi jipange sasa kwa misiba mzee baba wewe acha watumishi wako waendelee kukomaa maofisini kama makubwa hutoyaona.CICT yote wataondoka, SERBI yote wataondoka, Management yote wataondoka nasikia pia mke wake yuko hoi kinyama.
halafu huwa sielewi wanachotaka watu ni nini au sijui ndo akili ndo imefungwa na siasa
Acha uongo usiongee kitu usichokijua dr chaula ni mkwe wangu mkewe jenifa mgendi wala hayuko hoi kama unavosema na hajafa kwa covid 19 maana hakuwa tested ila alionekana ana shida kwenye mapafu ndo wakampeleka upanga na jana ndo alihamishiwa MuhimbiliAisee huyu jamaa anaondoka na wahadhiri na watumishi wote wa chuo Kikuu Ardhi.Jamaa alianza kuonesha dalili za korona akiwa hitech hospital wakakosa mashine za kumuekea coz alikuwa hawezi kupumua na presha ilimpanda gafla. juzi wakamleta muhimbili jana at leats akaonesha dalili za kutoboa watumishi kama wote wa chuo kikuu Ardhi wakajazana kwenye ambulance ya chou chao kwenda kumuona mpaka jioni wakarudi ma ofisini kupiga kazi kama kawaida.Asubuhi Jamaa akamaliza safari yake habari ndio hizooooo.VC Ardhi jipange sasa kwa misiba mzee baba wewe acha watumishi wako waendelee kukomaa maofisini kama makubwa hutoyaona.CICT yote wataondoka, SERBI yote wataondoka, Management yote wataondoka nasikia pia mke wake yuko hoi kinyama.
Nani kwa michepuko?R.I.P mwalimu.Pole sana kwa Jennifer Mgendi. Ila kwa michepuko sasa [emoji26].
Pamoja na serikali kutoa bei elekezi sukari bado haitaki kushuka.Mumewe mwimbaji wa injili Jenifer Mgendi amempoteza mmewe mpendwa ndg Job Chaula.
Mmewe alipatwa na mauti baada ya sukari kupanda ghafla.
Mtakao kuwa hai wakati wa uchaguzi msisahau kumchagua Dr JPM
Aisee huyu jamaa anaondoka na wahadhiri na watumishi wote wa chuo Kikuu Ardhi.Jamaa alianza kuonesha dalili za korona akiwa hitech hospital wakakosa mashine za kumuekea coz alikuwa hawezi kupumua na presha ilimpanda gafla. juzi wakamleta muhimbili jana at leats akaonesha dalili za kutoboa watumishi kama wote wa chuo kikuu Ardhi wakajazana kwenye ambulance ya chou chao kwenda kumuona mpaka jioni wakarudi ma ofisini kupiga kazi kama kawaida.Asubuhi Jamaa akamaliza safari yake habari ndio hizooooo.VC Ardhi jipange sasa kwa misiba mzee baba wewe acha watumishi wako waendelee kukomaa maofisini kama makubwa hutoyaona.CICT yote wataondoka, SERBI yote wataondoka, Management yote wataondoka nasikia pia mke wake yuko hoi kinyama.