Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameweka Jiwe la Msingi la Mradi wa ujenzi wa Bwawa la Umwagiliaji Mkomazi.

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametimiza ndoto ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere kwa kuweka Jiwe la Msingi la Mradi wa ujenzi wa Bwawa la Umwagiliaji Mkomazi. Mradi huo unatarajiwa kuwanufaisha Wananchi zaidi ya 20,000 Wilayani Korogwe. Mradi huo unatarajia kuimarisha shughuli za kilimo na uzalishaji wa mazao. Rais Dkt Samia amefika kwenye Mradi wa Mkomazi leo tarehe 24 Februari, 2025 ikiwa ni muendelezo wa ziara yake mkoani Tanga.
 

Attachments

  • IMG-20250225-WA0017.jpg
    IMG-20250225-WA0017.jpg
    400.5 KB · Views: 1
  • IMG-20250225-WA0018.jpg
    IMG-20250225-WA0018.jpg
    631.5 KB · Views: 1
  • IMG-20250225-WA0019.jpg
    IMG-20250225-WA0019.jpg
    538.6 KB · Views: 1
  • IMG-20250225-WA0020.jpg
    IMG-20250225-WA0020.jpg
    371.9 KB · Views: 2
  • IMG-20250225-WA0015.jpg
    IMG-20250225-WA0015.jpg
    711.3 KB · Views: 1
  • IMG-20250225-WA0016.jpg
    IMG-20250225-WA0016.jpg
    616.4 KB · Views: 1
Back
Top Bottom