Mheshimiwa January Makamba ni kiongozi mbunifu mno mweye kuiona fursa adhimu

Mheshimiwa January Makamba ni kiongozi mbunifu mno mweye kuiona fursa adhimu

Freed Freed

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
6,547
Reaction score
7,167
Waziri huyu kila wizara aitumikiayo huja na maono endelevu na kuacha alama.
Alipokuwa nishati alibuni mambo mengi ikiwa ni pamoja na ugavi wa mitungi ya gesi bure. Gesi ikiisha ni lazima baadhi ya wagaiwa watanunua tena hata ikiwa hawakuwa na utamaduni wa kutumia gesi.

Sasa akiwa waziri wa nje ameibuka na ujenzi wa maghorofa ya serikali Nairobi, kigali, Lusaka, Kinshasa, Tokyo nk.

Miradi hii itakuwa ofisi za ubalozi, makazi ya maafisa wetu huko na sehemu nyingine zitakodiwa na hivyo kuingizia serikali yetu fedha kupitia Foreign ministry.

Ataanza na ujenzi wa majengo pacha Nairobi huku kila ghorofa likiwa na ghorofa 22 na kufanya jumla 44.
Baada ya kukamilika ujenzi ktk miji mikuu tajwa, serikali yetu itapata kodi ya Tsh 34 billion kwa mwaka na itakuwa ikiongezeka kadiri muda uendavyo.

Kongole kwako Mheshimiwa waziri, hakika una maono mno.
 
images.jpeg
 
Waziri huyu kila wizara aitumikiayo huja na maono endelevu na kuacha alama.
Alipokuwa nishati alibuni mambo mengi ikiwa ni pamoja na ugavi wa mitungi ya gesi bure. Gesi ikiisha ni lazima baadhi ya wagaiwa watanunua tena hata ikiwa hawakuwa na utamaduni wa kutumia gesi.

Sasa akiwa waziri wa nje ameibuka na ujenzi wa maghorofa ya serikali Nairobi, kigali, Lusaka, Kinshasa, Tokyo nk.

Miradi hii itakuwa ofisi za ubalozi, makazi ya maafisa wetu huko na sehemu nyingine zitakodiwa na hivyo kuingizia serikali yetu fedha kupitia Foreign ministry.

Ataanza na ujenzi wa majengo pacha Nairobi huku kila ghorofa likiwa na ghorofa 22 na kufanya jumla 44.
Baada ya kukamilika ujenzi ktk miji mikuu tajwa, serikali yetu itapata kodi ya Tsh 34 billion kwa mwaka na itakuwa ikiongezeka kadiri muda uendavyo.

Kongole kwako Mheshimiwa waziri, hakika una maono mno.
Hiyo mitungi Bure kumpuka kapigs billion 10 sbb walinhnuanmityngi ya Rosatm Aziz wakawapa akina mama wachacheo
 
Waziri huyu kila wizara aitumikiayo huja na maono endelevu na kuacha alama.
Alipokuwa nishati alibuni mambo mengi ikiwa ni pamoja na ugavi wa mitungi ya gesi bure. Gesi ikiisha ni lazima baadhi ya wagaiwa watanunua tena hata ikiwa hawakuwa na utamaduni wa kutumia gesi.

Sasa akiwa waziri wa nje ameibuka na ujenzi wa maghorofa ya serikali Nairobi, kigali, Lusaka, Kinshasa, Tokyo nk.

Miradi hii itakuwa ofisi za ubalozi, makazi ya maafisa wetu huko na sehemu nyingine zitakodiwa na hivyo kuingizia serikali yetu fedha kupitia Foreign ministry.

Ataanza na ujenzi wa majengo pacha Nairobi huku kila ghorofa likiwa na ghorofa 22 na kufanya jumla 44.
Baada ya kukamilika ujenzi ktk miji mikuu tajwa, serikali yetu itapata kodi ya Tsh 34 billion kwa mwaka na itakuwa ikiongezeka kadiri muda uendavyo.

Kongole kwako Mheshimiwa waziri, hakika una maono mno.
🚮🚮
 
Marope kila anapopita ni vurugu,mifuko ya plastic ilimshindwa,umeme wa upepo toka india yalllah,now kaja ujenzi wa maghorofa nchi za watu!kote huko ni mirija tu ya upigaji na washkaji zake
 
Waziri huyu kila wizara aitumikiayo huja na maono endelevu na kuacha alama.
Alipokuwa nishati alibuni mambo mengi ikiwa ni pamoja na ugavi wa mitungi ya gesi bure. Gesi ikiisha ni lazima baadhi ya wagaiwa watanunua tena hata ikiwa hawakuwa na utamaduni wa kutumia gesi.

Sasa akiwa waziri wa nje ameibuka na ujenzi wa maghorofa ya serikali Nairobi, kigali, Lusaka, Kinshasa, Tokyo nk.

Miradi hii itakuwa ofisi za ubalozi, makazi ya maafisa wetu huko na sehemu nyingine zitakodiwa na hivyo kuingizia serikali yetu fedha kupitia Foreign ministry.

Ataanza na ujenzi wa majengo pacha Nairobi huku kila ghorofa likiwa na ghorofa 22 na kufanya jumla 44.
Baada ya kukamilika ujenzi ktk miji mikuu tajwa, serikali yetu itapata kodi ya Tsh 34 billion kwa mwaka na itakuwa ikiongezeka kadiri muda uendavyo.

Kongole kwako Mheshimiwa waziri, hakika una maono mno.
Na ndio maana nchi za kiafrika hatuendelei. Hata ugawe mitungi bure gesi ikiisha mtungi unawekwa ndani mtu anaendelea kutumia mkaa maana anaweza kumudu kununua kibaba cha mkaa kwa buku au buku jero wakati gas mtungi mdogo 28,000 hadi 56,000.
Yani ni kama vile viongozi wetu hawajui nini cha kufanya. Dawa ilikuwa ni kuhakikisha gas ni affordable sana kiasi kwamba watu waweze kuitumia. Kwani wewe mkuu ni watu wanganpi mjini wana mitungi ya gas iko dnani lakini wanatumia mkaa?
 
Kwa hiyo buana kipara ngwidu umeamua uje kujiwekea minyama 😁 tunakujua vizuri tuu wewe fisadi ni papa kila unako ingizwa unapwaya hauna maana hata kidogo
 
Na ndio maana nchi za kiafrika hatuendelei. Hata ugawe mitungi bure gesi ikiisha mtungi unawekwa ndani mtu anaendelea kutumia mkaa maana anaweza kumudu kununua kibaba cha mkaa kwa buku au buku jero wakati gas mtungi mdogo 28,000 hadi 56,000.
Yani ni kama vile viongozi wetu hawajui nini cha kufanya. Dawa ilikuwa ni kuhakikisha gas ni affordable sana kiasi kwamba watu waweze kuitumia. Kwani wewe mkuu ni watu wanganpi mjini wana mitungi ya gas iko dnani lakini wanatumia mkaa?
Sijafanya tafiti
 
Kwa hiyo buana kipara ngwidu umeamua uje kujiwekea minyama 😁 tunakujua vizuri tuu wewe fisadi ni papa kila unako ingizwa unapwaya hauna maana hata kidogo
Mtu mtarajiwa miaka michache ijayo atakosaje maana?
 
Katika mawaziri nisio wakubali huyo anashika nafasi ta tatu ..no moko ni mzee tozo anakuja mzee wa bando next ni malope ..hawa jamaa sijawahi kuoma uwajibikaji wao bali na ma tp mazembe tu
 
Back
Top Bottom