Mhe. Tundu Lissu, Please Acha Kumsulubu Spika Wetu! Unammaliza Kabisa Hadi Ameshindwa Kazi!

Mhe. Tundu Lissu, Please Acha Kumsulubu Spika Wetu! Unammaliza Kabisa Hadi Ameshindwa Kazi!

Kuna kazi nyingine ambazo mtu yeyote anaweza kuzifanya ila sio SHERIA. Kaka yangu Lissu anachofanya ni kumvuruga akili Spika, matokeo yake anajikuta amepwaya na kutoka nje ya mstari kabisa. Hii inaweza mwathiri mwanamke akajikuta ameingia P...od bila kutarajia.
Aisee!!!sentensi yako ya mwisho umenimaliza.ngoja niseme hivi si vyema CCM kuendelea kulipeleka bunge kishabiki na kuuona upinzani hauna lolote bungeni,watanzania wanaona hoja toka upande wa pili jinsi wabunge 40 +wanavyoweza kuwatoa kamasi wabunge 300+ wa chama tawala na spika wao,CCM wanajua na walijua kuwa makinda hana uwezo ila walimchagua kishabiki wakidhani wanamkomoa SITTA,mbona sioni wakienda kumsaidia kujibu maswali ya akina MNYIKA,LISSU NA WENGINE???.
 
Mkuu pasco heshima kwako vijana wako kazini wanafanya kazi walioyo tumwa na watanzania nchi nzima kama speaker kafuta hoja binafsi basi zitapelekwa kwa wananchi wa tanzania,hukumu itatoka huko ambayo haitamwangalia mtu usoni ni kichapo tu.mh.tundu antipas lissu anapiga kazi na akianza kuchangia watanzania kokote kule waliko humsikiliza sio mkorofi alisha wahi sema sessesion za bunge la tanzania ni "silly season" majira ya kujadili vitu vya kipuuzi ambavyo havitekelezeki wacha wawagalagaze tu ccm k'bu hawako kwa ajili ya watanzania!!!
 
Wanabodi,

Leo nimepata fursa ya kuliangalia bunge live asubuhi hii kupitia TBC-1,
Spika wa Bunge, Mhe. Anne Makinda ameshindwa kabisa kuliendesha bunge!, amepwaya sana na ameendesha kika bila confidence kabisa na mwisho wa maelezo yake, akamtaja Mhe. Tundu Lissu kama ndiye mbunge anayeongoza kwa kuleta vurugu bungeni, na Lissu aliponyanyuka kuomba muongozo wa Spika, akamvurumishia tena Spika Makombora mazito, na kama angeendela kidogo tuu!, Spika Makinda ange break down kwa machozi!. (Naamini akifika ofisini kwake, atajifungia kidogo na kuimalizia hasira yake the same way wanawake wote wanamalizaga hasira zao!.

Kwa kuzingatia sifa kuu iliyomfanya Mhe. Mama Makinda kuchaguliwa kuwa spika, huku Mhe. Tundu Lissu akiujua fika uwezo wa Madam Spika, kwanini anaendelea kumsulubisha kila apatapo fursa?!. This is not fair!.

Kwa vile Mama Makinda amepewa uspika because she is a lady, kwa uzi huu, namuomba Mhe. Tundu Lissu na wabunge wengine wa Kambi ya Upinzani, wanapokuwa na hoja za msingi, wamuaddress Madam Spika with courtesy of addressing a lady, ili ku restore confidence yake kuliendesha bunge ambapo kwa sasa, ameshindwa kabisa, amezuia hoja zote binafsi, hivyo leo bunge limekutana asubuhi tuu kwa kipindi cha maswali na majibu na kuahirishwa, natumaini kesho na keshokutwa itakuwa vivyo hivyo!, huu ni ufujaji bure wa rasilimali za Taifa!.

Nawauliza wajameni, hivi hiki anachofanya Mhe. Lissu na wabunge wengine wa upinzani, kumsubulu Madam Spika ambaye ni mwanamke bila huruma, ni sawa kweli?!.

Kiafrika, wanawanake ni ni watu wa kubembelezwa na kuonewa huruma!, hivi hawa wabunge wa upinzani ni watu wa aina gani wasio hata na huruma kwa wanawake?!, leo ilibakia kidogo tuu madam spika angelia!, jee hiki wanachofanya ni sawa kweli?!. Ni haki?!.

Nawaombeni tumtendee haki Spika wetu aendesha bunge kwa haki na kujiamini!.

Pasco.


Source: m.m. mwanakijiji wa youtube



Source: ITV TANZANIA ya youtube


lol Pasco, umeanza tena mchezo wa reverse pyschology :smile:, hivyo hapa unamwambia Mh Tundu Lissu atumie wembe ule ule alioutumia jana kumnyoa spika Mh Anna Makinda, amnyoe nao tena siku za usoni.

