Mhe. Mbowe, hongera sana. You are the best; ila acha uongo, uzushi na uchochezi. Kati yako na serikali nani mkweli? Vifo ni 16 tu

Mbowe na wabunge wa CHADEMA wamekimbia vita, na kwenda kujifungia ndani, hawa sio viongozi, badala ya kuongoza vita vya corona, wamekimbia, october tutawapiga chini wote
Bora yao wanepambana hadi dakika karibia za mwisho. Sasa akiyejificha mapema. Alianza kukimbilia dodoma kwenye mawe hali ikawa mbaya akakimbilia chato nako ugonjwa unemfata. Sijui muda si mrefu mtamsikia yupo kwenye maandaki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sure! Tutaelewana very soon.! Na waendelee kuficha ukweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbowe na wabunge wa CHADEMA wamekimbia vita, na kwenda kujifungia ndani, hawa sio viongozi, badala ya kuongoza vita vya corona, wamekimbia, october tutawapiga chini wote
Hebu tuelezeni MATAGA, kwani huko handaki limeshaandaliwa? Maana nasikia mdudu kaingia na huko!
 
Unaonaje ukiachana nazo Tu ukasepa.

Ushambega ni jadi yangu. Kumbuka hilo.

Vipi mama'ko kakulia vipi?
 
Wewe mpaka uzike ndugu yako au likupate mwenyewe ndio utajua hujui. Endelea kutetea tumbo lako.
 
Huyu mayalla mjinga sana,Siku hizi amepewa timu Lumumba kabla hajatoa post wako mkao Wa kumsapoti punde anapo post,hivi mayalla pamoja na uandishi wako uchwara unaamini hizo talwimu za pm na wizara ya afya,subirini soon mtaumbuka..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Is he really a lawyer? What an insult to his profession!!!? Siamini kama 'lawyer' ndo kaandika hivi. Hata wanaoabudu wanapewa muda wa kutafakari. Huyu jamaa anawaabudu viongozi bila hata kutafakari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…