The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Akizungumza na wakazi wa baadhi ya vijiji mkoani Ruvuma, bi Jenista amesema mahindi Kwa sasa ni zao la biashara linalowapatia wananchi fedha nyingi.
Maana mahindi Kwa sasa si zao la chakula pekeee kama walivyozoea zamani, bali pia ni zao la biashara hivyo wanapaswa kulima Kwa wingi ili liwapatie fedha nyingi na wale wanaoruhusiwa waongeze wake wengine.
Kazi kwenu.
Maana mahindi Kwa sasa si zao la chakula pekeee kama walivyozoea zamani, bali pia ni zao la biashara hivyo wanapaswa kulima Kwa wingi ili liwapatie fedha nyingi na wale wanaoruhusiwa waongeze wake wengine.
Kazi kwenu.