Bila shaka Mh Tundu Lissu amekusoma kwa utuo
 
Last edited by a moderator:
Kwani alipewa U speaker au aligombea mbona sikuelewi mtoa mada ? huyu mama hajalazimishwa alisema anaweza na apewe akapewa sasa nini. Piga kazi Tundu Lisu



Wanabodi,

Leo nimepata fursa ya kuliangalia bunge live asubuhi hii kupitia TBC-1,
Spika wa Bunge, Mhe. Anne Makinda ameshindwa kabisa kuliendesha bunge!, amepwaya sana na ameendesha kika bila confidence kabisa na mwisho wa maelezo yake, akamtaja Mhe. Tundu Lissu kama ndiye mbunge anayeongoza kwa kuleta vurugu bungeni, na Lissu aliponyanyuka kuomba muongozo wa Spika, akamvurumishia tena Spika Makombora mazito, na kama angeendela kidogo tuu!, Spika Makinda ange break down kwa machozi!. (Naamini akifika ofisini kwake, atajifungia kidogo na kuimalizia hasira yake the same way wanawake wote wanamalizaga hasira zao!.

Kwa kuzingatia sifa kuu iliyomfanya Mhe. Mama Makinda kuchaguliwa kuwa spika, huku Mhe. Tundu Lissu akiujua fika uwezo wa Madam Spika, kwanini anaendelea kumsulubisha kila apatapo fursa?!. This is not fair!.

Kwa vile Mama Makinda amepewa uspika because she is a lady, kwa uzi huu, namuomba Mhe. Tundu Lissu na wabunge wengine wa Kambi ya Upinzani, wanapokuwa na hoja za msingi, wamuaddress Madam Spika with courtesy of addressing a lady, ili ku restore confidence yake kuliendesha bunge ambapo kwa sasa, ameshindwa kabisa, amezuia hoja zote binafsi, hivyo leo bunge limekutana asubuhi tuu kwa kipindi cha maswali na majibu na kuahirishwa, natumaini kesho na keshokutwa itakuwa vivyo hivyo!, huu ni ufujaji bure wa rasilimali za Taifa!.

Nawauliza wajameni, hivi hiki anachofanya Mhe. Lissu na wabunge wengine wa upinzani, kumsubulu Madam Spika ambaye ni mwanamke bila huruma, ni sawa kweli?!.

Kiafrika, wanawanake ni ni watu wa kubembelezwa na kuonewa huruma!, hivi hawa wabunge wa upinzani ni watu wa aina gani wasio hata na huruma kwa wanawake?!, leo ilibakia kidogo tuu madam spika angelia!, jee hiki wanachofanya ni sawa kweli?!. Ni haki?!.

Nawaombeni tumtendee haki Spika wetu aendesha bunge kwa haki na kujiamini!.

Pasco.


Source: m.m. mwanakijiji wa youtube



Source: ITV TANZANIA ya youtube
 
Last edited by a moderator:
mbona hueleweki? kwa hiyo kina lissu wanaopambana bungeni hawana msaada, kuna kitu kinaitwa 'team work' huyo zito wako aijua? tumia kichwa badala ya masaburi[/QUOT

Mbona una Negative attitude na Zitto kiasi hicho, mimi nilikuwa nafanya ulinganisho, yaani ni bora mtu akafanye kazi za kujenga chama CHADEMA kuliko kinachoendelea bungeni, kujenga chama kuna tija maana kutawezesha kuwaondoa hao wajinga bungeni, ambao kila hoja inayoletwa yenye maana na CHADEMA inauliwa! that was it! sasa umeenda mbali sana kwenye fikra zako ambazo ziko clouded na Zitto Kabwe! Mimi siyo mfuasi wa mtu ni mfuasi wa CHADEMA!
 
Pasco,
Kuwa mkweli kwa nafsi yako; hivi ukiwa mwanamke ndio uendeshe mambo kiholela tu? Hivi kuwa mwanamke ndio kutozingatia kanuni na sheria? Mimi ni mwanamke na ninaamini kuwa mwanamke si kiumbe dhaifu (kama wengi wanavyotaka kutusaidikisha) na hata kama akiwa dhaifu (huenda kutokana na malezi yaliojikita katika kumfanya mwanamke awe dhalili/ duni/ mnyonge) bado iko fursa ya kujengewa uwezo na kujiimarisha.
Anne Makinda ni miongoni mwa wanawake wa KiTz waliopata fursa hiyo. Tangu nasoma primary school miaka ya 80's huyu mama ni kiongozi. Amepitia ngazi nyingi hadi kuwa hapo. Kinachomfanya awe mnyonge na ashindwe kusimamia shughuli za bunge si uanamke wake, si ukali na ukweli wa Tundu bali ni tatizo lake la kujikomba na kutaka kubeba chama chake. Anne si mzalendo wa kweli na hana nia ya dhati ya kuisimamia serikali.

