Sinunuagi gazeti hata, naingia zangu JF nashiba habari. Watsap nako npata nyingi tu, Fb nk. Buku inanipa habari nitkazo.Siku hizi Tanganyika hakuna tena magazeti, hata yale niliyokuwa nikiyaamini sasa nimegundua hayana maana kabisa.
Ajabu ile kauli ya jana ya kijinga ya JK imeripotiwa na magazeti yote, hapo ndipo utaona hawa wahariri wa siku hizi ni wapuuzi watupu.
Sioni sababu tena ya mtu anayejitambua kununua magazeti nchi hii, vyema waachwe wahariri wayasome na wafanyakazi wao.
Leo Askofu ni Mhutu?Nchi ina vituko hii sasa huyu Muhutu naye anasema nini.
Kwamba Rais mstaafu Kikwete katoa kauli ya kijinga kuwaasa Watanzania wasichanganye mambo ya siasa na dini?Siku hizi Tanganyika hakuna tena magazeti, hata yale niliyokuwa nikiyaamini sasa nimegundua hayana maana kabisa.
Ajabu ile kauli ya jana ya kijinga ya JK imeripotiwa na magazeti yote, hapo ndipo utaona hawa wahariri wa siku hizi ni wapuuzi watupu.
Sioni sababu tena ya mtu anayejitambua kununua magazeti nchi hii, vyema waachwe wahariri wayasome na wafanyakazi wao.
Alimroga siyo?Na kilichomkuta aliyemnyanganya Passport
Uhaini una dhamana..... mwabukusi 3- wenye dola 0Tulikubaliana kwamba Roma ikisema ndo imemaliza sasa matamko yamekuwa meeeeengi cha maana hakuna.
Hii nchi hakuna cha Roma wala mdogo wake Roma. Serikali ikiamua kufanya yake hakuna mbwa wa kutoa pua yake kuandamana.
Mwabukusi amejifanya kutetea wananchi lakini alipopewa kesi ya uhaini hakuna aliyejitokeza kumtetea kila mtu ameufyata mkia.
SahihiWahaya na wanyakyusa kwenye hili la bandari yamejidhihirisha ni makabila yanayojielewa
Si kitotoHii imeenda!! Kiukwel bado hatuna wabunge wa kusimamia maslahi ya Taifa, uchaguzi uliopita umetuletea balaa zaid!!
Ule ujumbe mbona umefika mpaka chumbani, TV Imaan wenyewe wamesaidia kuutangaza.nyie simnasema roma nikila kitu kumbe hata magazeti yameshindwa kutoa ujumbe wenu.
Nchi hii siyo ya Mama yako haiendi hivyo.Na uhamiaji watamsikiliza hivyo hivyo.....
Nchi ina vituko hii sasa huyu Muhutu naye anasema nini.
Kiukweli nimemkubali sana huyu Askofu. Kwa sasa wananchi tunapaswa kuwa na akili sana. Kwani lazima tuichague hii CCM miaka yote??Chaguzi zilizopita zilikua zinakasoro wengi mlipokea Rushwa na mkasimamia hovyohovyo, Bunge likajaa hao wabunge ambao wameanza kubadili sheria ili ziwalinde"[emoji419][emoji375]
Nionavyo kila mbunge atajitahidi kukusanya kiasi kikubwa ili aweze kukodi askari wa kumuibia kuraHii imeenda!! Kiukwel bado hatuna wabunge wa kusimamia maslahi ya Taifa, uchaguzi uliopita umetuletea balaa zaid!!
Kwani wahutu hawarusiwi kusema? twambie sababuNchi ina vituko hii sasa huyu Muhutu naye anasema nini.