Lavan Island
JF-Expert Member
- Oct 24, 2015
- 2,377
- 2,048
Huyu mzee ana mtoto was kike ambaye ni mtangazaji wa tbc kipindi cha stimela kinaanzaga SAA 9 mpaka 12 jioni Kalunde Samson Mahimbo aibu sana aisee mzee kama wewe wenzio wanaomba rushwa ya hela we unaomba papuchi.