Mhe. Rais Magufuli Kufufua Mmoja wa Mradi Mkubwa wa Kufua Umeme Afrika wa Stiegler's Gorge

Acha kulalamika sana, Unalipa kodi na hiyo ita saidia kwa kiasi fulani kuibadilisha rangi ya taa ya njano kurudi kwenye kijani. Tuendelee kupambana tu.
 
Acha kulalamika sana, Unalipa kodi na hiyo ita saidia kwa kiasi fulani kuibadilisha rangi ya taa ya njano kurudi kwenye kijani. Tuendelee kupambana tu.
😑😑😑😑😑😑 kama hujui usiseme
 
Hivi hela ziko wapi mbona hamtuelemishi

Hongera bila kutujuza minoti iko wapi?
 
Yani wenzetu wanaongelea jigawati sisi bado tunapongezana kwa vimegawati, bado pana safari ndefu Sana hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…