Mheshimiwa Alikuwa anafanya nini hapa?

Huyu jamaa haya mambo huwa anafanyiaga hadharani tena anakuwa na mpiga picha kabisa ….. kama cyo uchawi kwwny mila yao yeye ndo sungusungu pekee? Tena mara nyingi anafanya kipindi cha karibia uchaguzi
 
Jamaa na matambiko yote ila kipindi ni waziri wahuni wakampopoa barabarani
Haita musaidia safari hii..hali yake ni mbaya kisiasa. .na msako dhidi yake unaendelea... +255 Oparesheni ili mfinya na CHADEMA kwa ujumla wanamsaka kwa udi na uvumba..JOHN HECHE yuko huko yapata wiki sasa akiongozana na watia nia wa majimbo ya Nzega Vijijini/ Mjini,Igunga, Bukene..Leo hii wapo Nzega Mjini kwa Bashe.
 
WEWE HUWA UKIPENDA MWANAUME UNAMPENDA KWELI. NA HIVI HUNA KAZI UNAZUNGUKA TU HAPO LUMUMBA KORIDONI UMEWEKEWA BUNDLE. NI KULAMBA TU SOME PEOPLE'S ASS. SIKU HIZI UMEHAMA KABISA KWA MAKONDA TOKA ALIPOKUAMBIA TAFUTA KAZI UWE. BUSY.
Acha ujinga wako wewe.Nani kakwambia sina kazi za kufanya. Mimi ni mkulima na naendelea na kazi zangu kama kawaida.
 
Ni wa Chama gani mpaka uone ajabu?
 
Acha ujinga wako wewe.Nani kakwambia sina kazi za kufanya. Mimi ni mkulima na naendelea na kazi zangu kama kawaida.
UNGEKUWA MKULIMA USINGEKUWA UNASHINDA LUMUMBA PALE KIJIWENI UNAGONGEA GONGEA VOUCHER NA KUKAA KUITA WATU BOSS, BOSS. KWA NINI MAKONDA ALIKUAMBIA TAFUTA KAZI USIMSUMBUE?
 
Babu yangu marehemu kwa Sasa alinambia epuka mtu MNAFIKI na muepuke Kama ukoma mwisho wa kunukuu..
 
UNGEKUWA MKULIMA USINGEKUWA UNASHINDA LUMUMBA PALE KIJIWENI UNAGONGEA GONGEA VOUCHER NA KUKAA KUITA WATU BOSS, BOSS. KWA NINI MAKONDA ALIKUAMBIA TAFUTA KAZI USIMSUMBUE?
Naona umenifananisha. au wewe itakuwa ndio unashinda hapo Lumumba .mimi ni mkulima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…