Mbona Jenister Mhagama ni mwanamke (eti hukalia kiti hicho kwa vipindi vichache tu), hana muda mrefu bungeni kama Anne lakini anamudu majukumu yake kisawasawa? Jenister anajua kujisimamia na kusimamia shughuli zake na kwa sasa ndiye pekee akikalia kiti hicho Bunge linakwenda.
Tundu hamshambulii Anne na wala hana chuki naye au kumdharau kwa kuwa ni mwanamke. Tundu hujenga hoja na kusimamia mambo ya msingi hata kama yupo Ndungai mwanamume mwenzake. Hapa tatizo ni Kiti kupwaya sana; angalia utendaji wa Ndungai na Mabumba (hovyo kabisa!)


Bahati mbaya kwa upande wake ni kuwa amekalia kiti nyakati ambazo idadi ya waTz (raia na wabunge) wanaojibu "hewala bwana" kwa kila jambo inapungua kila uchwao. Hivi sasa watu tunataka ujenge hoja zenye ushahidi wa kisayansi/ zilizofanyiwa utafiti wa kutosha. Ukileta longo longo ili kufunika kombe "mwanaharamu" hapiti na watu tunakomalia hadi ukweli ujulikane.
Tundu Lissu ni miongoni mwa waTz ambao hawana unafiki na wataka koleo iitwe kwa jina lake na si kijiko kikubwa!
Kama katika Chama chetu CCM tungekuwa na akina Tundu Lissu japo mmoja tu leo hii mwenyekiti wetu asingezungukwa na kundi la wanafiki. Hawataki ukweli utafutwe na ujulikane. Hawataki maendeleo ya kweli ya Taifa. Kunapokuwa na tatizo na uozo hawamwelezi ukweli Mwenyekiti wetu; matokeo yake leo Mwenyekiti wetu anaonekana dhaifu, hafai na hana uwezo wa kuongoza. Mara zote wanafiki hawa wamempotosha mwenyekiti na au amezungumza au kufanya maamuzi ambayo mwisho wa siku inakuwa aibu kwake, kwa chama na kwa taifa.
Kutokana na kuwa na wanafiki hawa waliomzunguka Mwenyekiti na Rais wetu leo Tz tumekuwa kichekesho na aibu kwa mataifa mengine. Leo heshima yetu imeshuka na hata baadhi ya watu wameanza kuandika "eti Tanzania iingizwe katika maajabu ya dunia kutokana na vituko vya serikali" Hii ni AIBU ISIYOVUMILIKA.
Hebu nitaje mifano michache tu ya kauli za wanafiki hawa:
1. Waziri anamhimiza Rais aendelee na safari za kwenda Ulaya na Asia kuomba omba wakati tuna rasilimali kibao! Ukimsikia utadhani anamhimiza kwa nia njema; mnafiki huyu. Anataka Rais aendelee kwenda kuombaomba mikopo ambayo hatutaweza kuilipa hata kizazi cha 10; na kinacholetwa waziri huyu na wenzake wanaishia kuiba na kujinufaisha wenyewe!

2. Waziri aliekabidhiwa ofisi ya umma; alizaliwa kabla ya uhuru na akakulia katika falsafa ya ujamaa na kujitegemea anajitapa kwenye vyombo vya habari eti, "Tunaheshimika sana ndio maana tunakopesheka". Hivi kweli KUKOPA NI HESHIMA???? Maandiko matakatifu yenyewe yanasema "AKOPAYE NI MTUMWA WA AKOPESHAYE". Halafu leo tunakuwa na waziri anayefurahia utumwa! Miaka 50 baada ya uhuru na rasilimali kibao tulizonazo!!!!
Kwa taarifa yako huyu waziri, katika jimbo lake ambalo kwa asili ni kame; changia na uharibifu wa mazingira halmashauri ya wilaya na wataalam wa kilimo kwa nia njema wanahimiza kilimo cha mtama. Lakini waziri huyu anaitumia njaa ya watu hawa kama mtaji wake wa kupata kura. Hataki waguswe na kuwajibishwa wanapotezembea kulima mtama. Mara wanapokusa mavuno wanamtumia ujumbe na yeye anaomba serikali walete mahindi ya msaada. Kwa njaa ya kujitakia kila mwaka waziri kafanya mtaji wa kupata KURA ili ALE!

3.
 
