1. Hivi zilikua badi hazijalipwa?Fikiria badala ya kulipa dola milioni 37 akataka serikali ilipe dola milioni 86! Hii nadhani amevunja rekodi sijui tuite ya nchi au dunia!
Lakini bado natafakari kuwa ufisadi huu hafanyi peke yake. Lazima kuna mtu au genge la watu anashirikiana nao.
Bila shaka zilikuwa bado hazijalipwa na huenda uchunguzi unaendelea ilikuaje Boeing wakatoa inflated invoice!1. Hivi zilikua badi hazijalipwa?
2. Kuna mlolongo mkubwa hapo maana hata anayeidhinisha kuwa lipa, anajua kilichofanyika. Issue kubwa kama hizi wanajua kila kitu say original price and then it is inflated, lazima wahoji hii mbona imekuwa inflated. Wajulikane wote
Daah! Mwenye pic yake atuwekee tumjadili vizuri.
Awesome hao walioshiriki upigaji huu. Na akamatwe sio aachwe!
Bila shaka yo yote huyu Mhandisi John Nzulule aliyetenguliwa na Rais si mara yake ya kwanza kutupiga katika ununuzi wa ndege za serikali. Nadhani ametupiga katika ununuzi wa ndege serikali na pia ndege za ATCL ambazo zimekuwa zikinunuwa na serikali kukwepa kukamatwa na wadeni wa ATCL huko majuu.
Kwa uzoefu wake wa kutupiga sasa aliamua kutupiga kwa kipigo cha mbwa koko kwa kuweka cha juu cha mzigo wake wa dola 49 milioni katika ununuzi wa ndege ya mizigo ya ATCL. Fikiria badala ya kulipa dola milioni 37 akataka serikali ilipe dola milioni 86! Hii nadhani amevunja rekodi sijui tuite ya nchi au dunia!
Lakini bado natafakari kuwa ufisadi huu hafanyi peke yake. Lazima kuna mtu au genge la watu anashirikiana nao. Nashauri vyombo vinavyohusika na uchunguzi vimuhoji kwa kina mpaka ataje wenzake wanaohujumu nchi hii. Vinginevyo kundi hili litaendelea na ufisadi wake hadi nchi hii ifilisike kabisa!
Hilo jambo limekwisha tatuliwa kwani ilikuwa taiping'i era, tumemuonda kwa sababu za kutohudhuria kazini.Bila shaka yo yote huyu Mhandisi John Nzulule aliyetenguliwa na Rais si mara yake ya kwanza kutupiga katika ununuzi wa ndege za serikali. Nadhani ametupiga katika ununuzi wa ndege serikali na pia ndege za ATCL ambazo zimekuwa zikinunuwa na serikali kukwepa kukamatwa na wadeni wa ATCL huko majuu.
Kwa uzoefu wake wa kutupiga sasa aliamua kutupiga kwa kipigo cha mbwa koko kwa kuweka cha juu cha mzigo wake wa dola 49 milioni katika ununuzi wa ndege ya mizigo ya ATCL. Fikiria badala ya kulipa dola milioni 37 akataka serikali ilipe dola milioni 86! Hii nadhani amevunja rekodi sijui tuite ya nchi au dunia!
Lakini bado natafakari kuwa ufisadi huu hafanyi peke yake. Lazima kuna mtu au genge la watu anashirikiana nao. Nashauri vyombo vinavyohusika na uchunguzi vimuhoji kwa kina mpaka ataje wenzake wanaohujumu nchi hii. Vinginevyo kundi hili litaendelea na ufisadi wake hadi nchi hii ifilisike kabisa!
Alipiga sh ngapi?wewe utakuwa na Mimba ya Magufuli Kwa Sababu huna evidence unaropoka Tu.Hizo pasenti za Cha juu, Jiwe alikuwa anazipiga kwa Kila ndege iliyonunuliwa, ndio maana alikuwa ananunua ndege kwa wingi kama kapata uchizi, kama alinunua ndege kumi, maana yake kapiga karibu trilioni, sema kwa Sasa dili limeiva na yeye kafa, hakuna wa kuziba kelele.
Ushahidi ni kutumbuliwa kwake. Inaelekea anafahamu mengi kuhusu agency hii ya ndege za serikali.Uzi tayri. Kama sio majungu n nn? Weka ushahidi wa kupigwa?
Bila shaka yo yote huyu Mhandisi John Nzulule aliyetenguliwa na Rais si mara yake ya kwanza kutupiga katika ununuzi wa ndege za serikali. Nadhani ametupiga katika ununuzi wa ndege serikali na pia ndege za ATCL ambazo zimekuwa zikinunuwa na serikali kukwepa kukamatwa na wadeni wa ATCL huko majuu.
Kwa uzoefu wake wa kutupiga sasa aliamua kutupiga kwa kipigo cha mbwa koko kwa kuweka cha juu cha mzigo wake wa dola 49 milioni katika ununuzi wa ndege ya mizigo ya ATCL. Fikiria badala ya kulipa dola milioni 37 akataka serikali ilipe dola milioni 86! Hii nadhani amevunja rekodi sijui tuite ya nchi au dunia!
