Mhadhiri NIT akiri kumuomba rushwa ya ngono Mwanafunzi wake

lakini sio kwa kuomba ngono kwa mwanafunzi.Kama una hamu na K si nenda ukatongoze hata barmaid incase ya mkeo imekuchosha.

Ya nini ngoka wakati vitoto vibichi, vitamu , havijachakaa vipo shida makubaliano hayakuepo.
Pengn proffesa alikua anatumia cheo chake kufosi mapenzi hapa ndipo akipokosea .
Ila kuchagua kabinti mie namuunga mkono
 
69 bado mtumishi wa umma?
Possibly kuna tatizo nyumbani labda mke hampi haki yake maana kwa age yake alitakiwa kupata huduma nyumbani au kwa age mates wake.
Huyo agemate wake hajiwezi. Mwanamke wa 69 hawezi haya mambo ila hata huyo babu angemshikashika tuu huyo binti hana uwezo wa kumshghulikia. Mwisho angemhonga na kumwomba asitoe siri.
 
Mpaka uombe rushwa ya ngono kutoka kwa mwanafunzi,una ukame kiasi gani wakati una mke ndani?

Wee Victoire hujawahi acha bear baridi kwenye friji ya nyumbani ukaenda pata moja baridi Bar? au huamini kuwa maendeleo hayana chama?
 
Wee Victoire hujawahi acha bear baridi kwenye friji ya nyumbani ukaenda pata moja baridi Bar? au huamini kuwa maendeleo hayana chama?
Hapana aisee,bora nikainywe iliyopo nyumbani.
 
Huyo agemate wake hajiwezi. Mwanamke wa 69 hawezi haya mambo ila hata huyo babu angemshikashika tuu huyo binti hana uwezo wa kumshghulikia. Mwisho angemhonga na kumwomba asitoe siri.


Haya wazoefu yetu masikio na macho
 
Hebu fikiria mke wake na watoto wake kwa aibu hii. Haya madushe yetu ni ya kulaani kweli


Kama alikua ana upendo wa mke..mke shurti asamehe...!km mume alikua mbinafsi hehehehee (in mama ima voice)..shit happens!inategemea na mume alikuajalikuaje kwa mkewe!...mke akisimama imara itamsaidia asijidhuru bure baba wa watu
 
Kama alikua ana upendo wa mke..mke shurti asamehe...!km mume alikua mbinafsi hehehehee (in mama ima voice)..shit happens!inategemea na mume alikuajalikuaje kwa mkewe!...mke akisimama imara itamsaidia asijidhuru bure baba wa watu

Tuombeane mema tu mitihani ya maisha haichagui nani wa kuifanya
 
Kama alikua ana upendo wa mke..mke shurti asamehe...!km mume alikua mbinafsi hehehehee (in mama ima voice)..shit happens!inategemea na mume alikuajalikuaje kwa mkewe!...mke akisimama imara itamsaidia asijidhuru bure baba wa watu
Weeeeee, unless awe malaika. Anaweza kujishetua mbele ya watu ila mkiwa pamoja lazima cha moto ukipate. Akikasirika anakupa za usoni. Unaambiwa hata HG pengine utambaka. Kweli amepata kipigo hatasahau hadi aingie kaburini unless ni nsukuma pure
 
Weeeeee, unless awe malaika. Anaweza kujishetua mbele ya watu ila mkiwa pamoja lazima cha moto ukipate. Akikasirika anakupa za usoni. Unaambiwa hata HG pengine utambaka. Kweli amepata kipigo hatasahau hadi aingie kaburini unless ni nsukuma pure


Kwamba sukuma hawana mshipa wa aibu au😎!
 
KUMBE NI YA MUDA SANA MI NILIJUA MWAKA HUU,NA JE HIYO PESA ANAPEWA NANI??🤷🙈
 
Bill Clinton mwenyewe alichepuka kwa Monica, sembuse huyo Mwl? Walimu wengi wakiume wa sekondari hadi Chuo kikuu hao mabinti ndio vipoozeo vyao!
 
Kwa hiyo serikali imeingiza mapato kutoka na kosa la kutongoza mke?

Msako ufanyike kwa vijana (ben ten) ili mapato yaongezeke
Shubaaaaaamit bin laaaaaana!
 
Nilisoma sehemu some days ago kua rushwa ya ngono inakua judged kama uhujumu uchumi kuanzia sasa
Nadhani sheria yake ndo imeanza kufanya kazi ivyoo
 
Huyo binti bora angempa tu, ona sasa serikali inatia kibindoni milioni 5 huku binti haambulii kitu!
We mkuu[emoji3][emoji3]nimecheka sana. Binti ni mzalendo kwa nchi bhana hahaa
 
Mhadhiri huyu ni baharia watampokea kwa sherehe kwa sababu ni baharia aliyefanikiwa kuchomoka kwenye mdomo wa papa katikati ya bahari kwa kitita cha sh. million 5 taslim.

Mhadhiri huyu baharia amewaomba radhi mabaharia wote duniani na kuahidi kuwa next time atajihadhari sana na mitego inayotegwa na papa hatari wa bahari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…