Mhadhiri NIT akiri kumuomba rushwa ya ngono Mwanafunzi wake

Unaweza kuta huyo binti kamnyima dingi mzigo....alafu huko kitaa badoboda anakula kiulaini tigo ya binti....
hatar sana....
 
Kama alikua ana upendo wa mke..mke shurti asamehe...!km mume alikua mbinafsi hehehehee (in mama ima voice)..shit happens!inategemea na mume alikuajalikuaje kwa mkewe!...mke akisimama imara itamsaidia asijidhuru bure baba wa watu
Kwa ujinga huo....atabeba mzigo wake mwenyewe....
Ndio hapewi kabisa.. ..au ashawaka huyo mzee..
 
Ngono mbaya sana
 
Biashara
Kumbe mahakama sasa wamebadili hukumu hiyo kukubaliana na mwendesha mashtaka nilijua ni mafisadi tu kumbe mpaka kwenye ngono.kwa hiyo nikimtia mimba mtoto wa shule nikakubaliana na mwendesha mashtaka nikakubali kosa nikalipa fine naachiwa?
 
Shemu usitete ujinga huu, mkufunzi kula dent wake ni aibu na ni kuvuruga mfumo wa elimu, pia tunapata wahitimu wasiokuwa na sifa
Kuna mtu alimchoma!mi hata sishangai!aliyemsafi na aanze kumrarua huyu baba!shit happens!
Pole dingilai kwa kichafuka!maisha lazima yasonge!
 
Huyo binti bora angempa tu, ona sasa serikali inatia kibindoni milioni 5 huku binti haambulii kitu!
Yaani angekubali kuuza utu wake kwa hicho kizee?? Je angemfia kifuani mngemuelewa binti??? Mnaongea kama vile hamna watoto wa kike au hamna madada.
 
Ngono ni ulevi kama ulevi mwingine, mlevi akiona pombe koo hukereketa, vivyo hivyo wanaume tuonapo sina flani ya wanawake wanaogusa mioyo hali hubadilika
Mpaka uombe rushwa ya ngono kutoka kwa mwanafunzi,una ukame kiasi gani wakati una mke ndani?
 
Kosa lake tukumbuke ni rushwa ya ngono, na sio swala la tofauti ya umri kati yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…