Ningeulizwa mimi ningesema jiwe afilisiweMagufuli ndiye alisimamia wizi wote huo,yeye ndiye anapaswa kuwa wa kwanza kuwajibishwa bila ya kujali kuwa yupo hai au laa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ningeulizwa mimi ningesema jiwe afilisiweMagufuli ndiye alisimamia wizi wote huo,yeye ndiye anapaswa kuwa wa kwanza kuwajibishwa bila ya kujali kuwa yupo hai au laa.
Ingependeza kama ungetumia umoja badala ya wingi, au ukitumia wingi weka kabisa neno sisi Mataga au sisi Wanyonge.mtaongea sana ila Magu tutamkumbuka kwa mazuri kama alivyosema R.I.P my hero President
Huyo JPM unamuenzi kwa lipi hasa??Hakuna ubadhirifu uliofanywa na Rais aliyepita, ubadhirifu ulifanya na viongozi wasio kuwa na maadili wakiwemo Mawaziri, makatibu wakuu na maafisa suuri wengine katika sekta mbalimbali.
Kama tunataka kumuenzi JPM Basi tuwawajibishe wanaohusika Kama ambavyo angeafanya endapo angekuwa hai.
Kuacha kuwawajibisha nikuruhusu wizi mkubwa zaidi na kisha kumtupia lawama Rais aliyepo Sasa.
nyabhingi huezi kula sahani moja na mimi..Narudia tena
Makazi yako inabidi yawe mirembe
Sio mzima wewe kichwani
Nisamehe mkuunyabhingi huezi kula sahani moja na mimi..
Hizi tabia ni za wale wanaume walegeza machoMagufuli ndiye alisimamia wizi wote huo,yeye ndiye anapaswa kuwa wa kwanza kuwajibishwa bila ya kujali kuwa yupo hai au laa.
🖕🖕🖕Hizi tabia ni za wale wanaume walegeza macho