Mhe. Nimrod Mkono asaini kumwondoa waziri Mkuu!


dah!kaka umetisha sana,maana huyu jamaa rejao mimi simuelewagi kabisa.eti tunapanga kuichafua chadema,hivi huyu jamaa anathink kweli?katika kipindi kigumu kama hiki ambacho nchi inapitia kama kuongezeka kwa deni la taifa,tatizo la ajira,mfumuko wa bei na mengineyo mengi bwana rejao wewe huoni hilo kua ni tatizo kwako tatizo ni chadema?we wa ovyo kabisa!SHAME ON YOU REJAO
 
mzee mzoefu kama huyu kufikia hatua hiyo! looo amejitahidi. yetu macho na masikio hapo kesho wa ukweli tumeawaona na wanafiki wa piga kelele kwa maonesho tumeshawaona. sasa tuone la kesho! dunia ina mambo watu wakikuchoka bwana kubali matokeo.
 
Mkono is nothing than a very smart guy. Kwa kutiani saini anajua kuwa jina lake litasafishika. lakini on the other hand anajua kuwa Magamba hawataafiki kupiga kura ya no confidence kwa Mtoto Fake wa Mkulima kwa maana wote ni Wachumia tumbo and they dont know what will be the next course of action.

As you can see, mmeshaanza kumuona Mkono shujaa while in fact ni one of Top Fisadiz. The guy knows mathematics.

Kilichopo hapa ni Kugangamaa na hoja na kama Bi Kiroboto akiizima, the next stage iwe ni Mkakati wa Kumwondoa yeye Bi. Kiroboto kwa kutumia Kanuni.

Nadhani unapoanza vita unakuwa na adui mmoja ili ushinde na Zitto analifahamu hilo. Kwa sasa mission yake ni kukusanya saini hata Pinda akitaka kusaini atampa asaini. Kumbuka hoja ikipita utahitaji kura zao wote ili kumtoa, ukianza kuwabagua sasa hivi utashindwa. Ukisha shinda ndio unaanza kufuatilia na maovu ya nyuma ya wale wale waliokusaidia kushinda.
 
Mkono kupiga vita ufisadi...BIG NO!! Bali anarudisha favour
 
Kazi ipo kweli kweli nadhani wengi sasa wameona namna mambo yanavyokwenda halijojo ndani ya serikali yetu
 
Mimi kwa kumbukumbu zangu finyu, Mkono ni mmoja wa watu waliofanya ufisaidi mkubwa nchini, hivyo kusaini ni kujikosha tu. yeye ni mmoja wao.
Let me ask you guys hivi ukishatenda kosa huwezi tena kutenda mema throughout your life?
 
lazima tutafakari mara kadhaa! tunachotaka hapa sasa si nani anafanya nini! ila uwingi wa kura una umuhimu mkubwa katika hili. hakuna anaye mkubali mkono hapa, ila kwa kitendo chake hicho, twaweza kumpa credit fulani.
 
Lakini huyu jamaa si naye yuko kwenye kundi la mafisadi wanaoinyonya nchi hii kupitia kampuni yake ya uwakili?
 
Na hivi ndiyo tuseme raisi wetu yeye anafanya kazi yake vizuri tu na hivyo bado tuna imani naye?

Or is the president beyond reproach?
 
Haha ajab lakini kweli...hivi amesahau kampuni yake ilivokua inakomba pesa kutokana na kesi za serikali fees kwa mabiloni? kweli wajaabu sana sisi
ametajirika kutokana na nini? ameuza ngombe? ana shares bank m. maxinsure na marafiki zake ni wale EPA...KHAAA NAONA KINYAA
 

Hata hao wakitia sign bado watakuwa kwenye kundi linalotaka uwajibikaji wa hii serikali, lakini tukirudi kwenye list bado wako.Hivi ni vitu viwili tofauti.
 
Unajua mapaka sasa watu hawajaifahamu zaidi CDM. Wanaikurupukia tu. Tuna mikakati ya kuanika all about CDM. Stay tunned!
Mimi nilifikiri mna mikakati ya kujenga hospitali nyingi kumbe ni mikakati ya kuanika umbea. Kama hizo ndizo strategy za CCM basi kamwambie bosi wako Nape hiyo nayo ni sababu mojawapo kwa nini CCM inakimbiwa na wanachama wake.
 
Watanzania ni watu wa matukio sana baada ya hapo uwa wanayasahau yote.

Katika orodha ya Slaa aliyoitaja pale Mwembe Yanga Temeke Nimrod Mkono alikuwemo.

Leo baada ya kusaini amekuwa shujaa na kwenye kundi la ufisadi hayumo tena.

Hii ni ishu nyingine wala haihusiani.
 
hongera mzee kwa kusoma nyakati naomba mumweleewe watu wa ccm alisaini sio nkono ni wananchi wa MUSOMA VIJIJINI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…