Mheshimiwa Alikuwa anafanya nini hapa?

HUYU KAGOMBANA NINI NA KAFULILA MPAKA UNAMSHAMBULIA CCM MWENZETU?
 
Luca unafanya siasa hadi kwenye mapenzi 😹😹
 
Swali na jibu ni tofauti wala havihusiani, swali alikuwa anafanyiwa nini na si alikuwa amevaa nini, ajifunze kujibu maswali na huenda ndicho kisa cha kuishia darasa la nne kama Lucas Mwashambwa.
 
No elevation without sacrifices,ufanye kwa Mungu au shetani,ufanye kwa siri au waziwazi
 
Sasa si aseme tu Ndugu zangu waTanzania, mwenzenu nimetoka KUTAMBIKA.

Sisi tutamuelewa tu wala sio aibu wala ajabu hata Chifu wa Machifu, Chifu Hangaya analijua hilo.
 
Pamoja na kwenda shule kote bado anaamini katika kuvaa katani kichwani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…