Mheshimiwa Alikuwa anafanya nini hapa?

Amepita kwenye mioyo au amepitishwa kwenye box?
Amepita kwenye mioyo na wananchi wanasubiri wakapige tiki tu kwenye jina lake. Evelyn Salt hivi unajuwa kuwa ephen wangu kuzuiwa kutembelea jukwaa hili hadi tarehe 18 huko mwezi ujao.saizi ephen wangu amejishindia zake jukwaa la michezo .huko ndio nakokwenda kumpa faraja na kuondoleana upweke
 
Atapita tena na kuwaacha CHADEMA mkipiga porojo zenu.
Siyo rahisi watu wanahasira naye mno....hata aliye muhonga akajitoa kwenye ugombea, alipotea kabisa hajawahi kurudi ...raia walimchukia mno..Hata +255 Oparesheni ilipo pita huko hali ilikuwa dhahili kabisa Kigwangala amedhoofika sana kisiasa huko.
 
CCM na urozi ni dam dam
 
Idimu unaharibu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…