Ukikubali kazi uwe tayari kwa yote yanayoendana na hiyo kazi. kama kazi immeshinda aachie ngazi. Ameyataka mwenyewe kwa kuilinda serikali ya chama chake CCM. Agelikuwa anafuata taratibu na kanuni za kendesha shughuli za Bunge haya yote yasingelitokea.
 
mbona hueleweki? kwa hiyo kina lissu wanaopambana bungeni hawana msaada, kuna kitu kinaitwa 'team work' huyo zito wako aijua? tumia kichwa badala ya masaburi[/QUOT

Mbona una Negative attitude na Zitto kiasi hicho, mimi nilikuwa nafanya ulinganisho, yaani ni bora mtu akafanye kazi za kujenga chama CHADEMA kuliko kinachoendelea bungeni, kujenga chama kuna tija maana kutawezesha kuwaondoa hao wajinga bungeni, ambao kila hoja inayoletwa yenye maana na CHADEMA inauliwa! that was it! sasa umeenda mbali sana kwenye fikra zako ambazo ziko clouded na Zitto Kabwe! Mimi siyo mfuasi wa mtu ni mfuasi wa CHADEMA!

hapo red nakupongeza ila naona bado huelewi maana ya CHADEMA km chama, ni team mkuu, work in team and support each other
 
hapo red nakupongeza ila naona bado huelewi maana ya CHADEMA km chama, ni team mkuu, work in team and support each other

Kwahiyo Zitto alikuwa anafanya kazi ya CCM Kigoma! Team work does not mean working on the same issue at the same time, it means working for the same purpose even if not at the same time and at same issue! All working for the common good of the party! Kwa mtanzamo wako hata Dr. Slaa alitakiwa awe Bungeni for 'team work business' any way it depends na mtu unatafsirije mambo!
 
Kwahiyo Zitto alikuwa anafanya kazi ya CCM Kigoma! Team work does not mean working on the same issue at the same time, it means working for the same purpose even if not at the same time and at same issue! All working for the common good of the party! Kwa mtanzamo wako hata Dr. Slaa alitakiwa awe Bungeni for 'team work business' any way it depends na mtu unatafsirije mambo!

from where did u get this definition? i think u are completely out of context of what i said about teamwork in relation to zito, i don't know why zito was in kigoma but according to u, he was building the party and u pretended that it was good that zito was not part of what was happening in the parliament, im not sure if u understand the paradoxical scenario where u praised zito for what he was doing for chadema ni kigoma at same time u dismissed the struggle and efforts of chadema mps in the parliament and u are asking whether he was working for ccm? I don't know, i think u know because u praised and dismissed, as dr slaa, he is on records that he fully support opposition mps regarding the current trends of bunge, nadhani huu ni uelewa wako wa teamwork and not of zito, elewa kirahisi kuwa in teamwork it's wrong to praise others and put others in dustbin, check this definition, Teamwork is defined in Webster's New World Dictionary as "a joint action by a group of people, in which each person subordinates his or her individual interests and opinions to the unity and efficiency of the group." This does not mean that the individual is no longer important; however, it does mean that effective and efficient teamwork goes beyond individual accomplishments. The most effective teamwork is produced when all the individuals involved harmonize their contributions and work towards a common goal.
 
Hivi mtu anapodai haki yake ni kosa?sasa inakuaje kwa tundu lissu anapoona haki za wabunge wa upande wa upinzani zinakiukwa na kuhoji anaitwa kinara wa fujo?je ni busara kwa mtu anayejua haki na wajibu wake kukaa kimya huku akiona atendewi haki? Mimi nadhani watu wa kulaumiwa ni mhe.spika na naibu spika kwa kushidwa kutenda haki kwa wabunge wa upinzani na kuwatolea maneno makali.mbona ktk kipindi cha uongozi mhe. Sitta bunge lilikuwa na mvuto kwa watanzania?kwa nini bunge ili lishindwe?kusoma hatuwezi hata kuangalia picha hatuwezi ? Tunataka bunge litoe haki sawa kwa vyama bila kujali rangi zao,dini wala kabila kwa faida ya taifa letu....
 
Pole Makinda, Pole Ndungai, jamaa wamewatosa, na nyinyi hamkujua moto utakaowakuta.

Lisu and co, Kaza buti hadi kieleweke
 
Hiyo ndiyo maana ya kuitwa chief whip,lazima ajutie kuwa kibaraka wa chama chake,angefuata miongozo ya bunge bila kupindisha kusingekuwa na shaka nae angeitwa speaker wa viwango.

Kwa uwendeshaji huu wa huyu Mh. Makinda wa Bunge hapa lazima tumkumbuke Mh. Sitta jinsi alivyolimudu bunge la kipindi chake na kuweza kuruhusu mijadala iliyowafanya wananchi waujue ujinga wa Serikali yetu.
 
women are emotional and men are logical. And because women are emotional they can't think properly specific in solving the matter at hand rather than satsfy their emotional. Kama huamini nachosema nipe logic ya kuzuia hoja binafsi kama si hisia za chuki na ubinafsi uliokubuhu!
 
Back
Top Bottom