Mhandisi John Nzulule Mtendaji Mkuu wa Wakala wa ndege za serikali amekua akishirikiana na nani?

Mhandisi John Nzulule Mtendaji Mkuu wa Wakala wa ndege za serikali amekua akishirikiana na nani?

Fikiria badala ya kulipa dola milioni 37 akataka serikali ilipe dola milioni 86! Hii nadhani amevunja rekodi sijui tuite ya nchi au dunia!

Lakini bado natafakari kuwa ufisadi huu hafanyi peke yake. Lazima kuna mtu au genge la watu anashirikiana nao.
1. Hivi zilikua badi hazijalipwa?
2. Kuna mlolongo mkubwa hapo maana hata anayeidhinisha kuwa lipa, anajua kilichofanyika. Issue kubwa kama hizi wanajua kila kitu say original price and then it is inflated, lazima wahoji hii mbona imekuwa inflated. Wajulikane wote
 
1. Hivi zilikua badi hazijalipwa?
2. Kuna mlolongo mkubwa hapo maana hata anayeidhinisha kuwa lipa, anajua kilichofanyika. Issue kubwa kama hizi wanajua kila kitu say original price and then it is inflated, lazima wahoji hii mbona imekuwa inflated. Wajulikane wote
Bila shaka zilikuwa bado hazijalipwa na huenda uchunguzi unaendelea ilikuaje Boeing wakatoa inflated invoice!
 
Bila shaka yo yote huyu Mhandisi John Nzulule aliyetenguliwa na Rais si mara yake ya kwanza kutupiga katika ununuzi wa ndege za serikali. Nadhani ametupiga katika ununuzi wa ndege serikali na pia ndege za ATCL ambazo zimekuwa zikinunuwa na serikali kukwepa kukamatwa na wadeni wa ATCL huko majuu.

Kwa uzoefu wake wa kutupiga sasa aliamua kutupiga kwa kipigo cha mbwa koko kwa kuweka cha juu cha mzigo wake wa dola 49 milioni katika ununuzi wa ndege ya mizigo ya ATCL. Fikiria badala ya kulipa dola milioni 37 akataka serikali ilipe dola milioni 86! Hii nadhani amevunja rekodi sijui tuite ya nchi au dunia!

Lakini bado natafakari kuwa ufisadi huu hafanyi peke yake. Lazima kuna mtu au genge la watu anashirikiana nao. Nashauri vyombo vinavyohusika na uchunguzi vimuhoji kwa kina mpaka ataje wenzake wanaohujumu nchi hii. Vinginevyo kundi hili litaendelea na ufisadi wake hadi nchi hii ifilisike kabisa!

John ameteuliwa tarehe 4th Feb 2022, hakuna ndege iliyonunuliwa katika kipindi chake na awali hakuwahi kuwa hata kwenye Management kwamba alijua any deal ya ununuzi wa ndege, iweje awe alishiriki kwenye upigaji awali hata hii ni udhaifu wa mikataba, anawajibika kwa kutohoji kwa nn wanqsheria wqlikubali kuwa na mikataba ya aina hiyo!
 
Bila shaka yo yote huyu Mhandisi John Nzulule aliyetenguliwa na Rais si mara yake ya kwanza kutupiga katika ununuzi wa ndege za serikali. Nadhani ametupiga katika ununuzi wa ndege serikali na pia ndege za ATCL ambazo zimekuwa zikinunuwa na serikali kukwepa kukamatwa na wadeni wa ATCL huko majuu.

Kwa uzoefu wake wa kutupiga sasa aliamua kutupiga kwa kipigo cha mbwa koko kwa kuweka cha juu cha mzigo wake wa dola 49 milioni katika ununuzi wa ndege ya mizigo ya ATCL. Fikiria badala ya kulipa dola milioni 37 akataka serikali ilipe dola milioni 86! Hii nadhani amevunja rekodi sijui tuite ya nchi au dunia!

Lakini bado natafakari kuwa ufisadi huu hafanyi peke yake. Lazima kuna mtu au genge la watu anashirikiana nao. Nashauri vyombo vinavyohusika na uchunguzi vimuhoji kwa kina mpaka ataje wenzake wanaohujumu nchi hii. Vinginevyo kundi hili litaendelea na ufisadi wake hadi nchi hii ifilisike kabisa!
Hilo jambo limekwisha tatuliwa kwani ilikuwa taiping'i era, tumemuonda kwa sababu za kutohudhuria kazini.
 
Hizo pasenti za Cha juu, Jiwe alikuwa anazipiga kwa Kila ndege iliyonunuliwa, ndio maana alikuwa ananunua ndege kwa wingi kama kapata uchizi, kama alinunua ndege kumi, maana yake kapiga karibu trilioni, sema kwa Sasa dili limeiva na yeye kafa, hakuna wa kuziba kelele.
Alipiga sh ngapi?wewe utakuwa na Mimba ya Magufuli Kwa Sababu huna evidence unaropoka Tu.
 
Bila shaka yo yote huyu Mhandisi John Nzulule aliyetenguliwa na Rais si mara yake ya kwanza kutupiga katika ununuzi wa ndege za serikali. Nadhani ametupiga katika ununuzi wa ndege serikali na pia ndege za ATCL ambazo zimekuwa zikinunuwa na serikali kukwepa kukamatwa na wadeni wa ATCL huko majuu.