Lakini bado natafakari kuwa ufisadi huu hafanyi peke yake. Lazima kuna mtu au genge la watu anashirikiana nao. Nashauri vyombo vinavyohusika na uchunguzi vimuhoji kwa kina mpaka ataje wenzake wanaohujumu nchi hii. Vinginevyo kundi hili litaendelea na ufisadi wake hadi nchi hii ifilisike kabisa!
Hizo pasenti za Cha juu, Jiwe alikuwa anazipiga kwa Kila ndege iliyonunuliwa, ndio maana alikuwa ananunua ndege kwa wingi kama kapata uchizi, kama alinunua ndege kumi, maana yake kapiga karibu trilioni, sema kwa Sasa dili limeiva na yeye kafa, hakuna wa kuziba kelele.
Dreamliner ni bilioni 500, alinunua ngapi? Na kickback ilikuwa ngapi? Acha zile Airbus na mengineyo
Mwizi huwa aanzagi na vitu vkubwa kama ngo'mbe bali huanza na vitu kama udokozi wa yai , kuku , sufuria akiona amefanikiwa ndo anakuwa na ujasiri.so huyo jamaa atakuwa amepwnyeza mambo yake kadhaa ndo akafanikiwa akaone ajaribu dau kubwa zaidiBila shaka yo yote huyu Mhandisi John Nzulule aliyetenguliwa na Rais si mara yake ya kwanza kutupiga katika ununuzi wa ndege za serikali. Nadhani ametupiga katika ununuzi wa ndege serikali na pia ndege za ATCL ambazo zimekuwa zikinunuwa na serikali kukwepa kukamatwa na wadeni wa ATCL huko majuu.
Kwa uzoefu wake wa kutupiga sasa aliamua kutupiga kwa kipigo cha mbwa koko kwa kuweka cha juu cha mzigo wake wa dola 49 milioni katika ununuzi wa ndege ya mizigo ya ATCL. Fikiria badala ya kulipa dola milioni 37 akataka serikali ilipe dola milioni 86! Hii nadhani amevunja rekodi sijui tuite ya nchi au dunia!
Lakini bado natafakari kuwa ufisadi huu hafanyi peke yake. Lazima kuna mtu au genge la watu anashirikiana nao. Nashauri vyombo vinavyohusika na uchunguzi vimuhoji kwa kina mpaka ataje wenzake wanaohujumu nchi hii. Vinginevyo kundi hili litaendelea na ufisadi wake hadi nchi hii ifilisike kabisa!
Alishaajaribu deal kazaa zikapita kwa nini asifanye dili kubwa ikiwa saamia sio mtu wa kuumiza kichwaKama kweli kwenye ndege kapiga dili kubwa hivyo, kwenye ujenzi hakuna usalama.
Wanasema jpm alipiga 10% ni mjinga tu kwa kuwa gharma za kuunda ndege zipo kwenye mtandaoFor your information, zile ndege zilikuwa za bei ndogo uliza uambiwe! JPM alikuwa mzalendo hasa ila inaonesha wewe ndugu zako walikuwa wapigaji ikazaa uhasama unaoonesha hapa JF
tanzania ukishapigq km hivyo ndio unakua ushajichukulia chako mapema kesi kesi hua haziendelei wala hakuna kufungwa chukua chako mapema upishe wengine nao wazikusanyeDaah! Mwenye pic yake atuwekee tumjadili vizuri.
Awesome hao walioshiriki upigaji huu. Na akamatwe sio aachwe!
tanzania ukishapigq km hivyo ndio unakua ushajichukulia chako mapema kesi kesi hua haziendelei wala hakuna kufungwa chukua chako mapema upishe wengine nao wazikusanyeBila shaka yo yote huyu Mhandisi John Nzulule aliyetenguliwa na Rais si mara yake ya kwanza kutupiga katika ununuzi wa ndege za serikali. Nadhani ametupiga katika ununuzi wa ndege serikali na pia ndege za ATCL ambazo zimekuwa zikinunuwa na serikali kukwepa kukamatwa na wadeni wa ATCL huko majuu.
Kwa uzoefu wake wa kutupiga sasa aliamua kutupiga kwa kipigo cha mbwa koko kwa kuweka cha juu cha mzigo wake wa dola 49 milioni katika ununuzi wa ndege ya mizigo ya ATCL. Fikiria badala ya kulipa dola milioni 37 akataka serikali ilipe dola milioni 86! Hii nadhani amevunja rekodi sijui tuite ya nchi au dunia!
Lakini bado natafakari kuwa ufisadi huu hafanyi peke yake. Lazima kuna mtu au genge la watu anashirikiana nao. Nashauri vyombo vinavyohusika na uchunguzi vimuhoji kwa kina mpaka ataje wenzake wanaohujumu nchi hii. Vinginevyo kundi hili litaendelea na ufisadi wake hadi nchi hii ifilisike kabisa!
Watu wa ovyo badala ya kuwapigia kelele walioiba tunawapigia kelele watu ambao hawahusiki.... lile kabila ni majizi kweli kweli!
[emoji1787][emoji1787]imebidi nirudi juu kumuona akiwa na PM. Mwanzo nilikuwa sijuwi ni yupi kati ya hao wawili, ila ulipotaja bichwa nikarudi kuliangaliaWatu wenye mabichwa kama hayo ni wapigaji kinoma, mpaka Mungu hapendi!