Mhe. Rais Magufuli Kufufua Mmoja wa Mradi Mkubwa wa Kufua Umeme Afrika wa Stiegler's Gorge

Anataka amalize vyote kwa pamoja.
 
Mkuu haikuwa mabomu na virungu tu, wanawake walibakwa sana tu.
Kubakwa ni natural maana wengine wanakutwa porini wakiwa na nguo za kiuchokozi wamejificha peke yao, waume zao wameanza mbele, askari utamwambia nn hapo, kula kichwa tu!
 
Mwaka wa tatu huu jamaa anaendelea kutoa ahadi tu.... Sijui utekelezaji utakuwa lini!!! Let's hope!!!
 
Hongera sana Rais kwa kuanza kuchukua hatua hizo.
 
Anafufua mradi nani alio uua mpaka Leo unafufuliwa.mnaua wenyewe mnafufua wenyewe mnataka msifiwa .tutajuaje mtauua tena !!?? Tunataka vitendo
 
Viongozi wana ndoto nyingi ziwe kweli Mungu awasaidie ili mshike moja ilo moja tufanikishe maana umeme wa gesi sijui umeishia wapi mmekuja huku tena...
Umeme wa gesi unakwenda vyema, kuna kinyerezi 1 tayari imezinduliwa na hivi sasa tayari awamu ya pili ya kinyerezi 2 inaendelea kujengwa na kuna plans za kinyerezi 3 & 4 pia.
Uwe una tabia ya kufuatilia mambo kwanza ndugu kabla hujaandika.
 
Sukari toka 1,800@kg mpaka 3,000@kg na yuko kimya, ndio ataweza huo umeme?
.
Kama aliweza toa mabilioni "bila utaratibu" kununua ndege bila shaka anaweza pia kuitekeleza hii project(ambayo ni nzuri zaidi kuliko ndege)
 
Kama aliweza toa mabilioni "bila utaratibu" kununua ndege bila shaka anaweza pia kuitekeleza hii project(ambayo ni nzuri zaidi kuliko ndege)

Mkuu jiongeze, ni kipi kimeshindikana kwenye gas, mbona tuliambiwa hiyo gas ikifika tu Dar basi matatizo ya umeme yamekwisha, na bei itakuwa chee huku yeye akiwa waziri kwenye maamuzi hayo? Hiyo project ni hela nyingi, je kwa sasa ana hela hizo?
 
Wanaoibeza CCM sio muda mrefu wata aibika.Ndio,tuna makosa yetu,lakini under comrade Magufuli CCM has a new dawn. Naomba Mungu mradi huu uanze, ili wanao ibeza CCM waumbuke. This will be a real big kick for JPM and CCM.
 
Wakenya au Malawi? Watu tuache ushabiki wa kijinga tuwe positive nga kidogo
Kaka sio kubeza tatizo la mkuu ahadi nyingi halafu azitekelezeki,alichofanikisha yeye ni kutumbua na kuzindua tu
 
Umeme wa gesi unakwenda vyema, kuna kinyerezi 1 tayari imezinduliwa na hivi sasa tayari awamu ya pili ya kinyerezi 2 inaendelea kujengwa na kuna plans za kinyerezi 3 & 4 pia.
Uwe una tabia ya kufuatilia mambo kwanza ndugu kabla hujaandika.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mi mwenyewe naona anaendelea powa tu....[HASHTAG]#JPM[/HASHTAG]
 
Toka aingie madarakani amedufua nini?zaidi ya kurukia rukia project zizizotekelezekalabda pangaiboi mbovu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…