chiziwafursa
JF-Expert Member
- May 22, 2024
- 558
- 827
Kama Kawaida yako 😂😂😂 kwani ungesema rais samia isingeleta maana? Ila tuache chenga jamaa anazindikwaMheshimiwa Daktari Samia Suluhu Hasssan hagawi vyeo kama njugu bali hugawa majukumu kulingana na uwezo wa mtu kumudu majukumu yake,mahitaji ya wakati,utauari katika kufanya kazi, Uchapakazi wa mtu,ubunifu wa kiuongozi alionao mtu,kasi ya kutekeleza majukumu kwa ufanisi na umakini n.k.
Mwaka uliopita alienda? ,je 2022 alienda? Mbona anaenda karibia mwaka wa uchaguzi?Si kashasema ni Sungusungu , mnataka nini tena ?
Uwe na heshima kwa Mheshimiwa Rais na Amiri Jeshi Mkuu wetuKama Kawaida yako 😂😂😂 kwani ungesema rais samia isingeleta maana? Ila tuache chenga jamaa anazindikwa
😂😂😂Haupingwi atapata kama atakuwa anaiongoza nchi vizuri any way tuyaache hayo maana faida yake siioniUwe na heshima kwa Mheshimiwa Rais na Amiri Jeshi Mkuu wetu
Nenda ukagombee ubunge uone kama ni kazi nyepesi kuupataUmekosa watu wa kuwaita waheshimiwa?
Ulozi huo. 🙌👍Ndugu zangu Watanzania,
Sitaki kuweka neno ila ndio hivyo kama mnavyoona kwenye picha hapa. Sijuwi Mheshimiwa alikuwa anafanyiwa nini .
Si unajuwa Tanzania mambo mengi mpaka wananchi wanachanganyikiwa na kushindwa washike nini na waache nini.
Ukigeuka huku unakutana na habari hii,ukienda kule unakuta vile,ukitazama mbele unaona vile. .kikubwa ni wewe uchague cha kutizama na uwe na misimamo yako binafsi.View attachment 3055439
Alichoandika Kigwangala kuhusiana na picha hii
View attachment 3055449
Kigwangala kupitia X:
Ndugu wapendwa Gen Zee, salaams.
Napenda kuwafahamisha ya kwamba hili vazi siyo uchawi! Wala uganga. Ni vazi la kimila; yanaitwa Masunzu, ama Nsunzu, ama nyie waswahili mnaita rasta.
Kwa mila na desturi zetu huvaliwa na warriors wanaitwa Sungusungu! Hawa ni askari wa jadi.
Wanaume wanavaa makubwa na yenye nakshi nzuri zaidi ya wanawake. Mjue kuwa hizo rasta zilizaliwa huku.
Ahsanteni sana.
Wakatabahu,
HK.
Hakuna aliyesema kuna kosa. Vipi ni dini gani hiyo unayoizungumzia.Kwani kuna kosa hapo? Si ni dini halali io
Mwandiko wa ajabu; lakini una ujumbe mzito ndani yake.Mjasiri haachi asili... Safi sana Kigwangala... Mwenda kwao so mtoro, akiachana na kauislamu kake akarudi nyumbani kidogo, kamsanua chalii yake kidogo...tunapona kidogo kidogo... Don't need to break the wall but we all can escape.
Acha mama yangu achape kazi.Yani mama alipomtoa mpaka LUKUVI na KALEMANI nikajua hapa ni sualaa la muda tuu hakuna jiwe litabaki limesimama yote yatalala na jiweee..!
Acha mama yangu achape kazi.Yani mama alipomtoa mpaka LUKUVI na KALEMANI nikajua hapa ni sualaa la muda tuu hakuna jiwe litabaki limesimama yote yatalala na jiweee..!
Mada yako hii nimeiona toka ilipowekwa humu na kama ilivyo kawaida niliposoma jina la mleta mada, nikawa ninaipita bila kuifungua.Si unajuwa Tanzania mambo mengi mpaka wananchi wanachanganyikiwa na kushindwa washike nini na waache nini.
Mimi huwa siwachanganyi Wananchi bali husema ukweli ulio wa wazi😃😃😃Mada yako hii nimeiona toka ilipowekwa humu na kama ilivyo kawaida niliposoma jina la mleta mada, nikawa ninaipita bila kuifungua.
Ilivyo dumu hivi, na jinsi kichwa cha mada ulivyo kibuni, udadisi ukanisukuma niifungue.
Nimeamua kunyanyua mstari huo hapo juu, baada ya kutafakari niliyooona kwenye mada, na jinsi ilivyo wasilishwa na wewe.
Hii mada haina ushabiki ulio zoewa kutoka kwako, si wa chama wala wa mtu (kiongozi); mada ipo wazi tu kwa yeyote kuiona anavyo iona mwenyewe...,' kudos' kwa hili.
Huo mstari hapo juu, sijui kama nawe unajiona uhusika wako, nafasi yako katika huko kuwachanganya waTanzania?
Kazi ndio itakayokuonyesha na kukutambulisha kwa watuAnaona haonekani
UNALIMIA VIONGOZI JF?Naona umenifananisha. au wewe itakuwa ndio unashinda hapo Lumumba .mimi ni mkulima
Ndugu zangu Watanzania,
Sitaki kuweka neno ila ndio hivyo kama mnavyoona kwenye picha hapa. Sijuwi Mheshimiwa alikuwa anafanyiwa nini .
Si unajuwa Tanzania mambo mengi mpaka wananchi wanachanganyikiwa na kushindwa washike nini na waache nini.
Ukigeuka huku unakutana na habari hii,ukienda kule unakuta vile,ukitazama mbele unaona vile. .kikubwa ni wewe uchague cha kutizama na uwe na misimamo yako binafsi.View attachment 3055439
Alichoandika Kigwangala kuhusiana na picha hii
View attachment 3055449
Kigwangala kupitia X:
Ndugu wapendwa Gen Zee, salaams.
Napenda kuwafahamisha ya kwamba hili vazi siyo uchawi! Wala uganga. Ni vazi la kimila; yanaitwa Masunzu, ama Nsunzu, ama nyie waswahili mnaita rasta.
Kwa mila na desturi zetu huvaliwa na warriors wanaitwa Sungusungu! Hawa ni askari wa jadi.
Wanaume wanavaa makubwa na yenye nakshi nzuri zaidi ya wanawake. Mjue kuwa hizo rasta zilizaliwa huku.
Ahsanteni sana.
Wakatabahu,
HK.