Tanzania Haina Covid19 kuna Corona tuUsiulize sana, usije kuitwa Chato kupimwa mkojo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania Haina Covid19 kuna Corona tuUsiulize sana, usije kuitwa Chato kupimwa mkojo
Usikate tamaa ndg, sisi sote tumetoka mavumbini na mavumbini tutarudi.Dah!
Mbona vifo mfurulizo jamani[emoji26]
Wewe shahawa yako ilikuwa ya nyeto Overkwani viongozi hawaruhusiwi kufa? usipende kuhoji ujinga, kufa aina ya kifo na ugonjwa utakaosababisha kifo bado ni siri ya aliyetuumba.
Rest well Charles Ogare
Pole kwa familia na wote walioguswa na msiba
Hata carina Ti nazionagaTanzania Haina Covid19 kuna Corona tu
Mgwassa kafariki juzi. Na ndo alikuwa CEO wa hili shirika.So sad,Mgwasa kafariki lini?
Watu wanakatika vibaya tuwe makini sana.Mtendaji Mkuu Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka - DART Mhandisi Ronald Lwakatare anasikitika kutangaza kifo cha aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya ya Maendeleo ya Usafirishaji Mhandisi Charles Salus Ogare kilichotokea saa 11: 00 asubuhi Januari 25, 2021 katika Hospitali ya Mloganzila jijini Dar es Salaam.
Msiba upo nyumbani kwa marehemu Tabata Kinyerezi jirani na Songas jijini Dar es Salaam. Taarifa zaidi za msiba huu ikiwemo taratibu za mazishi zitatolewa baadaye.
Marehemu Ogare alizaliwa Machi 30, 1965, Mkoani Mara.
Mtendaji Mkuu anawaomba watumishi wote kushirikiana katika kipindi hiki kigumu cha msiba.
Ni changamoto za upumuaji.Mtendaji Mkuu Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka - DART Mhandisi Ronald Lwakatare anasikitika kutangaza kifo cha aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya ya Maendeleo ya Usafirishaji Mhandisi Charles Salus Ogare kilichotokea saa 11: 00 asubuhi Januari 25, 2021 katika Hospitali ya Mloganzila jijini Dar es Salaam.
Msiba upo nyumbani kwa marehemu Tabata Kinyerezi jirani na Songas jijini Dar es Salaam. Taarifa zaidi za msiba huu ikiwemo taratibu za mazishi zitatolewa baadaye.
Marehemu Ogare alizaliwa Machi 30, 1965, Mkoani Mara.
Mtendaji Mkuu anawaomba watumishi wote kushirikiana katika kipindi hiki kigumu cha msiba.
Hiyo ni sample tuu...huku chini ni balaaAcha wapukutike ambao walipewa neno nao hawakulisema🤫 sisi wanyonge Mungu tuone 💯🙏🙏🙏🙏