MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Mkuu, i was told you are a lawyer, some one with necessary skills to comprehend, analyse and defend issues ,but i am so disappointed. Uzi wako ni reflection of what you are, a boot licker, unainajisi legal profession na kuwa mfano wa watu waliosoma wakashindwa kuelimika.
Wewe haufanani na mtu anaye jenga hoja kwamba serikali ndiyo ya kuaminiwa zaidi na kwamba matamko ya viongozi ndiyo ukweli? Mkuu, hapa unainyanyua serikali na kuipa nguvu za ki-Mungu, kwamba watu wasihoji ukweli na usahihi wa taarifa zake, kweli? Hivi ndivyo vijana wetu wamefundishwa namna ya kutafakari?
Serikali inaweza ikawa sahihi au isiwe sahihi lakini kama inafanya jambo kwa maslahi ya umma wananchi baada ya kuelimishwa wataielewa. Katika jambo hili la corona viongozi wa upinzani hawaoni serikali ikijipambanua na kuchukua hatua ambazo jamii inatarajia. Ni haki yao ya kikatiba kuhoji na kupata majibu.
Ikumbukwe kwamba serikali imewekwa na wananchi na inatumia pesa za wananchi kuendesha shughuli zake, hivyo ni haki ya wananchi kuhoji na huu ni moja ya msingi wa utawala bora.
Namalizia kwa nasihi zifuatazo:
1. Kwenye ukweli uongo hujitenga; na
2. Ukweli utakuweka huru.
Wewe haufanani na mtu anaye jenga hoja kwamba serikali ndiyo ya kuaminiwa zaidi na kwamba matamko ya viongozi ndiyo ukweli? Mkuu, hapa unainyanyua serikali na kuipa nguvu za ki-Mungu, kwamba watu wasihoji ukweli na usahihi wa taarifa zake, kweli? Hivi ndivyo vijana wetu wamefundishwa namna ya kutafakari?
Serikali inaweza ikawa sahihi au isiwe sahihi lakini kama inafanya jambo kwa maslahi ya umma wananchi baada ya kuelimishwa wataielewa. Katika jambo hili la corona viongozi wa upinzani hawaoni serikali ikijipambanua na kuchukua hatua ambazo jamii inatarajia. Ni haki yao ya kikatiba kuhoji na kupata majibu.
Ikumbukwe kwamba serikali imewekwa na wananchi na inatumia pesa za wananchi kuendesha shughuli zake, hivyo ni haki ya wananchi kuhoji na huu ni moja ya msingi wa utawala bora.
Namalizia kwa nasihi zifuatazo:
1. Kwenye ukweli uongo hujitenga; na
2. Ukweli utakuweka huru.