Kwa uzoefu wake wa kutupiga sasa aliamua kutupiga kwa kipigo cha mbwa koko kwa kuweka cha juu cha mzigo wake wa dola 49 milioni katika ununuzi wa ndege ya mizigo ya ATCL. Fikiria badala ya kulipa dola milioni 37 akataka serikali ilipe dola milioni 86! Hii nadhani amevunja rekodi sijui tuite ya nchi au dunia!

Lakini bado natafakari kuwa ufisadi huu hafanyi peke yake. Lazima kuna mtu au genge la watu anashirikiana nao. Nashauri vyombo vinavyohusika na uchunguzi vimuhoji kwa kina mpaka ataje wenzake wanaohujumu nchi hii. Vinginevyo kundi hili litaendelea na ufisadi wake hadi nchi hii ifilisike kabisa!
273211085_6882625705141056_5918159481123066584_n.jpg

Ni uteuzi wake
 
Hizo pasenti za Cha juu, Jiwe alikuwa anazipiga kwa Kila ndege iliyonunuliwa, ndio maana alikuwa ananunua ndege kwa wingi kama kapata uchizi, kama alinunua ndege kumi, maana yake kapiga karibu trilioni, sema kwa Sasa dili limeiva na yeye kafa, hakuna wa kuziba kelele.
273211085_6882625705141056_5918159481123066584_n.jpg
 
Dreamliner ni bilioni 500, alinunua ngapi? Na kickback ilikuwa ngapi? Acha zile Airbus na mengineyo
273211085_6882625705141056_5918159481123066584_n.jpg

Kimsingi ndege ya mizigo hii Samia alikuta tayar ilishasainiwa, na hata huyu Mkurugenzi kaikuta ilishasainiwa enzi za JPM! Yeye mwenyewe ndo kajiingeza na isitoshe huyu aliteuliwa na Samia mwenyewe.
 
Bila shaka yo yote huyu Mhandisi John Nzulule aliyetenguliwa na Rais si mara yake ya kwanza kutupiga katika ununuzi wa ndege za serikali. Nadhani ametupiga katika ununuzi wa ndege serikali na pia ndege za ATCL ambazo zimekuwa zikinunuwa na serikali kukwepa kukamatwa na wadeni wa ATCL huko majuu.

Kwa uzoefu wake wa kutupiga sasa aliamua kutupiga kwa kipigo cha mbwa koko kwa kuweka cha juu cha mzigo wake wa dola 49 milioni katika ununuzi wa ndege ya mizigo ya ATCL. Fikiria badala ya kulipa dola milioni 37 akataka serikali ilipe dola milioni 86! Hii nadhani amevunja rekodi sijui tuite ya nchi au dunia!

Lakini bado natafakari kuwa ufisadi huu hafanyi peke yake. Lazima kuna mtu au genge la watu anashirikiana nao. Nashauri vyombo vinavyohusika na uchunguzi vimuhoji kwa kina mpaka ataje wenzake wanaohujumu nchi hii. Vinginevyo kundi hili litaendelea na ufisadi wake hadi nchi hii ifilisike kabisa!
Mwizi huwa aanzagi na vitu vkubwa kama ngo'mbe bali huanza na vitu kama udokozi wa yai , kuku , sufuria akiona amefanikiwa ndo anakuwa na ujasiri.so huyo jamaa atakuwa amepwnyeza mambo yake kadhaa ndo akafanikiwa akaone ajaribu dau kubwa zaidi
 
For your information, zile ndege zilikuwa za bei ndogo uliza uambiwe! JPM alikuwa mzalendo hasa ila inaonesha wewe ndugu zako walikuwa wapigaji ikazaa uhasama unaoonesha hapa JF
Wanasema jpm alipiga 10% ni mjinga tu kwa kuwa gharma za kuunda ndege zipo kwenye mtandao
 
... lile kabila ni majizi kweli kweli!
 
Daah! Mwenye pic yake atuwekee tumjadili vizuri.

Awesome hao walioshiriki upigaji huu. Na akamatwe sio aachwe!
tanzania ukishapigq km hivyo ndio unakua ushajichukulia chako mapema kesi kesi hua haziendelei wala hakuna kufungwa chukua chako mapema upishe wengine nao wazikusanye
 
Bila shaka yo yote huyu Mhandisi John Nzulule aliyetenguliwa na Rais si mara yake ya kwanza kutupiga katika ununuzi wa ndege za serikali. Nadhani ametupiga katika ununuzi wa ndege serikali na pia ndege za ATCL ambazo zimekuwa zikinunuwa na serikali kukwepa kukamatwa na wadeni wa ATCL huko majuu.

Kwa uzoefu wake wa kutupiga sasa aliamua kutupiga kwa kipigo cha mbwa koko kwa kuweka cha juu cha mzigo wake wa dola 49 milioni katika ununuzi wa ndege ya mizigo ya ATCL. Fikiria badala ya kulipa dola milioni 37 akataka serikali ilipe dola milioni 86! Hii nadhani amevunja rekodi sijui tuite ya nchi au dunia!

Lakini bado natafakari kuwa ufisadi huu hafanyi peke yake. Lazima kuna mtu au genge la watu anashirikiana nao. Nashauri vyombo vinavyohusika na uchunguzi vimuhoji kwa kina mpaka ataje wenzake wanaohujumu nchi hii. Vinginevyo kundi hili litaendelea na ufisadi wake hadi nchi hii ifilisike kabisa!
tanzania ukishapigq km hivyo ndio unakua ushajichukulia chako mapema kesi kesi hua haziendelei wala hakuna kufungwa chukua chako mapema upishe wengine nao wazikusanye
 
Back
Top Bottom