Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Yani wewe kama jinga ndio nyie wajinga mna simu janja au laptop mkiulizwa kudadisi utaki tena kupitia vifaa vyako Yani google unayo unataka kumuuliza muuza kahawa.Huwa nahusudu sana nyuzi zako ila kwa huu uzi umeteleza!
Rekodi aliyoifikia hujaitaja ili tuipime ni kweli ama si kweli.
Nyerere alitunukiwa PhD huko lndia na huyu kafanyiwa hivyo hivyo je hii yaweza kuwa ndiyo Majira waisemayo?
Sijalisoma gazeti.
Ilo gazeti lipo umeshindwa kulitafuta.
Ccm bado Ina nyani wengi